Kwa documentary ya Pele hii iliyotoka nitakuwa mpuuzi kuendelea kumlinganisha na watoto wadogo kina Messi

Kwa documentary ya Pele hii iliyotoka nitakuwa mpuuzi kuendelea kumlinganisha na watoto wadogo kina Messi

Pele apewe heshima yake asee
Unajua nini boss....watu wengi hawana uwezo wa kupata taarifa sahihi kama ulivyoweza wewe...ndiyo sababu huwa wanadanganyika na stori za vipindi vya michezo vya bongo vinavyoendeshwa na wajanja wa mjini akina Dauda....

Honestly.....huwa sisikilizi international sports and analysis from hawa makanjanja wetu kwa sababu kubwa moja tu....They have never been there, hawana moral authority kuchambua mpira wa wazungu....akiongea Sami Kuffour ntamsikiliza kwa makini, Beni Mccarthy.....akiongea Ali Mayai, Golden boy Zamoyoni Mogela ntasikiliza....

Sasa....Pele alikuwa voted na world coaches kuwa mchezaji bora kabisa wa 20th century....halafu mtu aliyeishia kucheza ndondo just like myself anasema eti huyo kapitwa na Messi....seriously...?

Hawa makanjanja wachambue ndondo maana ndiyo level yao...
 
Documentary iliyotolewa na FIFA inaonesha kwamba Pele mambo yote aliyofanya Ronaldo de Lima el Phenomenon kayafanya miaka 50 iliyopita, kweli inamaliza ubishi wote wa wanazi kina SHAFY DAUDA,

Mambo alifanya Lionel Messi uwanjani yamefanywa na Pele miaka ya zamani sana na mengine Messi hajayafanya

Mambo aliyofanya Zinedine Zidane Uwanjani yote wamecopy Kwa Pele ,

Mambo aliyofanya Cristiano Ronaldo yote kayafanya Pele miaka 50 iliyopita na mengine Ronaldo hajayafanya mpaka sasa,


FIFA wame apologize Kwa kuchelewa kurelease baadhi ya video pia na ubora wake haukuwa mzuri lakin wamefanya kuonesha kila anachofanya mchezaji wa sasa na waliopita wanalinganisha na matukio ya Pele uwanjani,

Video imeeleza kila kitu Kwa undani kabisa

Hapo utaona Luis figo, Ronaldo original, Roberto Carlos, Zidane, Fredrik Ljumberg , Messi n Ronaldinho matukio na mambo walofanya wanaonesha walipoyacopy Kwa pele,


Pitia video hii Kwa umakini,


Ukimaliza umpe salute Pele



Pele hamsogelei Diego Aemando Maradona. Historia inaonyesha Pele na Maradona
Wamewahi kushindanishwa

1. Pele Akashika namba Mbilidhidi ya Maaradona aliekua namba moja.

2. Pia Pele amewahi kushindanishwa na mchezaji nyumbani kwake Brazil akapata nafasi ya Pili.
Kitendo hiki cha Yeye kua namba mbili kimemfanya Diego Maradona kumsema vibaya Pele kua yeye hastahili namba moja.

Hata hivyo pele amekua akinufaika na nidhamu kwani Maradona pamoja na ubora wake amekua mtumiaji wa madawa ya kulevya mara kadhaa.

Hivyo basi Kwakua Pele amekua akishika namba mbili kila wakati ikapelekea wapewe uzani sawa Diego Maradona ikiwa kama shinikizo ili ku balance mambo.
Jambo hili limekua likimuudhi Maradona anayeamini yeye ni Bora kuliko Pele. Na kupelekea uhusiano wake na FiFa kua Mbaya.
Mbali na FiFa kuonekana ikimkumbatia Pele pia FiFa imekua shirika la kinyonyaji na kifisadi mbele ya macho ya Maradona. Tuombe Mungu kama matatizo haya yaliishia na Sepp Blatter.

Maradona ameshawahi kua kocha wa timu ya taifa lake Argentina. Pele hajawahi kua Kocha.

Kitu kimoja alichokofanya Pele ni kuwasifia waingereza na kuwatabiria ubingwa. Kitendo hiki kimemfanya apendwe na FiFA na Waingereza. Hata kujaa kwenye headlines duniani.

Pamoja na unafiki huu wa Pele bado Uingereza ambayo ni timu yenye jina kubwa imekua ikifanya Vibaya sana kwenye michuano mikubwa.
Wakati huohuo imemfanya Pele kuonekana kua hajui kubashiri matokeo kwakua amekua Bingwa wa kufeli.

Pele haachi kuipamba uingereza ili tu iendelee kumpenda na kumpamba duniani.

Huyu ndiye Edson Arantes des Nacimentos "Pele".

Kwangu atabaki kua mchezaji bora asiye na sifa ya kulinganishwa na wachezaji kama Maradona. Messi, Ronaldo, Ronaldino, wala Cristiano wachezaji wa leo.
 
Pele hamsogelei Diego Aemando Maradona. Historia inaonyesha Pele na Maradona
Wamewahi kushindanishwa

1. Pele Akashika namba Mbilidhidi ya Maaradona aliekua namba moja.

2. Pia Pele amewahi kushindanishwa na mchezaji nyumbani kwake Brazil akapata nafasi ya Pili.
Kitendo hiki cha Yeye kua namba mbili kimemfanya Diego Maradona kumsema vibaya Pele kua yeye hastahili namba moja.

Hata hivyo pele amekua akinufaika na nidhamu kwani Maradona pamoja na ubora wake amekua mtumiaji wa madawa ya kulevya mara kadhaa.

Hivyo basi Kwakua Pele amekua akishika namba mbili kila wakati ikapelekea wapewe uzani sawa Diego Maradona ikiwa kama shinikizo ili ku balance mambo.
Jambo hili limekua likimuudhi Maradona anayeamini yeye ni Bora kuliko Pele. Na kupelekea uhusiano wake na FiFa kua Mbaya.
Mbali na FiFa kuonekana ikimkumbatia Pele pia FiFa imekua shirika la kinyonyaji na kifisadi mbele ya macho ya Maradona. Tuombe Mungu kama matatizo haya yaliishia na Sepp Blatter.

Maradona ameshawahi kua kocha wa timu ya taifa lake Argentina. Pele hajawahi kua Kocha.

Kitu kimoja alichokofanya Pele ni kuwasifia waingereza na kuwatabiria ubingwa. Kitendo hiki kimemfanya apendwe na FiFA na Waingereza. Hata kujaa kwenye headlines duniani.

Pamoja na unafiki huu wa Pele bado Uingereza ambayo ni timu yenye jina kubwa imekua ikifanya Vibaya sana kwenye michuano mikubwa.
Wakati huohuo imemfanya Pele kuonekana kua hajui kubashiri matokeo kwakua amekua Bingwa wa kufeli.

Pele haachi kuipamba uingereza ili tu iendelee kumpenda na kumpamba duniani.

Huyu ndiye Edson Arantes des Nacimentos "Pele".

Kwangu atabaki kua mchezaji bora asiye na sifa ya kulinganishwa na wachezaji kama Maradona. Messi, Ronaldo, Ronaldino, wala Cristiano wachezaji wa leo.
Kuna jambo unataka kulieleza Ila hujajua uanzeje
 
Kuna jambo unataka kulieleza Ila hujajua uanzeje
Ni kweli kabisa Mkuu.

Ligi za mwaka 47. Alizocheza Pele hazikua na ushindani Mkubwa na tough kama tuuonao leo.

Sioni ni kwa.namna gani atawesa kua na ubora wa Cristiano Ronaldo.

Pele ameshindwa kukubalika kama namba moja nchini kwake na wachezaji wazawa.

Ukweli Mchungu ni kua Maradona ameshamshinda Pele waliposhindanishwa.

FiFa ninshirika la kibepari, ambapo mtazamo wake Maradona amekua akiwapinga sana. Kua wanawanyonya wachezaji pesa zao.nk.
Maradona anamtazamo wa kina Che Guavara and the like...

Si rahisi ukasikia Maradona ameitwa FiFa kwenye sherehe zao na matamasha kama wafanyavyo kwa Pele na hii ni kwasababu ya Uadui wao na Maradona. Pele na FiFa ni Damudamu

Dalili zinaonyesha kama angekua anaelewana nao si ajabu leo hii wangembatiza Maradona kua Mfalme wa Soka na sio pele.

Labda nipate Muda nije nishushe flow ndefu hapa yenye kutafakarisha...

Pele anajituma sana kuizungumza uingereza kwa mazuri. Hata majuzi alipozimia . utaona tu jinsi anavyoitaja uingereza..
 
Ni kweli kabisa Mkuu.

Ligi za mwaka 47. Alizocheza Pele hazikua na ushindani Mkubwa na tough kama tuuonao leo.

Sioni ni kwa.namna gani atawesa kua na ubora wa Cristiano Ronaldo.

Pele ameshindwa kukubalika kama namba moja nchini kwake na wachezaji wazawa.

Ukweli Mchungu ni kua Maradona ameshamshinda Pele waliposhindanishwa.

FiFa ninshirika la kibepari, ambapo mtazamo wake Maradona amekua akiwapinga sana. Kua wanawanyonya wachezaji pesa zao.nk.
Maradona anamtazamo wa kina Che Guavara and the like...

Si rahisi ukasikia Maradona ameitwa FiFa kwenye sherehe zao na matamasha kama wafanyavyo kwa Pele na hii ni kwasababu ya Uadui wao na Maradona. Pele na FiFa ni Damudamu

Dalili zinaonyesha kama angekua anaelewana nao si ajabu leo hii wangembatiza Maradona kua Mfalme wa Soka na sio pele.

Labda nipate Muda nije nishushe flow ndefu hapa yenye kutafakarisha...
Màradona kafanya nini kwenye soka?? Tunazie hapo Kwanza angalia videos zao ukianza na hiyo hapo ,au huna bundle?? Mara Dona hawezi piga vichwa, labda kichwa alichopiga ni cha mkono dhidi ya uingereza, màradona hawezi tumia miguu yote kama pele, alafu màradona alitumia madawa ya kuongezea nguvu, nawe nitajie madhaifu ya Pele
 
Ni kweli kabisa Mkuu.

Ligi za mwaka 47. Alizocheza Pele hazikua na ushindani Mkubwa na tough kama tuuonao leo.

Sioni ni kwa.namna gani atawesa kua na ubora wa Cristiano Ronaldo.

Pele ameshindwa kukubalika kama namba moja nchini kwake na wachezaji wazawa.

Ukweli Mchungu ni kua Maradona ameshamshinda Pele waliposhindanishwa.

FiFa ninshirika la kibepari, ambapo mtazamo wake Maradona amekua akiwapinga sana. Kua wanawanyonya wachezaji pesa zao.nk.
Maradona anamtazamo wa kina Che Guavara and the like...

Si rahisi ukasikia Maradona ameitwa FiFa kwenye sherehe zao na matamasha kama wafanyavyo kwa Pele na hii ni kwasababu ya Uadui wao na Maradona. Pele na FiFa ni Damudamu

Dalili zinaonyesha kama angekua anaelewana nao si ajabu leo hii wangembatiza Maradona kua Mfalme wa Soka na sio pele.

Labda nipate Muda nije nishushe flow ndefu hapa yenye kutafakarisha...

Pele anajituma sana kuizungumza uingereza kwa mazuri. Hata majuzi alipozimia . utaona tu jinsi anavyoitaja uingereza..
Walishindanishwa wapi? Jifunze kumkubali mtu anayejua hata km humpendi, achana na siasa kt football, mpira wa miguu sio maneno zinaongea takwimu mkuu.. acha porojo. Mi binafsi smpendi Messi ila nakubali kwa kipind hiki hakuna kama yeye katika soka
 
Walishindanishwa wapi? Jifunze kumkubali mtu anayejua hata km humpendi, achana na siasa kt football, mpira wa miguu sio maneno zinaongea takwimu mkuu.. acha porojo. Mi binafsi smpendi Messi ila nakubali kwa kipind hiki hakuna kama yeye katika soka

"The people voted for me. Now they want me to share the prize with Pele. I'm not going to share the prize with anybody."

Maradona’s reaction in 2000 when FIFA asked him to share the Player of the Century prize with Pele, despite the Argentine winning the public vote by a landslide margin.
 
Pele hamsogelei Diego Aemando Maradona. Historia inaonyesha Pele na Maradona
Wamewahi kushindanishwa

1. Pele Akashika namba Mbilidhidi ya Maaradona aliekua namba moja.

2. Pia Pele amewahi kushindanishwa na mchezaji nyumbani kwake Brazil akapata nafasi ya Pili.
Kitendo hiki cha Yeye kua namba mbili kimemfanya Diego Maradona kumsema vibaya Pele kua yeye hastahili namba moja.

Hata hivyo pele amekua akinufaika na nidhamu kwani Maradona pamoja na ubora wake amekua mtumiaji wa madawa ya kulevya mara kadhaa.

Hivyo basi Kwakua Pele amekua akishika namba mbili kila wakati ikapelekea wapewe uzani sawa Diego Maradona ikiwa kama shinikizo ili ku balance mambo.
Jambo hili limekua likimuudhi Maradona anayeamini yeye ni Bora kuliko Pele. Na kupelekea uhusiano wake na FiFa kua Mbaya.
Mbali na FiFa kuonekana ikimkumbatia Pele pia FiFa imekua shirika la kinyonyaji na kifisadi mbele ya macho ya Maradona. Tuombe Mungu kama matatizo haya yaliishia na Sepp Blatter.

Maradona ameshawahi kua kocha wa timu ya taifa lake Argentina. Pele hajawahi kua Kocha.

Kitu kimoja alichokofanya Pele ni kuwasifia waingereza na kuwatabiria ubingwa. Kitendo hiki kimemfanya apendwe na FiFA na Waingereza. Hata kujaa kwenye headlines duniani.

Pamoja na unafiki huu wa Pele bado Uingereza ambayo ni timu yenye jina kubwa imekua ikifanya Vibaya sana kwenye michuano mikubwa.
Wakati huohuo imemfanya Pele kuonekana kua hajui kubashiri matokeo kwakua amekua Bingwa wa kufeli.

Pele haachi kuipamba uingereza ili tu iendelee kumpenda na kumpamba duniani.

Huyu ndiye Edson Arantes des Nacimentos "Pele".

Kwangu atabaki kua mchezaji bora asiye na sifa ya kulinganishwa na wachezaji kama Maradona. Messi, Ronaldo, Ronaldino, wala Cristiano wachezaji wa leo.

Mkuu hongera kwa hoja nzuri sana na yenye ukweli mtupu. Ningekushauri anzisha thread, weka kila kitu wazi ili wachache wanaomkubali pele waje wajionee wenyewe.


Messi
Diego
Pele
 
Walishindanishwa wapi? Jifunze kumkubali mtu anayejua hata km humpendi, achana na siasa kt football, mpira wa miguu sio maneno zinaongea takwimu mkuu.. acha porojo. Mi binafsi smpendi Messi ila nakubali kwa kipind hiki hakuna kama yeye katika soka

Mkuu usijitoe ufahamu. Maradona ndiye alipata 53 Wakati pele kaambulia 18. Sasa hapo nani mwenye nyingi!

Since 1991, FIFA have had awards for FIFA World Player of the Year and they decided to bring in the new millennium by conducting a public vote to decide the FIFA Player of the Century. This was to be decided by votes on their official website, their official magazine and a grand jury. Maradona won the Internet-based poll by wide margins, garnering 53.6% of the votes against 18.53% for Pelé.

20180129_021531.png
 
Walishindanishwa wapi? Jifunze kumkubali mtu anayejua hata km humpendi, achana na siasa kt football, mpira wa miguu sio maneno zinaongea takwimu mkuu.. acha porojo. Mi binafsi smpendi Messi ila nakubali kwa kipind hiki hakuna kama yeye katika soka

Since 1991, FIFA have had awards for FIFA World Player of the Year and they decided to bring in the new millennium by conducting a public vote to decide the FIFA Player of the Century. This was to be decided by votes on their official website, their official magazine and a grand jury. Maradona won the Internet-based poll by wide margins, garnering 53.6% of the votes against 18.53% for Pelé.
20180129_021531.png
 
Pele hamsogelei Diego Aemando Maradona. Historia inaonyesha Pele na Maradona
Wamewahi kushindanishwa

1. Pele Akashika namba Mbilidhidi ya Maaradona aliekua namba moja.

2. Pia Pele amewahi kushindanishwa na mchezaji nyumbani kwake Brazil akapata nafasi ya Pili.
Kitendo hiki cha Yeye kua namba mbili kimemfanya Diego Maradona kumsema vibaya Pele kua yeye hastahili namba moja.

Hata hivyo pele amekua akinufaika na nidhamu kwani Maradona pamoja na ubora wake amekua mtumiaji wa madawa ya kulevya mara kadhaa.

Hivyo basi Kwakua Pele amekua akishika namba mbili kila wakati ikapelekea wapewe uzani sawa Diego Maradona ikiwa kama shinikizo ili ku balance mambo.
Jambo hili limekua likimuudhi Maradona anayeamini yeye ni Bora kuliko Pele. Na kupelekea uhusiano wake na FiFa kua Mbaya.
Mbali na FiFa kuonekana ikimkumbatia Pele pia FiFa imekua shirika la kinyonyaji na kifisadi mbele ya macho ya Maradona. Tuombe Mungu kama matatizo haya yaliishia na Sepp Blatter.

Maradona ameshawahi kua kocha wa timu ya taifa lake Argentina. Pele hajawahi kua Kocha.

Kitu kimoja alichokofanya Pele ni kuwasifia waingereza na kuwatabiria ubingwa. Kitendo hiki kimemfanya apendwe na FiFA na Waingereza. Hata kujaa kwenye headlines duniani.

Pamoja na unafiki huu wa Pele bado Uingereza ambayo ni timu yenye jina kubwa imekua ikifanya Vibaya sana kwenye michuano mikubwa.
Wakati huohuo imemfanya Pele kuonekana kua hajui kubashiri matokeo kwakua amekua Bingwa wa kufeli.

Pele haachi kuipamba uingereza ili tu iendelee kumpenda na kumpamba duniani.

Huyu ndiye Edson Arantes des Nacimentos "Pele".

Kwangu atabaki kua mchezaji bora asiye na sifa ya kulinganishwa na wachezaji kama Maradona. Messi, Ronaldo, Ronaldino, wala Cristiano wachezaji wa leo.

Pele ni mfalme wa soka duniani na hicho ni cheo chake miaka yote.

Diego Maradona ni kama mwana mfalme.

Wanaofuatia hapo ndio hao wengine.

Tumheshimu Pele kwa cheo chake kimpira.
 
Màradona kafanya nini kwenye soka?? Tunazie hapo Kwanza angalia videos zao ukianza na hiyo hapo ,au huna bundle?? Mara Dona hawezi piga vichwa, labda kichwa alichopiga ni cha mkono dhidi ya uingereza, màradona hawezi tumia miguu yote kama pele, alafu màradona alitumia madawa ya kuongezea nguvu, nawe nitajie madhaifu ya Pele

Kwanza Maradona Ni mfupi, swala la kutumia kichwa linaweza kua changamoto.

Pia Maradona ni midfielder na Pele Ni foward kama Ronaldo de Lima.

Kwenye uchezaji wa Maradona. Alikua mtu peke yake anayeibeba Timu, anayechezesha Timu, anahamasisha na kufunga.

Wakati Pele alikua anatembelea kivuli cha majina makubwa ya wachezaji wenzake wenye uwezo uwanjani.
kama akina

Garincha ambaye mwaka 1962 ndiye(Garincha) alikua kinara peke yake. Pele hakucheza kabisa,

Vava aliefunga goli 3 kwenye fainali mbili za kombe la Dunia,

Pia Didi aliechukua kiatu cha Dhahabu mwaka 1958

Pia kwenye timu ya Brasil wako wengine walikua wanapiga soka hata kama Pele asingekuwepo walikuwemo wakina Gérson, Jairzinho, Gilmar, Tostão, Zito, Bellini na Zagallo.

Hapa chini ni Ubingwa aliochukua Maradona na Timu ya Napoli ngazi ya club.

Serie A : 1986–87, 1989–90

Supercoppa Italiana : 1990

Copa Italia : 1961–62, 1975–76, 1986–87

UEFA Cup : 1988–89

Maradona kuondoka Napoli walishinda kwenye 2011.

Tukija kwenye idadi kubwa ya Magoli world cup unamuachaje Gerd Muller ukamuweka Pele enzi hizo?

Umetaja madawa ya kuongeza Nguvu. Ni sawa,.lakini tambua kua.Wakati zama za Maradona vipimo vilikua vinatumika kuthibitisha . lakini Hakukua na hivyo vipimo vya kuwapima na kuthibitisha wachezaji wanaotumia madawa zama za Pele.


Pia Huko Brasil kwenyewe walishindanisha mwanaspoti bora kuwahi kutokea alishinda muendesha magari ya formula One anaitwa Ayrton Senna. Yaani bado hali inaonyesha hata uko Brazil hawamkubali Pele wao.

Maradona is always the best in.the world.
IMG_20180129_013504.jpg
IMG_20180129_013424.jpg
IMG_20180129_013406.jpg
IMG_20180129_013339.jpg


Pichani, Pele akiwa na fisadi Blatter.
 
Since 1991, FIFA have had awards for FIFA World Player of the Year and they decided to bring in the new millennium by conducting a public vote to decide the FIFA Player of the Century. This was to be decided by votes on their official website, their official magazine and a grand jury. Maradona won the Internet-based poll by wide margins, garnering 53.6% of the votes against 18.53% for Pelé.
View attachment 686644
Asante Mkuu kwa Nondo kali
 
Mkuu usijitoe ufahamu. Maradona ndiye alipata 53 Wakati pele kaambulia 18. Sasa hapo nani mwenye nyingi!

Since 1991, FIFA have had awards for FIFA World Player of the Year and they decided to bring in the new millennium by conducting a public vote to decide the FIFA Player of the Century. This was to be decided by votes on their official website, their official magazine and a grand jury. Maradona won the Internet-based poll by wide margins, garnering 53.6% of the votes against 18.53% for Pelé.

View attachment 686643
Thank you Mkuu
 
Kwanza Maradona Ni mfupi, swala la kutumia kichwa linaweza kua changamoto.

Pia Maradona ni midfielder na Pele Ni foward kama Ronaldo de Lima.

Kwenye uchezaji wa Maradona. Alikua mtu peke yake anayeibeba Timu, anayechezesha Timu, anahamasisha na kufunga.

Wakati Pele alikua anatembelea kivuli cha majina makubwa ya wachezaji wenzake wenye uwezo uwanjani.
kama akina

Garincha ambaye mwaka 1962 ndiye(Garincha) alikua kinara peke yake. Pele hakucheza kabisa,

Vava aliefunga goli 3 kwenye fainali mbili za kombe la Dunia,

Pia Didi aliechukua kiatu cha Dhahabu mwaka 1958

Pia kwenye timu ya Brasil wako wengine walikua wanapiga soka hata kama Pele asingekuwepo walikuwemo wakina Gérson, Jairzinho, Gilmar, Tostão, Zito, Bellini na Zagallo.

Hapa chini ni Ubingwa aliochukua Maradona na Timu ya Napoli ngazi ya club.

Serie A : 1986–87, 1989–90

Supercoppa Italiana : 1990

Copa Italia : 1961–62, 1975–76, 1986–87

UEFA Cup : 1988–89

Maradona kuondoka Napoli walishinda kwenye 2011.

Tukija kwenye idadi kubwa ya Magoli world cup unamuachaje Gerd Muller ukamuweka Pele enzi hizo?

Umetaja madawa ya kuongeza Nguvu. Ni sawa,.lakini tambua kua.Wakati zama za Maradona vipimo vilikua vinatumika kuthibitisha . lakini Hakukua na hivyo vipimo vya kuwapima na kuthibitisha wachezaji wanaotumia madawa zama za Pele.


Pia Huko Brasil kwenyewe walishindanisha mwanaspoti bora kuwahi kutokea alishinda muendesha magari ya formula One anaitwa Ayrton Senna. Yaani bado hali inaonyesha hata uko Brazil hawamkubali Pele wao.

Maradona is always the best in.the world.
View attachment 686646View attachment 686647View attachment 686648View attachment 686649

Pichani, Pele akiwa na fisadi Blatter.


Umemaliza kila kitu kiongozi na mjadala ufungwe mwenye kuwelewa ameelewa, na ataekuja kukupinga analake jambo au atakuwa na chuki na Diego. Nimefuatilia comments zako zote, upo vizuri sana kaka,, na anaejuwa mpira atakubaliana na wewe,, uzuri umeweka wazi/ushahidi. Thank you so much!
 
Back
Top Bottom