Kamelengo
Senior Member
- Nov 1, 2020
- 173
- 435
Mwaka huu akikosa tena itabid tumtafutie md hata malawi maana ndo ndoto yakeDuuh ! Hii kitu ni changamoto kwa wengi kumbe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka huu akikosa tena itabid tumtafutie md hata malawi maana ndo ndoto yakeDuuh ! Hii kitu ni changamoto kwa wengi kumbe.
Wangerudisha AMO angalau ingekua nafuki
Kwenda private Kairuki huko, au kutafuta nafasi physically kuna mshikaji alitafta physically ana 3.5 yupo Md2Duuh! Hii ni shida wenye 3+ hawajafika 4.4+ watafanyaje sasa ? Au ndo imeisha hivyo ?
Hii ya kuapply physically inakuaje??
Unaenda chuo husika moja kwa moja
Mwaka huu akikosa tena itabid tumtafutie md hata malawi maana ndo ndoto yake
aiseee hii inshu ni kweli ...watu wengi walosoma hasa vyuo vya government na vichache vya dini au mashirika gpa ni za kulenga na manati sana....
Mimi O level PCB nna BBA, DIPLOMA CO 3.8 miaka 4 nasota kupata admission, vyuo vya serikali yaani nikikumbuka naumia hlf nna mwamba yaani olevel div 4, diploma private 4.5 yupo Muhas Md mwaka wa 5 anaingia