Kwa dunia ya leo na ijayo, malezi ya babu na bibi hayana tija kwa future ya mtoto

Kwa dunia ya leo na ijayo, malezi ya babu na bibi hayana tija kwa future ya mtoto

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Ni ukweli usiosemwa!

Wazee wetu ambao tumekuwa tukiaminishwa kuwa ni visima vya hekima na busara, kwamba tuwasikilize na kujifunza kwao. Kiuhalisia hawana mchango wowote kwenye dunia ya leo ya sayansi na teknolojia.

Malezi yao hujikita kwenye kile wanachokiita maadili na mila, na kwa wachache labda dini…. mara nyingine ni vitisho na kupinga watoto kujaribu vitu vipya. Kwa hofu kuwa hawajui matokeo yake, au sababu ya kile wanachoita ‘kinyume' na mila zetu.

Hii imekuwa moja ya sababu maisha yetu kubakia kuwa ya kijima.

Fikiria unapiga stori na wazee, watakupa mchongo gani? Wengi hawana wanalojua, utaambulia porojo tu na majigambo ya 'enzi zetu' blah blah!!

Tuwaheshimu wazee, ila tusiwategemee kwenye kuiendea kesho yetu.

Ni hayo tu.

Ncha Kali ……✍🏾✍🏾✍🏾
 
Wazee hawanaga jeuri kwa wajukuu zao.


Nikikumbuka Bi mkubwa alivyokua mtalebani wakati sisi tuko wadogo, na jinsi vijukuu vyake vinavyompelekesha sasa hivi, nabaki tu kucheka!

Kuna time wajukuu wanafanya kitu, najikuta tu nawaza, "enzi zetu za utoto ukifanya hivyo umekufa".
 
Ni ukweli usiosemwa!

Wazee wetu ambao tumekuwa tukiaminishwa kuwa ni visima vya hekima na busara, kwamba tuwasikilize na kujifunza kwao. Kiuhalisia hawana mchango wowote kwenye dunia ya leo ya sayansi na teknolojia.

Malezi yao hujikita kwenye kile wanachokiita maadili na mila, na kwa wachache labda dini…. mara nyingine ni vitisho na kupinga watoto kujaribu vitu vipya. Kwa hofu kuwa hawajui matokeo yake, au sababu ya kile wanachoita ‘kinyume' na mila zetu.

Hii imekuwa moja ya sababu maisha yetu kubakia kuwa ya kijima.

Fikiria unapiga stori na wazee, watakupa mchongo gani? Wengi hawana wanalojua, utaambulia porojo tu na majigambo ya 'enzi zetu' blah blah!!

Tuwaheshimu wazee, ila tusiwategemee kwenye kuiendea kesho yetu.

Ni hayo tu.

Ncha Kali ……✍🏾✍🏾✍🏾
Wazee wengi wana sound na fiksi Sana.

Siku Moja nilitoka kumsabahi braza Chuwa alipata ajali ya bodaboda. Wakati narudi ghetto kabla sijafika njia panda ya kukatiza kwenda kwa kina lemaa na Lauu nikakutana na mzee Thadayo.

Nikamsalimia shkamoo mzee Thadayo akajibu kwa bashasha marahaba mwanangu. Nikataka kuendelea kutembea akanizuia na kuanza stori unajua nikikuona bwana mdogo unanikumbushia mbali Sana enzi zangu za ujana. Nilisafiri na kutembelea nchi nyingi Sana Australia, Brazil, Canada, marekani, ujerumani, Iran, uingereza hata hii Ukraine inayobondwa.

Nilishikwa na mshangao nikamjibu Dah mzee Thadayo umetisha asee je Jiografia unafaham?

Mzee akajibu aahh bwana mdogo Jiografia Tena pale Jiografia nimekaa zaidi ya mwezi mmoja.

Kabla hajamaliza kuelezea zaidi nikampa ngumi ya tumbo. Wakati anashangaashangaa Nini kinaendelea huku anasikizia maumivu makali nikampa buti Kali kwa kisigino mgongoni na kumsukumizia na lengine la kalio korongoni huko. Nikaondoka zangu nimemaindi kichiz huku analia nakunilaani.

hydroxo ngenya kajekudya Darmian Chaliifrancisco Mzingo RRONDO Extrovert Chura Gushleviv Prince Kunta
 
Ni ukweli usiosemwa!

Wazee wetu ambao tumekuwa tukiaminishwa kuwa ni visima vya hekima na busara, kwamba tuwasikilize na kujifunza kwao. Kiuhalisia hawana mchango wowote kwenye dunia ya leo ya sayansi na teknolojia.

Malezi yao hujikita kwenye kile wanachokiita maadili na mila, na kwa wachache labda dini…. mara nyingine ni vitisho na kupinga watoto kujaribu vitu vipya. Kwa hofu kuwa hawajui matokeo yake, au sababu ya kile wanachoita ‘kinyume' na mila zetu.

Hii imekuwa moja ya sababu maisha yetu kubakia kuwa ya kijima.

Fikiria unapiga stori na wazee, watakupa mchongo gani? Wengi hawana wanalojua, utaambulia porojo tu na majigambo ya 'enzi zetu' blah blah!!

Tuwaheshimu wazee, ila tusiwategemee kwenye kuiendea kesho yetu.

Ni hayo tu.

Ncha Kali ……[emoji1614][emoji1614][emoji1614]
malezi ya watoto hayatakiwi kuwa free mode
 
Back
Top Bottom