Kwa hali aliyonayo Bernard Membe, Kikwete alikuwa sahihi huyu hakustahili kupeperusha bendera ya CCM hata kidogo

Kwa hali aliyonayo Bernard Membe, Kikwete alikuwa sahihi huyu hakustahili kupeperusha bendera ya CCM hata kidogo

Amwage damu na hao jeshi lake la akiba anaenda the Hague View attachment 1558757
Doh aisee angeanza kwanza kupinga neo colonial project inayo letwe na wao wenyewe alafu ndio angekuja sasa kuzungumzia hicho anacho kiita internal colonialism.

Kuna ile team ya kusifu na kuabudu ya Chadama ikiongozwa bw Tindo lazima watasifia hicho anachokisema huyo wanae muita wakili hapo.
 
Kwa taarifa yako sio Magufuli wala Membe hakuna mwenye mvuto, wote wanategemea nguvu ya vyombo vya dola. Hata Lowassa angekosea ile 2015 aende chama kingine nje ya cdm, angekuwa kama Membe hivi sasa. Zito alikuwa anang'ang'ania kuungana na cdm maana anajua fika kwa huku bara, cdm ndio chama chenye wafuasi wa upinzani wa kweli. Bahati nzuri wanachama na wafuasi wa Cdm tulisema hatutaki tena taka ngumu toka ccm.

Halafu acha upotoshaji usio na tija yoyote, ccm haina wanachama 15m, kama ina wanachama wa kweli hawavuki milioni 3. Nguvu za vyombo vya dola pekee na tume isiyo huru ya uchaguzi, ndio huficha ukweli huu kuwa hadharani. Kama ccm ingekuwa na wanachama wangalau milioni tano tu hai, isingekuwa inatagemea tume ya uchaguzi kuwapitisha bila kupingwa. Cdm sidhani kama ina wanachama 1.5m, lakini ndio chama chenye wafuasi wengi hasa vijana, ila ni wasio na kadi, mfano halisi ni mimi mwenyewe. Mimi sio mwanachama wa Cdm, lakini ni shabiki wa kutupwa wa Cdm, na watu wa aina yetu ni wengi sana. Hivyo mtu yoyote akiwa ccm atategemea mbeleko ya vyombo vya dola, na akitoka asipoelekea cdm automatically anapoteza mvuto.
Kizuri kwamba umejiweka wazi kuwa wewe ni mshabiki lia lia wa chadema na Kama ni mshabiki lia lia maana yake kwamba huwezi ukawa na uwanja mpana wa kifikira hata Mara moja kwasababu ushabiki lazima tu utakuvuta uegemee upande mmoja wa kule unakoshabikia.
Yaani kwa maneno mengine wewe ni mmoja wa ile timu ya kusifu na kuabudu kila kitu kinachotoka chadema. Huna utofauti wowote na watu Kama BIA YETU na USSR na wengine ambao ni prays team ya ccm tofuti yako na hao ni vyama tu Ila tabia ni zile zile.
 
Kizuri kwamba umejiweka wazi kuwa wewe ni mshabiki lia lia wa chadema na Kama ni mshabiki lia lia maana yake kwamba huwezi ukawa na uwanja mpana wa kifikira hata Mara moja kwasababu ushabiki lazima tu utakuvuta uegemee upande mmoja wa kule unakoshabikia.
Yaani kwa maneno mengine wewe ni mmoja wa ile timu ya kusifu na kuabudu kila kitu kinachotoka chadema. Huna utofauti wowote na watu Kama BIA YETU na USSR na wengine ambao ni prays team ya ccm tofuti yako na hao ni vyama tu Ila tabia ni zile zile.

Nina uelewa wa kutosha, na usidhani ninakubali kila kinachotoka cdm kisa mimi ni shabiki wao, na uzuri msimamo wangu uko wazi peupe hapa jukwaani. Nina uelewa wa kuridhisha wa mambo,na ninachambua nikiwa huru. Kwani ww una tofauti gani na hao kina Bia Yetu, USSR nk mpaka uwataje wao kisha ww ujiruke?
 
Membe angojee uchaguzi wa 2025? Wakati huo atakuwa na miaka 70+, kwa umri huo atafanya nini?


2025 Bernard Membe atakuwa na miaka 71 hivyo bado ana nafasi ya kugombea uraisi 2025 na 2030 akiwa na miaka 77.

Joe Biden ana maika 77 anagombea uraisi huko Marekani,Buhari aliingia madarakani 2015 akiwa na miaka 72(Nigeiria). 2018 Muhathiri bin Muhammad aliingia madarakani kule Malaysia akiwa na miaka 92,akaachia madaraka 2020 lengo lake lilikua ni kukitoa chama chake cha zamani kilichokuwa madarakani baada ya kuona wanaharibu uchumi wa nchi alioshiriki kuujunga.

Husishangae Membe akagombea 2025 na 2030 baada ya hapo ndiyo akamuachia Zitto.
 
Mhe. Kikwete alikuwa sahihi kukata jina la Membe 2015 kuwa mgombea urais kupitia CCM kwa kweli hana ushawishi wala mvuto wowote kwa watanzania, Kama kikwete angefanya kosa la kumpitisha huyu mtu 2015 Kisha apambane na Lowasa leo tungekuwa tunazungumza Lugha nyingine kabisa kwenye siasa za Tanzania.

Viongozi wa CCM wamekuwa wajanja sana hata uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020 walipoona ameanza chokochoko wakamtimua mapema ili asiharibu mipango ya uchaguzi kumbe waliona mbali Bernad Membe hana ushawishi hata kidogo wa kuwa kwenye nafasi kubwa Kama ya urais.

Hana ushawishi ndani ya chama wala nje ya CCM, kwa kifupi watanzania wamempuuza huyu mtu.

Kiuhalisia ukiacha mtaji mkubwa wa wanachama walio nao CCM zaidi ya mil 15 lakini ukweli ni kwamba mgombea urais anapaswa kuwa na mvuto na kukubalika na hata watu wa vyama vingine na wasio na vyama jambo ambalo Magufuli kwa asilimia kubwa analo japo wengi hawataki kutamka wazi hilo.

Sasa kwa Membe yeye hana vyote viwili kwa pamoja. Najiuliza tu hii amsha amsha ya Tundu Lissu ndio angekutana na mtu dhaifu Kama Membe ccm wangeangukia pua mapema Sana.

Mhe. Zitto umekosea umechukua garasa umeshindwa kufikia akili ya Mbowe 2015 hata kwa 2%.

Mbowe kiukweli 2015 alicheza kwa hakili sana! Hata uchaguzi huu nibola wangemuacha mbowe agombee au wa wangempa mwanamama mmojawapo akagombea kuliko tundu lisu. Nadhani walipuuza hoja za mbowe
 
Kikwete is visionary alijua tayari kuwa CCM imepoteza Influence na among contestants ni JPM ndio ali bakiza trust kubwa ya Watanzania na kweli Kikwete katika hili la kuhakikisha JPM anashika dolla litamfanya akumbukwe na Vizazi vya Tanzania mana kumleta mtu mwenye udhubutu wa Kujenga Hydropower ya Megawatt 2115 sio kitu cha mchezo, Project imepigiwa kelele haswa ila mzee kasema we must keep moving hizi Mega projects za mzee zitafanya tumkumbuke miaka tele, Kwa kweli mimi namuombea afya na Uzima tele Rais wetu
 
Kama kikwete angefanya kosa la kumpitisha huyu mtu 2015 Kisha apambane na Lowasa leo tungekuwa tunazungumza Lugha nyingine kabisa kwenye siasa za Tanzania.
Niliwaambia haya yote mapema kabisa. Picha linaendelea . . Mtakubali tu
 
Mbowe kiukweli 2015 alicheza kwa hakili sana! Hata uchaguzi huu nibola wangemuacha mbowe agombee au wa wangempa mwanamama mmojawapo akagombea kuliko tundu lisu. Nadhani walipuuza hoja za mbowe
Mwanamama ? Kama nani ? CHADEMA hawakuwa na candidate zaidi ya Tundu Lissu. Kubali au kataa huo ndiyo ukweli
 
Mhe. Kikwete alikuwa sahihi kukata jina la Membe 2015 kuwa mgombea urais kupitia CCM kwa kweli hana ushawishi wala mvuto wowote kwa watanzania, Kama kikwete angefanya kosa la kumpitisha huyu mtu 2015 Kisha apambane na Lowasa leo tungekuwa tunazungumza Lugha nyingine kabisa kwenye siasa za Tanzania.

Viongozi wa CCM wamekuwa wajanja sana hata uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020 walipoona ameanza chokochoko wakamtimua mapema ili asiharibu mipango ya uchaguzi kumbe waliona mbali Bernad Membe hana ushawishi hata kidogo wa kuwa kwenye nafasi kubwa Kama ya urais.

Hana ushawishi ndani ya chama wala nje ya CCM, kwa kifupi watanzania wamempuuza huyu mtu.

Kiuhalisia ukiacha mtaji mkubwa wa wanachama walio nao CCM zaidi ya mil 15 lakini ukweli ni kwamba mgombea urais anapaswa kuwa na mvuto na kukubalika na hata watu wa vyama vingine na wasio na vyama jambo ambalo Magufuli kwa asilimia kubwa analo japo wengi hawataki kutamka wazi hilo.

Sasa kwa Membe yeye hana vyote viwili kwa pamoja. Najiuliza tu hii amsha amsha ya Tundu Lissu ndio angekutana na mtu dhaifu Kama Membe ccm wangeangukia pua mapema Sana.

Mhe. Zitto umekosea umechukua garasa umeshindwa kufikia akili ya Mbowe 2015 hata kwa 2%.

Kikwette alimkata Membe? Unaongelea dunia ya wapi wewe?

Pokea hamasa ya bashiri lakini uje na facts. Kwa hivi utanyimwa hata hizo buku 7.
 
Sasa Magufuli ana ushawishi gani? Magufuli ni mnyampala wa barabara tu ndiyo maana baada ya kupewa uraisi bado anajua yeye ni mnyampala wa barabara tu.

Membe ni bonge la raisi sema alitakiwa ahamie ACT tokea 2016. Anachokifanya sasa in maandalizi ya uchaguzi was 2025 maana kwa uchaguzi wa mwaka huu Magufuli kuachia madaraka labda damu imwagike kwanza.
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom