flyn ryder
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 656
- 86
mwanangu nimemwambia asome political science awe kama John Mnyika mwanasiasa halafu bungeni atoe hoja ya makandarasi kanjanja na wewe ukiwemo.
Nani mshindi hapo?
kwa ardhi hamy d kidogo sikubaliani na wewe, pale karibia koz nyingi huwezi kukaa mtaan bila kitu cha kufanya ni kama pale wanaosoma COET
Ardhi University wanatafutwa?
Kuna shahada kama BE, CM, LMV, ARCHTECTURE, INTERIOR DESIGN, REFI, EE, GM, ISM, BAF just to mention few. Hawa wote wapo mitaani na tulikuwa pamoja katika kudharau watu waliosoma IFM, CBE na IAA...
Sikiliza kijana, wewe bado upo chuo, nenda kaulize hao wanafunzi wa Ardhi wanasemaje kuhusu field tu. Kama field tu inawapa shida, hiyo ajira unaisemaje?
Sasa wewe unataka kupotosha watu kuwa waajiri wanawatafuta wanafunzi kutoka Ardhi ili iweje?, Ardhi sio isolated island kijana, tuna wadogo zetu tunasomesha hapo, hata huyo Idrisa Mshoro anajua vizuri hali ya ajira, halafu wewe unataka kujidanganya kuwa hali ni nzuri eti kisa taaluma za hapo ni za kipekee!
kama wewe ni mkongwe mbona unasema mlikua mnaponda chuo pamoja na wanafunzi ISM na BAF wa ardhi wakati ISM bench ya kwanza kumaliza ni mwaka jana na BAF ni mwaka huu..umegoogle ARDHI umemjua VC wa pale ndio unajifanya unamjua sana prof mshoro..fanya utafiti usikurupuke tu..
Akili yako ndio kitakachokubeba
Ardhi hawatafuti kazi ila wanatafutwa wao kwa sababu ya upekee wao..sisi hatupigani vikumbo na IAA na IFM kutafuta kazi..kazi za course za ardhi bado zipo nyingi..ukitoa mifano yako naomba ARDHI uiweke pembeni..over
vijana mmeachana na UDINI, ss mko kwenye UCHUO hahaha nchi maskini etiii chuo gani ni bora GREAT THINKERs hawako ivyo.
bila shaka utakuwa upo masomoni eti "ni kama pale wanaosoma COETP".....haya bana ukimaliza kusoma 20....utatupa majibukwa ardhi hamy d kidogo sikubaliani na wewe, pale karibia koz nyingi huwezi kukaa mtaan bila kitu cha kufanya ni kama pale wanaosoma COET