Uchaguzi 2020 Kwa hali hii, CHADEMA wanajiandaa kuvunja Muungano

Ujinga wa mtu mweusi, as if wazungu hawalaumiani kwenye chaguzi zao, you're just a brainwashed nyumbu.

Narudia tena, hiyo October 28 hakuna uchaguzi, bali ni kilele cha maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Sio Chadema Tanzania Bara wala ACT Wazalendo Tanzania Visiwani mwenye uwezo wa kushinda uchaguzi. Hivyo, muungano bado utaendelea kudumishwa na serikali iliyo madarakani ya CCM!
 
Hawawezi maana huu muungano tumeapa kuulinda mpaka kwa tone la mwisho la damu zetu
Ha ha ha ha... Yaani muungano unalindwa na ccm kwa kumwaga damu badala ya mapenzi ya wananchi !!!
 
Endapo atashinda bara
Labda kushinda na njaa
 
Hataruhusiwa
 
Muungano hauna faida kwa sasa. Sanasana unawachelewesha Wazanzibari wasipige hatua kuchumi. Tunaweza kuitisha referendum ili kupata ukweli
Kwa Tanganyika muungano umeleta umaskini usio na tija. Tanganyika inabeba gharama nyingi mno
 
Kuna tofauti kubwa mno kati ya Kuvunja na Kuboresha....

Safari hii mtaelewa tu...!!
 
Haya ni matumizi mabaya ya akili. Kuzungumzia kero za Muungano siyo kuivunja bali ni kutaka kuuimarisha na Lissu siye wa kwanza kuzisema hizo kero. Semeni tu mumezidiwa hoja na hamna majibu nanyi mumezoea kujibu hoja kwa risasi.
Alishasema haufai
 
Mabunge yaliridhia
 
Wazanzibar wanaona kama kuvunja muungano ni neema kwao Ila unapotatua tatizo linaibuka tatizo je ni tatizo lipi litaibuka baada ya kuvunjika muungano?
 
Wazanzibar wapo tayari kuvunja muungano kwa kuwa hawanufaiki na muungano huu kwahiyo kuvunjika huku kutawaletea neema wao ya mataifa mbalimbali wanaoimezea mate Zanzibar kwa hiyo watapata Muungano wenye manufaa makubwa na ya haraka sana endapo watavunja Muungano Ila ndo utakuwa mwanzo wa kupotea kwa Zanzibar na Wazanzibar
 


Muwe mnaweka na akiba ya maneno sio kuropoka tu,, japo naombea ccm ipite lakini kwenye swala la muungano umechemsha babaa,,,hivi nikuulize swali! muungano unafaida gani kwa wazanzibari?
 
Wazanzibar wanaona kama kuvunja muungano ni neema kwao Ila unapotatua tatizo linaibuka tatizo je ni tatizo lipi litaibuka baada ya kuvunjika muungano?

Hakuna tatizo litalojitokeza isipokua wataendelea kuteseka na kupata tabu dhidi ya muungano usio na faida yoyote kwao. All in All mnahofia Oman itarudi na kuitengeneza upya zanzibar na uchumi wao utakua maradufu zaidi ya bara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…