Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Kwahiyo hiyo ya kukomalia marehemu alisema anataka azikwe hapo ni hujuma kjmpokonya dada nyumba au marehemu alitaka kweli?nyumba mwanamke anataka kuipiga bei hyo so hapo ni kama watu wamestuka wanataka azikwe hapo hapo sababu huwezi kuuza nyumba yenye kaburi la mmiliki wengi huwa hawanunui,
so kwa macho ya haraka huwez elewa