Ila huyo Mkenya katuua eti Rais wetu katumia hela kwenye fashion na mekapu khaaa
ndio matatizo ya kuwa na Rais Mwanamke-yani Dunia hii Mwanamke hata awe na uwezo bado kukubalika kama Kiongozi ni shughuli,ndio maana USA,China na Russia sidhani kama Mwanamke atakuja kuwa Rais