flyn ryder
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 656
- 86
mwanangu nimemwambia asome political science awe kama John Mnyika mwanasiasa halafu bungeni atoe hoja ya makandarasi kanjanja na wewe ukiwemo.
Nani mshindi hapo?
Uanasiasa sio lazima usomee ni jinsi utakavyoweza kuwavutia watu kwa uongo wako,mm sio mkandarasi kanjanja kwa sababu sijawahi kubahatisha katika elimu yote niliopitia na namshukuru M/MUNGU na namuomba anisaidie nisipate degree gamba,napenda nije nipate kidogo lakini nifurahie taaluma yangu sio kupata kingi kwa ujanja ujanja