National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
☺️☺️☺️☺️ Aaaaah! Hata maombi ya dk moja tuuu..Weeeh!! Maombi yetu yako na matumizi mengi🤣🤣🤣🤣
Cc Makiwendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
☺️☺️☺️☺️ Aaaaah! Hata maombi ya dk moja tuuu..Weeeh!! Maombi yetu yako na matumizi mengi🤣🤣🤣🤣
Cc Makiwendo
bila kutusimanga umesikia hutaeleweka 😐asiyeendekeza Ngono na Pombe
Bora ngechukua chuma Kama Noah ya Lemutuz,kitu Cha kiumeni kile!!Duh! hii chuma kwa mwanaume ni kama haivutii sana (mtazamo binafsi)
pamba kali tu heshima huku kwetu unapata, boda mbali sanaaaa.Watu wanatoa heshima kwa boda boda mbona gari ni mbali sana huko...
Hee!!4.5m used.. Kuna jamaa yangu alinunua hiyo, angejua angetanua biashara yake TU...kilomita 3 inakula lita 10😂😂
Daah kweli Mkuu...pamba kali tu heshima huku kwetu unapata, boda mbali sanaaaa.
Hapana kwa kweli.[emoji1787][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526] Aaaaah! Hata maombi ya dk moja tuuu..