Kwa hali hii kuoa au kuolewa ni kazi ngumu

Wamechachamaa sana ,wanasema masawe alikuwa mtu wa watu ,kama yeye alitaka azikwe kwake ila mkewe hataki hivyo lazima wamtetea Massawe.
Wanachekesha kweli hao nimewaona sijui massawe aliwapa nn
Yaani watu wa nje wanataka kuingilia mazishi duh
 
Wanachekesha kweli hao nimewaona sijui massawe aliwapa nn
Yaani watu wa nje wanataka kuingilia mazishi duh

Yaani mtaani ukiwa na uwezo halafu ukawa peace kwa majirani zako yaani vichenji chenji au vioffer offer unawapa na kuwasalimia kwa sana yaani watakupenda hadi basi.
 
kama Massawe alisema akifariki azikwe hapo, naona ni vizuri kauli yake ikaheshimiwa. Ingawa kwa kawaida mchaga hata akifariki Songea lazima atazikwa kwao Kilimanjaro. Asilimia kubwa sana ya wachaga huzikwa kwao. Ilitokea tu kama kipindi kile cha Covid ndio imeanza, DC wa Mtwara Evod Mmanda alipofariki alizikwa kule kule Mtwara ambacho sio kitu cha kawaida kwa wachaga kuzikwa mahali pengine.
 
Ujanja ni kuishi nao maisha ya ungajajanga ili aone bila wewe hawezi ishi. Lakini ujifanya eti maisha umeyapatia, nyumba gari na miradi kadhaa, siku akihisi umechepuka lazima akuchome kwa zirael mtoa roho.
 
Nimeuona millard ayo ila sio kwa full details
Mume kafa na nini?
Kwanini mke anang'ang'ania mume azikwe kilimanjaro badala ya bagamoyo ambapo mumewe inasemekana aliwaambia ndugu zake?je maoni ya mke hayana maana?
Je mtu anafuata hatua zipi kisheria ili azikwe ndani ya eneo lake?
Nijuzeni
 
Mke vs ndugu nani mwenye nguvu kisheria juu ya maamuzi mwenza wake azikwe wapi
 
nyumba mwanamke anataka kuipiga bei hyo so hapo ni kama watu wamestuka wanataka azikwe hapo hapo sababu huwezi kuuza nyumba yenye kaburi la mmiliki wengi huwa hawanunui,

so kwa macho ya haraka huwez elewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…