Kwa dua kali na ya aina yake iliyofanywa Al Hilal asubuhi hii, wakifungwa nawapa hawara yangu mhangaike naye

Kwa dua kali na ya aina yake iliyofanywa Al Hilal asubuhi hii, wakifungwa nawapa hawara yangu mhangaike naye

Paka Saba ( 7 ) Wamekufa kwa Kitabu tu halafu kuna mahala nimeona Refa wa Mchezo nae kashika Filimbi na anaipa Dole la Furaha na Kicheko Klabu ya Al Hilal.

Ewe Mungu saidia Al Hilal ishinde.
Genta popoma mwenye degeree ya mchongo
 
Yanga leo anashinda.

Nimeoteshwa mwaka huu Yanga na Simba zote zitatinga Groups stage na zitapangwa kundi moja
 
Waarabu na Game za saa kumi ni kama kumsukuma mlevi tu. Yanga leo anashinda kiwepesi tu.

Kwa taarifa yenu nimeoteshwa mwaka huu Yanga na Simba zote zitatinga Groups stage na zitapangwa kundi moja makundi
We Nani kakudanganya Wale n waarabu.?[emoji16]..ulikimbia somo la geography nn ...hao wasudan sehemu wanayotoka ndo kuna joto Sana afrika hii kwa maan hyo Hilo Jua lako la DSM hamna kitu kwao
 
Kama nawe ulivyo na Mbunye yako ya / Nyabe lako la Mchongo.
.
FB_IMG_1612012763868.jpg
 
Back
Top Bottom