DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Kama umetazama Mpira utagundua Lile lilikuwa ni Goli safi walilofunga yanga lakini Refa Na VAR ya kizushi imekataa.
Naibu waziri wa michezo kasema Mhe Hamisi Mwinjuma au Mwanafalsafa kasema kuwa hilo watalifanyia kazi.
Sasa Nakukaribisha na wewe Uangalia Kweli hili sio goli?
Naibu waziri wa michezo kasema Mhe Hamisi Mwinjuma au Mwanafalsafa kasema kuwa hilo watalifanyia kazi.
Sasa Nakukaribisha na wewe Uangalia Kweli hili sio goli?