Kwa first year na wanachuo wote


POINT!
Speak it loudly.
 
acha uongo mkuu, kweli kuna graduate gani wa BE, CM, LMV, ARCHTECTURE, INTERIOR DESIGN, EE, GM ambae bado anakula ugali wa mama home!makampuni kibao yapo, serikalini nako uhitaji si haba
 
ISM hawakunitupa,niliichagua,na baada ya kuona chenga nikaipiga chini nikaomba GM,nisome ISM nije nife maskini mimi,

Aaaah ISM utakufa masikin na hii je mwenye kuijua kiundan BBIS(BSc Business Information System) au yaleyale ya ISM Tusaidiane kwa mwenye idea
 
acha uongo mkuu, kweli kuna graduate gani wa BE, CM, LMV, ARCHTECTURE, INTERIOR DESIGN, EE, GM ambae bado anakula ugali wa mama home!makampuni kibao yapo, serikalini nako uhitaji si haba

Ngoja mkihitimu na kutoka hapo chuo haya mnayoandika yatakuwa wosia wenu huku mtaani na vuguvugu la ajira lilivyo
 
POINT!
Speak it loudly.

mkuu umeweka ktu yakueleweka apo kwa wale wasio vchwa ngumu. (complicator)..we soma kokote kchwa chako na uelewa wako ndo itakufanya uonekane ww kama mjuzi watu kbao kutoka majna makubwa ya vyuo humbwerambwera sana kwenye practice..
 
hiyo kweli hatari but na vp kuhusu wale wa kampala international...?
 
Me m2 anaexma masomo ya biashara unasugua mtaani nahic ni mvivu wa kufikiri, kwasabu ye mwenyewe akiajiliwa anahtaji apate mtaji ili afanye biashara. Mtu yeyote mwenye title ya pesa duniani ni mfanyabiashara, na ni lazima ajue uchumi. Hata ukisoma engeneering mbka arth ipasuke bila biashara utakufa na title kubwa na mikononi huna kitu.
 
Ardhi hawatafuti kazi ila wanatafutwa wao kwa sababu ya upekee wao..sisi hatupigani vikumbo na IAA na IFM kutafuta kazi..kazi za course za ardhi bado zipo nyingi..ukitoa mifano yako naomba ARDHI uiweke pembeni..over

Umwamba wa kijanga huu.ndio tunakataaa
 
Cha kuangalia ni % ya wangapi wamemaliza na kupata ajira so ubora wa chuo na cozi bado zinanafasi
 
Kwa ufupi Tanzania fursa za ajira ni chache saana vjana msiwaze kuajiriwa mkiwa chuo jitahdin kufikiria maisha baada ya chuo sio mnaishi kama maroboti
 
Umenena vyema kaka.....May God bless you and forgive you for your sins.Asante sana Bro.
 
Kweli kabisa ifikie wakati tuwe tunajadili changamoto za ajira na sio huu ujinga wa kuweka nyuzi zisizo na maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…