BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Thank you Mkuu
You're welcome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank you Mkuu
Pele ni mfalme wa soka duniani na hicho ni cheo chake miaka yote.
Diego Maradona ni kama mwana mfalme.
Wanaofuatia hapo ndio hao wengine.
Tumheshimu Pele kwa cheo chake kimpira.
Tena zamani walikuwa hawalindwi na marefa kama sasa. Acha Pele aitwe mfalme.
Hakuwa na lolote.
Wafalme asilia ni wawili tu ulimwenguni na wanatoka taifa moja,, KING MESSI & KING DIEGO na ndio pele wako anawachukia kwa sababu ni waargentina na wanaujuwa mpira kweli kweli na wamempita mbali sana,, inshort huyo babu uzee unamsumbua.
Kwa hiyo video kweli Pele ni noma..naomba wanaosema Maradona ni hatari watupie video tuone mambo yake
Hakuna wa kufanana na peleYaani wanayojaribu kuyafanya akina Neymar, Messi, Ronaldo etc, Pele alishayafanya miaka hiyoooo...ambapo hata Google haikuwepo. Salute kwa Pele!
Yaani wanayojaribu kuyafanya akina Neymar, Messi, Ronaldo etc, Pele alishayafanya miaka hiyoooo...ambapo hata Google haikuwepo. Salute kwa Pele!
Kwa hiyo video kweli Pele ni noma..naomba wanaosema Maradona ni hatari watupie video tuone mambo yake
ye mwenyewe kakopi kwa wachezaji wa nyuma yakeYaani wanayojaribu kuyafanya akina Neymar, Messi, Ronaldo etc, Pele alishayafanya miaka hiyoooo...ambapo hata Google haikuwepo. Salute kwa Pele!
ye mwenyewe alikopiAlafu cha kushangaza kila stail anayocheza mtu maarufu Pele alishaicheza,
Yaan
Iniesta+Messi+figo+Zidane+Cristiano Ronaldo+Messi+Màradona+Ljumberg+Antonia de stephano+ Van Bernstein+ Kaka+Ronaldinho Gaucho+Romario+ Neymar+Rooney+ Henry+ The real Ronaldo + Carlos= Edson Nas smentos Pele
huyu mpira wa darasani..hamna kitu..mchezaji gani anakimbilia kufunga tu!!.. chenga hajui..chenga yake moja hyohyo..anachoshaView attachment 686780
THE GREATEST FOOTBALL PLAYER OF ALL TIME
2-1 King freekick "like playing poker with a witch, you're gonna lose.too much space & time for him to adjust all the gyroscopes in that head of his, & again he makes the ball defy the laws of phisics. He knows the laws. But the laws don't know Messi"
Much respect to you too mkuuUmemaliza kila kitu kiongozi na mjadala ufungwe mwenye kuwelewa ameelewa, na ataekuja kukupinga analake jambo au atakuwa na chuki na Diego. Nimefuatilia comments zako zote, upo vizuri sana kaka,, na anaejuwa mpira atakubaliana na wewe,, uzuri umeweka wazi/ushahidi. Thank you so much!
Documentary iliyotolewa na FIFA inaonesha kwamba Pele mambo yote aliyofanya Ronaldo de Lima el Phenomenon kayafanya miaka 50 iliyopita, kweli inamaliza ubishi wote wa wanazi kina SHAFY DAUDA,
Mambo alifanya Lionel Messi uwanjani yamefanywa na Pele miaka ya zamani sana na mengine Messi hajayafanya
Mambo aliyofanya Zinedine Zidane Uwanjani yote wamecopy Kwa Pele ,
Mambo aliyofanya Cristiano Ronaldo yote kayafanya Pele miaka 50 iliyopita na mengine Ronaldo hajayafanya mpaka sasa,
FIFA wame apologize Kwa kuchelewa kurelease baadhi ya video pia na ubora wake haukuwa mzuri lakin wamefanya kuonesha kila anachofanya mchezaji wa sasa na waliopita wanalinganisha na matukio ya Pele uwanjani,
Video imeeleza kila kitu Kwa undani kabisa
Hapo utaona Luis figo, Ronaldo original, Roberto Carlos, Zidane, Fredrik Ljumberg , Messi n Ronaldinho matukio na mambo walofanya wanaonesha walipoyacopy Kwa pele,
Pitia video hii Kwa umakini,
Ukimaliza umpe salute Pele
Kuna sehemu unakosea ilq haina haja itazalisha ubishani ambao hauna kichwa wala miguu, tuachie hapo.Pele hamsogelei Diego Aemando Maradona. Historia inaonyesha Pele na Maradona
Wamewahi kushindanishwa
1. Pele Akashika namba Mbilidhidi ya Maaradona aliekua namba moja.
2. Pia Pele amewahi kushindanishwa na mchezaji nyumbani kwake Brazil akapata nafasi ya Pili.
Kitendo hiki cha Yeye kua namba mbili kimemfanya Diego Maradona kumsema vibaya Pele kua yeye hastahili namba moja.
Hata hivyo pele amekua akinufaika na nidhamu kwani Maradona pamoja na ubora wake amekua mtumiaji wa madawa ya kulevya mara kadhaa.
Hivyo basi Kwakua Pele amekua akishika namba mbili kila wakati ikapelekea wapewe uzani sawa Diego Maradona ikiwa kama shinikizo ili ku balance mambo.
Jambo hili limekua likimuudhi Maradona anayeamini yeye ni Bora kuliko Pele. Na kupelekea uhusiano wake na FiFa kua Mbaya.
Mbali na FiFa kuonekana ikimkumbatia Pele pia FiFa imekua shirika la kinyonyaji na kifisadi mbele ya macho ya Maradona. Tuombe Mungu kama matatizo haya yaliishia na Sepp Blatter.
Maradona ameshawahi kua kocha wa timu ya taifa lake Argentina. Pele hajawahi kua Kocha.
Kitu kimoja alichokofanya Pele ni kuwasifia waingereza na kuwatabiria ubingwa. Kitendo hiki kimemfanya apendwe na FiFA na Waingereza. Hata kujaa kwenye headlines duniani.
Pamoja na unafiki huu wa Pele bado Uingereza ambayo ni timu yenye jina kubwa imekua ikifanya Vibaya sana kwenye michuano mikubwa.
Wakati huohuo imemfanya Pele kuonekana kua hajui kubashiri matokeo kwakua amekua Bingwa wa kufeli.
Pele haachi kuipamba uingereza ili tu iendelee kumpenda na kumpamba duniani.
Huyu ndiye Edson Arantes des Nacimentos "Pele".
Kwangu atabaki kua mchezaji bora asiye na sifa ya kulinganishwa na wachezaji kama Maradona. Messi, Ronaldo, Ronaldino, wala Cristiano wachezaji wa leo.
Pela alikuwa ni forward sipingi hilo ila wakati mwingine alikuwa anacheza as a playmaker world cup kacheza games 14 goli ni 12 na assists ni 10.Kwanza Maradona Ni mfupi, swala la kutumia kichwa linaweza kua changamoto.
Pia Maradona ni midfielder na Pele Ni foward kama Ronaldo de Lima.
Kwenye uchezaji wa Maradona. Alikua mtu peke yake anayeibeba Timu, anayechezesha Timu, anahamasisha na kufunga.
Wakati Pele alikua anatembelea kivuli cha majina makubwa ya wachezaji wenzake wenye uwezo uwanjani.
kama akina
Garincha ambaye mwaka 1962 ndiye(Garincha) alikua kinara peke yake. Pele hakucheza kabisa,
Vava aliefunga goli 3 kwenye fainali mbili za kombe la Dunia,
Pia Didi aliechukua kiatu cha Dhahabu mwaka 1958
Pia kwenye timu ya Brasil wako wengine walikua wanapiga soka hata kama Pele asingekuwepo walikuwemo wakina Gérson, Jairzinho, Gilmar, Tostão, Zito, Bellini na Zagallo.
Hapa chini ni Ubingwa aliochukua Maradona na Timu ya Napoli ngazi ya club.
Serie A : 1986–87, 1989–90
Supercoppa Italiana : 1990
Copa Italia : 1961–62, 1975–76, 1986–87
UEFA Cup : 1988–89
Maradona kuondoka Napoli walishinda kwenye 2011.
Tukija kwenye idadi kubwa ya Magoli world cup unamuachaje Gerd Muller ukamuweka Pele enzi hizo?
Umetaja madawa ya kuongeza Nguvu. Ni sawa,.lakini tambua kua.Wakati zama za Maradona vipimo vilikua vinatumika kuthibitisha . lakini Hakukua na hivyo vipimo vya kuwapima na kuthibitisha wachezaji wanaotumia madawa zama za Pele.
Pia Huko Brasil kwenyewe walishindanisha mwanaspoti bora kuwahi kutokea alishinda muendesha magari ya formula One anaitwa Ayrton Senna. Yaani bado hali inaonyesha hata uko Brazil hawamkubali Pele wao.
Maradona is always the best in.the world.
View attachment 686646View attachment 686647View attachment 686648View attachment 686649
Pichani, Pele akiwa na fisadi Blatter.