Kwa graduate tu....

Kwa graduate tu....

Hili ni wazo jama sana .binafsi nilipokaa pia mud bila ajira nilifikiria kitu kama hiki,watu walikua muitikio mkubwa kwenye PM lakini ukiwaalika kwenye physical meeting hawaji ,kwa hiyo mkuu jipange na inawezekana kabisa all ze best!
Thanx kaka,ninaimani tutayaweza yote katika yeye atutiae nguvu.
 
MITRO ikitokea kazi ya taaluma yako? unasemaje? upo tayari?
 
Kwanza nianze kwa kukupongeza ni good IDEA.

Pili, ningependa kukushauri ingekuwa vizuri kama ungewasiliana na rafiki zako kwanza wa chuoni kwako, lakini kama umemalizia chuo nje ya nchi basi huna budi kufata utaratibu huu.

Tatu, kwenye kuunda hii timu yenu zingatia uhodari/ujuzi au vipawa zaidi kuliko kubeba mtu sababu ni university graduate.

Nne nakutakieni mafanikio na hii iwe mfano kwa vijana wengine wote wanaomaliza elimu ya juu, japokuwa najua si kosa lao sababu elimu ya vyuo vikuu vingi Tanzania haviwaandai vijana wetu kikamilifu kupambana katika karne hii ya 21.

Mwisho usisikilize ya watu tilia mkazo kwenye IDEA yako unless mtu aje na hard factual business/economic evidence to suggest that idea is not viable.
 
kiukwel mi nipo tayar ila sijui jinsi ya kupm mi mgeni hapa!
 
Kwanza nianze kwa kukupongeza ni good IDEA.

Pili, ningependa kukushauri ingekuwa vizuri kama ungewasiliana na rafiki zako kwanza wa chuoni kwako, lakini kama umemalizia chuo nje ya nchi basi huna budi kufata utaratibu huu.

Tatu, kwenye kuunda hii timu yenu zingatia uhodari/ujuzi au vipawa zaidi kuliko kubeba mtu sababu ni university graduate.

Nne nakutakieni mafanikio na hii iwe mfano kwa vijana wengine wote wanaomaliza elimu ya juu, japokuwa najua si kosa lao sababu elimu ya vyuo vikuu vingi Tanzania haviwaandai vijana wetu kikamilifu kupambana katika karne hii ya 21.

Mwisho usisikilize ya watu tilia mkazo kwenye IDEA yako unless mtu aje na hard factual business/economic evidence to suggest that idea is not viable.

Thanx Mr
 
Graduate
(noun) someone who has completed a university degree, especially a first degree

(verb); to obtain a degree, especially a first degree, from a college or university:

umecopy na ku paste toka Oxford dictionary je utaendelea na kucopy hata busness plan?
 
Unadhan kila mtu anahitaji plan. Wengine tumezikuta na zinaendelea!!

BTW; usikariri kuwa kamusi pekee ya kingereza ni oxford!!!
Unajua longman weye? Huyo anataka maana ya graduate, basi hebu buni defn ambayo haitaendana na "oxford" yako
 
Kwanza nianze kwa kukupongeza ni good IDEA.

Pili, ningependa kukushauri ingekuwa vizuri kama ungewasiliana na rafiki zako kwanza wa chuoni kwako, lakini kama umemalizia chuo nje ya nchi basi huna budi kufata utaratibu huu.

Tatu, kwenye kuunda hii timu yenu zingatia uhodari/ujuzi au vipawa zaidi kuliko kubeba mtu sababu ni university graduate.

Nne nakutakieni mafanikio na hii iwe mfano kwa vijana wengine wote wanaomaliza elimu ya juu, japokuwa najua si kosa lao sababu elimu ya vyuo vikuu vingi Tanzania haviwaandai vijana wetu kikamilifu kupambana katika karne hii ya 21.

Mwisho usisikilize ya watu tilia mkazo kwenye IDEA yako unless mtu aje na hard factual business/economic evidence to suggest that idea is not viable.

nilikua na wazo la kuanzisha asasi ya kiraia,sasa kwa bahat mbaya sikuangalia uhodar,nikaangalia u-graduate wa mtu,now najuta,fursa zipo watu si competent si cooperative,kila jambo ni full kusukumana,bt napamabana na mambo yanaenda,so ni kweli mtoa mada ajaribu kuangalia watu ambao wana nia ya dhat na wana muono wa aina moja
 
Back
Top Bottom