Kuna mama aliolewa na mume wake kwa ndoa ya kanisa katoliki,wakazaa na mumewe watoto wawili, then mume wake akamuacha kwao (kwa kina mwanaume) mume alipomaliza chuo hakurudi kumchukua mkewe, akaenda kuishi wilaya nyingine na mwanamke mwingine akazaa nae watoto.
Baba mkwe baada ya kujua mwanae anaishi na mwanamke mwingine akamwambia huyu mke anaweza kurudi kwao maana ni miaka mi 3 mumewe harudi na anakaa na mke mwingine, so huyu mama akaondoka, huko alikokwenda na yeye kazaa watoto 4. Hawakupeana taraka wala akukufanyika chochote kuvunja ndoa ya awali.
Ikawa mume anakaa na mwanamke mwingine ambaye wamejenga nae nyumba 2 na mashamba kadhaa. Sasa mwanaume amefariki na hakuna wosia, huyu mama (mke wa ndoa) ameenda mahakamani anataka apewe mali zote za mumewe. Yaani hizo nyumba 2 na mashamba. HIVI ANA HAKI YA KUDAI?
Baba mkwe baada ya kujua mwanae anaishi na mwanamke mwingine akamwambia huyu mke anaweza kurudi kwao maana ni miaka mi 3 mumewe harudi na anakaa na mke mwingine, so huyu mama akaondoka, huko alikokwenda na yeye kazaa watoto 4. Hawakupeana taraka wala akukufanyika chochote kuvunja ndoa ya awali.
Ikawa mume anakaa na mwanamke mwingine ambaye wamejenga nae nyumba 2 na mashamba kadhaa. Sasa mwanaume amefariki na hakuna wosia, huyu mama (mke wa ndoa) ameenda mahakamani anataka apewe mali zote za mumewe. Yaani hizo nyumba 2 na mashamba. HIVI ANA HAKI YA KUDAI?