Lukeman Josman
Member
- Aug 9, 2021
- 15
- 5
Habari zenu wakuu,
Kuna kijana ana matokeo kama ifuatavyo.
Diploma in Clinical Medicine
GPA ni 3.9 kahitimu 2015.
O' level ana:-
B/Maths - A,
Physics - B,
Chemistry -B,
Biology - B na
English - C.
Kaomba vyuo vifuatavyo:-
SUZA- MD,
UDOM- MD,
UDSM- MD,
MUHAS- MD,
KCMUCo- MD na
CUHAS- Bugando - MD
Ana wasiwasi sana Je kuna uwezekano kuwa anaweza kupata ? Maana mwaka jana 2020/21 aliomba hakufanikiwa kupata round zote.
Mwaka 2020/21 aliomba kama ifuatavyo:-
UDOM- MD,
UDSM- MD,
MUHAS- MD,
SFUCHAS- MD,
KCMUCo - MD. Lakini hakufanikiwa kupata.
Je, Anaweza kupata mwaka huu?
Ushauri wenu pia ili aweze kutimiza ndoto yake.
Natanguliza shukrani.
Kuna kijana ana matokeo kama ifuatavyo.
Diploma in Clinical Medicine
GPA ni 3.9 kahitimu 2015.
O' level ana:-
B/Maths - A,
Physics - B,
Chemistry -B,
Biology - B na
English - C.
Kaomba vyuo vifuatavyo:-
SUZA- MD,
UDOM- MD,
UDSM- MD,
MUHAS- MD,
KCMUCo- MD na
CUHAS- Bugando - MD
Ana wasiwasi sana Je kuna uwezekano kuwa anaweza kupata ? Maana mwaka jana 2020/21 aliomba hakufanikiwa kupata round zote.
Mwaka 2020/21 aliomba kama ifuatavyo:-
UDOM- MD,
UDSM- MD,
MUHAS- MD,
SFUCHAS- MD,
KCMUCo - MD. Lakini hakufanikiwa kupata.
Je, Anaweza kupata mwaka huu?
Ushauri wenu pia ili aweze kutimiza ndoto yake.
Natanguliza shukrani.