raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Wanachekesha kweli hao nimewaona sijui massawe aliwapa nnWamechachamaa sana ,wanasema masawe alikuwa mtu wa watu ,kama yeye alitaka azikwe kwake ila mkewe hataki hivyo lazima wamtetea Massawe.
Wanachekesha kweli hao nimewaona sijui massawe aliwapa nn
Yaani watu wa nje wanataka kuingilia mazishi duh
Afya yako ya akili ni muhimuUmesahau AFYA NI MUHIMU KWA AKILI YAKO [emoji1]
Ndio inavyoonekana hapoYaani mtaani ukiwa na uwezo halafu ukawa peace kwa majirani zako yaani vichenji chenji au vioffer offer unawapa na kuwasalimia kwa sana yaani watakupenda hadi basi.
Ujanja ni kuishi nao maisha ya ungajajanga ili aone bila wewe hawezi ishi. Lakini ujifanya eti maisha umeyapatia, nyumba gari na miradi kadhaa, siku akihisi umechepuka lazima akuchome kwa zirael mtoa roho.Sahizi Kuna haja ya Kila Mwanaume anayekufa ..Ndugu mfumbue macho
Wanawake wapumbavu siku hizi ndo wanaolewa.
Na Ndugu mnapopata ukweli wa kifo Cha Ndugu yenu... MCHINJENI HUYO MWANAMKE KAMA KUKU.
Mambo ya Duniani, tuwe tunamalizana wenyewe hapahapa Duniani,,, Mbinguni ni Hesabu tu.
Alampa makulugaeeKufa kwanza mengine utayajua mbele ya safari
Asante kwa kuchangia mkuuKufa kwanza mengine utayajua mbele ya safari
Mke vs ndugu nani mwenye nguvu kisheria juu ya maamuzi mwenza wake azikwe wapiNimeuona millard ayo ila sio kwa full details
Mume kafa na nini?
Kwanini mke anang'ang'ania mume azikwe kilimanjaro badala ya bagamoyo ambapo mumewe inasemekana aliwaambia ndugu zake?je maoni ya mke hayana maana?
Je mtu anafuata hatua zipi kisheria ili azikwe ndani ya eneo lake?
Nijuzeni
Kufa kwanza mengine utayajua mbele ya safari
Ndugu wana nguvu zaidi.ila mke pia si anayo sababu ni mumewe halali?Mke vs ndugu nani mwenye nguvu kisheria juu ya maamuzi mwenza wake azikwe wapi
Unakosea sanaNdugu wana nguvu zaidi.ila mke pia si anayo sababu ni mumewe halali?
Ila nawaza kwanini mke kagoma kuheshimu usia wa mumewe?
How?Unakosea sana
nyumba mwanamke anataka kuipiga bei hyo so hapo ni kama watu wamestuka wanataka azikwe hapo hapo sababu huwezi kuuza nyumba yenye kaburi la mmiliki wengi huwa hawanunui,Nimeuona millard ayo ila sio kwa full details
Mume kafa na nini?
Kwanini mke anang'ang'ania mume azikwe kilimanjaro badala ya bagamoyo ambapo mumewe inasemekana aliwaambia ndugu zake?je maoni ya mke hayana maana?
Je mtu anafuata hatua zipi kisheria ili azikwe ndani ya eneo lake?
Nijuzeni