Kwa first year na wanachuo wote

Daagh mkuu Agent kweli wewe ni great thinker...kula 5
 
Last edited by a moderator:
ukwel utabak pale pale japo mm sio membar wa UDSM ila ukwel n kwamba wataendelea kuwa juu
 
Kwel kujadil kip chuo bora saa nyngne haina maana,cha muhmu penda chuo ulichochaguliwa,na xoma kwa bidii...from udsm aka mliman compus aka mwl.nyerere cmps
 
ukisikia ma Great thinker mmojawapo ni huyu jamaa, umeonyesha ukongwe wako Mkuu maana kila siku humu haziishi hizo habari za kubishana kuhusu vyuo
 
Umenena kweli. Cha muhimu siyo chuo bali taaluma inayotolewa na na kama chuo kina walimu katika field unayosomea.
 
Kuwa juu kwa jina au kuwa juu kwa kutoa watu wenye elimu kichwani. elimu kichwani ni wewe mwenyewe. Unaweza kusoma hiyo UDSM kichwani ukawa bongo lala ukazidiwa na mtu wa Mzumbe, SAUT au chuo chochote na nimewaona wengi wametoka mlimani ukimwambia ajieleze au kuandika ripoti ni mgogogoro kwake
ukwel utabak pale pale japo mm sio membar wa UDSM ila ukwel n kwamba wataendelea kuwa juu
 
Anayekomaa udsm wapo juu naomba anisaidie nifanyaje ili nikasome geoinformatics udsm na nina point 8, akili za kuku changanya na zako.
 

Mwambie uyo bro...
Huyu jamaa flyn rider chuo cha Ardhi anakionaga kama Harvard vile me mwenyewe nasoma hapohapo ila nauelewa mchezo ulivyo mtaani
 
Respect kwako uliyeweka hii thread,God bless you kwa kuwafungua akili wote walio na mawazo mgando
 
nimegundua wanaosoma chuo bora UDSM,muhimbili na ardhi ni wachache ndio maana wanapingwa sana kama viongozi wasiasa! Endeleeni kujifariji kwamba vyuo vyote ni sawa! Kuna watu wanalia hawajawai kumwona proffessor, cozi tofauti lakini content zote zinafanana, japokuwa ada ni mara tatu ya ile ya udsm, library zakubabaisha , shida tupu yani mi naona ujipange tena alafu ndo uje kwa dunia ya sasa kila kitu ni ushindani kuna namba moja na namba ya mwisho! Roger that....
 
Last edited by a moderator:

Uwiiiiiiiiiiii.....
Umenifurahisha
"Kuna watu vyuoni wanalia hawajawai kumuona proffessor"
 
Last edited by a moderator:
hahahaaaahhh....!!! kitu gani cha kipekee ambacho ARDHI kipo na vyuo vingine hawana.I think its about time now you start thinking outside the box the institution you went to doesn"t matter what matters is your COMPITENCE in your field:flame:😡

hukijui ni kitu gan pekee ambacho ardhi inatofautiana na vyuo vingi?basi ni upekee wa course wanazotoa na pia hizo course zina market,huwezi kuona course ya geomatics,land management and valuation,environmental engineering,urban and regional planning katika vyuo vengine,na hizo course ajira zake zipo watu hawasugui ubao,umeshwahi kumuona mtu amesoma geomatics hana kazi?land management and valuation?architecture?fanya research utajua?but accounting,sociology,bba,economics kazi shida kitaa
 
hahahaaaahhh....!!! kitu gani cha kipekee ambacho ARDHI kipo na vyuo vingine hawana.I think its about time now you start thinking outside the box the institution you went to doesn"t matter what matters is your COMPITENCE in your field:flame:😡

au utaniambia course kama geology engineering,petroleum geology,au actuarial science utazipata wap tofaut na udsm,then wasote kutafuta kazi kama IT wa IFM?
 
Mwambie uyo bro...
Huyu jamaa flyn rider chuo cha Ardhi anakionaga kama Harvard vile me mwenyewe nasoma hapohapo ila nauelewa mchezo ulivyo mtaani
Jamaa boya wewe field ardhi hakuna ubabaishaji usiwatishe madogo field unaandk tu mkoa unaotaka chwaaaaaa unapngiwa fasta nenda pale watafute maQS na maarchitect kama field ni shida
 
hahahaaaahhh....!!! kitu gani cha kipekee ambacho ARDHI kipo na vyuo vingine hawana.I think its about time now you start thinking outside the box the institution you went to doesn"t matter what matters is your COMPITENCE in your field:flame:😡

atiii unauliza nini kinanuka chooni? hujui upekee wa ardhi
 
Jamaa boya wewe field ardhi hakuna ubabaishaji usiwatishe madogo field unaandk tu mkoa unaotaka chwaaaaaa unapngiwa fasta nenda pale watafute maQS na maarchitect kama field ni shida

unazungumzia field....
Watu wanazungumzia ajira kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…