Kwa hali hii kama ni kweli tutegemee zaidi kupanda kwa diesel na petroli

Kwa hali hii kama ni kweli tutegemee zaidi kupanda kwa diesel na petroli

Exile

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2021
Posts
1,477
Reaction score
3,642
Screenshot_20230814-121107_Twitter.jpg
 
Tuwape shillingi , dollar kitu gani bhana 😂, wacha hali iwe mbaya zaidi ili tuanze kusindika CNG ya kwetu na kufunga kwenye magari
 
hahahahaha tunapoteza muda kukamata watu baadala ya kuumiza kichwa na mambo ya msingi, tuko busy kuzitumia sSimba na Yanga kuficha maujinga yetu huku gogo likitafunwa kwa ndani.

Tusilolijua, kuna watu tuko nao tunaona kama ndugu zetu lakini ukweli ni kwamba wako kwenye maslahi yao na hawajali hata nchi ikifilisika.
 
Nafikiri ipo haja ya kuangalia matumizi ya Dola iwe kwa yale mambo ya Muhimu
Tunajua watalii wameongezeka (mbugani na hata wa Kupanda Mlima) na kwa wanaojua tozo za wageni kuingia kwenye Hivyo vivutio na Kulala watanielewa
Hizo hela zikisimamiwa vizuri na kwa Kipaumbele Bila kutengenezewa matumizi yasiyokuwa na ULAZIMA KWA KIPINDI HIKI mbona Nchi itaenda tu vizuri bila inflation
 
Serikali ni hawa hawa wanaotoka kwenye jamii wasioweza kufikiri, kama watu hawajui kujiwekeza ndio hao hao wanashika nchi

Inataka mafunzo tangu utoto ndio maana rangi nyingine wako vizuri kwenye uchumi

Leo mngekuwa na akiba ya dhahabu mngechekelea ila mnchimba na akiba hakuna

Mna matatizo ya akili
 
Nafikiri ipo haja ya kuangalia matumizi ya Dola iwe kwa yale mambo ya Muhimu
Tunajua watalii wameongezeka (mbugani na hata wa Kupanda Mlima) na kwa wanaojua tozo za wageni kuingia kwenye Hivyo vivutio na Kulala watanielewa
Hizo hela zikisimamiwa vizuri na kwa Kipaumbele Bila kutengenezewa matumizi yasiyokuwa na ULAZIMA KWA KIPINDI HIKI mbona Nchi itaenda tu vizuri bila inflation
Hata mimi naamini hivo maana tumeambiwa watalii wameongezeka
 
Ila huyo Mkenya katuua eti Rais wetu katumia hela kwenye fashion na mekapu khaaa
ndio matatizo ya kuwa na Rais Mwanamke-yani Dunia hii Mwanamke hata awe na uwezo bado kukubalika kama Kiongozi ni shughuli,ndio maana USA,China na Russia sidhani kama Mwanamke atakuja kuwa Rais
 
Ccm Inapigania Hali Nzuri Ya Tanzania
TUondoe Hofu
 
Russia haitaji dollar ili akuuzie mafuta tufikirie upya
 
Back
Top Bottom