Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Kwahiyo hiyo ya kukomalia marehemu alisema anataka azikwe hapo ni hujuma kjmpokonya dada nyumba au marehemu alitaka kweli?nyumba mwanamke anataka kuipiga bei hyo so hapo ni kama watu wamestuka wanataka azikwe hapo hapo sababu huwezi kuuza nyumba yenye kaburi la mmiliki wengi huwa hawanunui,
so kwa macho ya haraka huwez elewa
How?
Wooooooooow halaf kama chotara fulani hivi kwa mbali
Nimeelewa kwan hataki kaburi liwe mbele ya nyumba sasa 🙂
[emoji1787] [emoji1787] Ndo akili yako inavyokutumaKufa kwanza mengine utayajua mbele ya safari
Msukuma wa mwanzaMke wa Massawe ni mzaliwa wa Mkoa gani?
Hakuna msukuma mwenye akiri ya hovyo, akiri hii upatkana kaskaziniMsukuma wa mwanza
Kijana kataa ndoa huyu mwamba Angekua anaishi na hyu bi dada bila ndoa kesi ingeisha.