Kwa hali hii kuoa au kuolewa ni kazi ngumu

1. Mke anatashindwa kuleta vi ben ten nyumbani.
2. Mke atashindwa kuuza nyumba akatanue na vi Ben Ten



 
Kumbe Massawe alishasema lolote likitokea azikwe palepale. Kweli alijua lolote litatokea
 
Wooooooooow halaf kama chotara fulani hivi kwa mbali
Nimeelewa kwan hataki kaburi liwe mbele ya nyumba sasa πŸ™‚

Bado damu inachemka huyo ,kaburi likiwa ndani litamuharibia mambo yake! Sababu alizotoa ya kutaka kuuza itakuwa ngumu ndipo alipokosea atleast angesema nikitaka kupangisha nipate kodi kwa ajili ya kipato cha kulisha familia angeeleweka au kaburi likiwa ndani atakuwa anapata miweweseko kila akiliona.
 
Mimi hata akisema anauza sioni ttz maana ni mali yake na mme wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…