Kwa graduate tu....

Kwa graduate tu....

Wewe boya huyo SSB ni Bakhresa ambaye amepata elimu ya msingi tu, ndio maana unaonekana kituko hapa wakati hata Bill gates hakumaliza masomo yake Harvard, na kwa tangazo lako hili hata Bill Gates hana sifa ya kujiunga na wewe kwa sababu yeye siyo graduate.

Eti hawa ndio wasomi Tanzania!! My foot aliyeturoga kafa kwa kweli.

Sijajua kwanini umereact namna hii, kama concept ya graduate ina matatizo jieleze kwa utaratibu na ustaarabu utaeleweka braza.
 
Hapa ndo ninapoona umuhimu wa kusoma, nabaguliwa hata na wajasiriamali wenzangu?
Najipa moyo mkuu, SSB inasemekana alikuwa na elimu ya kawaida alipoanza ujasiriamali, nikimuorozesha mmoja kati ya wengi waliofanikisha ujasiriamali.

Sijakubagua kaka nishatoa maelezo ya wasiwas wako
 
Una hasira duuu!!! Kaeleza kwa nini graduate hapo juu.Kama nimemuelewa kasema ndio wenye matatizo makubwa ya kutochangamkia biashara kwa sababu ya mindset zao zimekaa kuajiriwa na vile vile wote wanakaribishwa

Nisaidie kaka huwa siasa siziwezi.
 
Mkuu tupo pamoja, chukulia kama changamoto ya kibiashara tu unapouza bidhaa, hapa unauza bidhaa "wazo lako" jinsi unavyolitetea na kulisimamia ndio tunaona ukomavu wa wazo hilo, kunyumbulika sio kitu kibaya, wazo zuri linatakiwa kunyumbulika kulingana na mazingira. Ukiwa miji mikubwa ni ngumu kuona kwa urahisi lakini kwenye miji ya kati mf. Iringa, wajasiriamali wakubwa wengi ni wa elimu ya kawaida, usiwasahau.
Kitu cha msingi weka japo dondoo ya unachotaka kukifanya.

Sijakubagua kaka nishatoa maelezo ya wasiwas wako
 
ya ndio iwe kwa wasomi tu hata hicho kikundi jinsi kitakavyo sajiliwa kipewe usajili kikitambuliwa
kama kinachomilikiwa na kuendeshwa na graduates tu Mtiro simama wima watu kama akina matola
kama wanawakilisha watu wasio soma basi wakae pembeni. Ameonyesha tabia na utovu wa nidhamu
katika thread inayowahusu graduates. vikundi viko vingi akajiunge na hicho ambacho kina sifa kama zake.
Nimeku-Pm namba yangu twende kazi.
 
ya ndio iwe kwa wasomi tu hata hicho kikundi jinsi kitakavyo sajiliwa kipewe usajili kikitambuliwa
kama kinachomilikiwa na kuendeshwa na graduates tu Mtiro simama wima watu kama akina matola
kama wanawakilisha watu wasio soma basi wakae pembeni. Ameonyesha tabia na utovu wa nidhamu
katika thread inayowahusu graduates. vikundi viko vingi akajiunge na hicho ambacho kina sifa kama zake.
Nimeku-Pm namba yangu twende kazi.

Hivi wewe kiumbe darasa la saba siyo graduate?
 
Wewe Matola kama hukubahatika kusoma bora uachane na huu uzi kwa sababu unaonyesha wazi kuwa huna elimu inayozidi Secondary
 
Last edited by a moderator:
Wewe Matola kama hukubahatika kusoma bora uachane na huu uzi kwa sababu unaonyesha wazi kuwa huna elimu inayozidi Secondary

Jibu hoja acha viroja, kuna kusoma na kuelimika onesha usomi wako hapa. Graduate ni nini?
 
Last edited by a moderator:
Swali la msingi linahitaji jibu, upana wa recruitment ujulikane, kama hamtojali jibu litapendeza zaidi.

Jibu hoja acha viroja, kuna kusoma na kuelimika onesha usomi wako hapa. Graduate ni nani?

wazo zuri la biashara ndogo lina sifa nyingi ikiwamo kudurufika hata kama kwa namna yeyote watu fulani hawataweza kujiunga nanyi kwa sababu zozote wanaweza kulitumia katika kundi dogo la peke yao. Nasisitiza umuhimu wa kuliweka wazo ubaoni.
 
We Masawe haumilik bastora kweli? Usije ukageuzia kibarua kwa share holders na hist ikabadilika makuuuu
 
Hili ni wazo jama sana .binafsi nilipokaa pia mud bila ajira nilifikiria kitu kama hiki,watu walikua muitikio mkubwa kwenye PM lakini ukiwaalika kwenye physical meeting hawaji ,kwa hiyo mkuu jipange na inawezekana kabisa all ze best!
 
Napenda kuutumia muda huu kimshukuru mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kimaliza masomo yangu katika chuo kikuu cha dar es salaam. Pia napenda kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuendelea kunipa pumzi ya uhai na kunijalia nguvu kwa kipindi chote cha mwaka, sitosita kumuomba Mungu atuwezeshe kuumaliza mwaka salama.

Lengo kuu la makala hii kwa kueleza mtazamo wangu kwa sisi tuliohitimu masomo yetu ya chuo Kikuu, kama ilivyokawaida baada ya kuhitimu masomo yetu kilichobaki ni kutafuta kazi ya kufanya ili tuweze kupambana na maisha either kwa kujiajiri au kwa kuajiriwa. Binafsi toka nilipohitimu masomo yangu mnamo mwezi wa sita nilianza mchakato wa kutuma maombi ya kazi na namshukuru mungu kwa kuwa niliitwa kwenye interview tano ila sikubahatika kupata kazi hata moja.

Baadaya ya kukumbana na changamoto mbalimbali maswali mengi yalinisumbua kichwa changu kubwa ni hili la kuwa nitaomba kazi hadi lini? na je nisipopata hatima ya maisha yangu itakuwa ni ipi ? Haya ndiyo yananisukuma kuandika makala hii leo kwa kuwa ninaimani wapo wanaokumbana na maswali kama hayo.
Kutokana na kufikiri huko nimefikia hitimisho la kuona ni bora kuingia katika ulimwengu wa kujiajiri kuliko kungojea kuajiriwa, hivyo kutokana na hali halisi ya mazingira yetu mwanzo wa kuanza biashara huwa ni mgumu sana endapo utakuwa unafanya peke yako ila ina unafuu endapo tutafanya kama kikundi.
Hivyo basi naomba kama kuna graduate yeyote asiyependa kuajiriwa na ambaye kwa dhati ameamua kuweka vyeti pembeni na kuingia katika ulimwengu wa kujiajiri awasiliane nami ili tuunde kikundi ambacho tutaanzisha biashara na kila mtu atakuwa na share yake. Binafsi Mimi ni mchaga kwa kabila na nimefanya biashara kwa muda mrefu as a part time wakati nikiwa chuo hivyo ninauzoefu na hii kazi na nina imani endapo tukiwa group itakuwa ni rahisi kupata mkopo, kufanya marketing na kusupply na ninaimani we will make a lot of money only if we will be serious na tutasahau kutembea na bahasha kuomba kazi.

Nahitaji vijana watano tu ambao wapo serious na wenye lengo la dhati la kujiajiri wenyewe. Naomba kwa aliyetayari ani PM aweke na namba zake za simu ili tuweze kuwasiliana.

"KWA NINI USOME THEN UKAAJIRIWE NA SIO KUJIAJIRI?" we need to change our mindset.

Kaka nichek kwa 0768111123 tuunganishe nguvu!
 
Back
Top Bottom