Huyu mama yupo vizuri....kamuacha mbali sana best wako UmmyYaan kwa hyo clip tu tayari anafaa kuwa Rais? Yule Ni manager na Sio leader, Bora ungesema hata Ummy Ana elements nyingi za leadership kuliko huyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mama yupo vizuri....kamuacha mbali sana best wako UmmyYaan kwa hyo clip tu tayari anafaa kuwa Rais? Yule Ni manager na Sio leader, Bora ungesema hata Ummy Ana elements nyingi za leadership kuliko huyu.
Ummy mwalimu sio vocal kama Dorothy, aina ya uongozi wa Magufuli aliotuanzishia unafaa kurithiwa na Dr Gwajima na mashuhuda wazuri ni wafanyakazi wenziea katika wizara aliohudumu awaliYaan kwa hyo clip tu tayari anafaa kuwa Rais? Yule Ni manager na Sio leader, Bora ungesema hata Ummy Ana elements nyingi za leadership kuliko huyu.
Uzuri wake uko wapi .mkuu mtu kubweka vile ndo mzuri naona huyo mama ataleta taharuki bure pale wwizarani.Maana huyo mama mpaka umefika hapo umepotea ngazi mbali mbali dmo rmo swali je alikopita ameacha nini cha tujifunze. Au ni yale ya kudeal na matatizo abdala ya chanzo chemyew cha matatizoHuyu mama yupo vizuri....kamuacha mbali sana best wako Ummy
Dorothy ni mnyiramba yule kaolewa na bwana mmoja anaitwa gwajimaBaraza la wasukuma watupu
Acha kujiaibisha GWAJIMA hana shule ya kutisha(MD,MPH) wako wengi sana wenye Elimu hiyo bora hata Masters angefanya MMED au MScNampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada JPM.
Dah.... kwani shida ipo wapi....anasilimishwa tu biashara imeisha...dini si kitu cha kudumu maishani [emoji2960]Zamu ya rais muislam kama ilivyo akitoka mkristu ni muislam hivyo hizo ni ndoto
Katika bunge hili tutapitisha sheria ya kuvilazimisha vyama vyote vya siasa nchini kuweka wanawake kuwa wagombea wa urais na wagombea wenza kwenye uchaguzi mkuu wa 2025. Wanaune hawataruhusiwa kugombea nafasi hizo mwaka 2025 kwa mjibu wa sheria za mwaka huo.Siku CCM imeweka mgombea wa kike ndo siku watajifunga na bao la mkono.
Nothing new kwa dr.Gwajina, it is the system brother...Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada JPM.
Toa CV yake kwanza.Zamu ya rais muislam kama ilivyo akitoka mkristu ni muislam hivyo hizo ni ndoto
2025 hakutakuwa na kura za mabegini/ makaratasi zitapigwa kwa kadi unawachezea wazungu wewe wapo hapa wana pilot hiyo project.Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada JPM.
Hongera kwa kutumia vyema uhuru wa kujieleza ingefaa kuweka hiyo clip hapa na wasifu (CV) zake kwanza, ili tukupinge au kuunga mkono wazo lako kwa hoja badala ya hisia!Nampendekeza kwenu Bi Dorothy
Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada JPM.
Ni msukuma wa wapi?Wasukuma mwaka wao wa kujidai
1Hongera kwa kutumia vyema uhuru wa kujieleza ingefaa kuweka hiyo clip hapa na wasifu (CV) zake kwanza, ili tukupinge au kuunga mkono wazo lako kwa hoja badala ya hisia!
Kwani wako wangapi?Baraza la wasukuma watupu
Kutambuana kwa makabila, dini,ukanda,njisia haina afya kwa Taifa letu! Tuchambuane kwa uwezo, performance!Dorothy ni mnyiramba yule kaolewa na bwana mmoja anaitwa gwajima
Lakini kwa vile kaolewa na Msukuma, huyo moja kwa moja anahesabiwa kwa Wasukuma, Unyiramba hatarudi tena! Na huo uteuzi naweza kusema kaupata kwa sifa ya Usukuma wa mmewe!Dorothy ni mnyiramba yule kaolewa na bwana mmoja anaitwa gwajima
Achana na generalization zisizo na msingi, wa rusi unawafanyia wewe operations zao? Kama ulikutana na moja/wawili wasio weza ni wao!Kumbe ni daktari kutoka Urusi? Ni wale wasioweza kufanya operation ikafanikiwa!