Kwa hali hii Mama huyu ana haki kudai mali?

Kwa hali hii Mama huyu ana haki kudai mali?

Baada ya kutoa maoni kwenye maswaja ya kisheria ndo unakiri kua hauna ujuzi wa sheria!!?
Sio sawa kufanya hivyo mkuu, hapa kuna watu wanasoma ña wanayachukua yanayoandikwa hapa. So kama kitu hauna ufahamu nacho sio vyema sana kukizungumzia, utapotosha watu.
Huo ndo ukweli sijasoma sheria , unajuaje hayo yote tumeyashuhudia Mahakama zikiamua ukitaka jifunza vingi jaribu pia hudhuria Mahakamani,
 
Tuwaachie wanasheria watupe tafsiri sahihi ya kisheria.hapa unaonekana umetumia hekima zako
Ipo kesi ya Dada mmoja alimkuta mwanaume kanunua nyumba haijaisha kabla hajamuoa, alipomuoa wakaimalizia wakiwa wamepata watoto wawili, mwisho wa siku yule dada anadai talaka anataka nyumba iuzwe kwani wamejenga wote, mwisho wa siku ikaamuliwa yeye mke alipwe fidia , na ile nyumba ni wa watoto,
 
Huyo hapati kitu zaidi ya watoto rafiki au kwa huruma ya mke mwenzake na familia ila hana chake hapo kachuma nae nini marehemu?, ponea ponea hiyo nyumba iwe imejengwa kipindi anaishi kwa wazazi wa marehemu
Ila la muhimu waende mahakamani hao ndo waamuzi na watalaamu wa sheria, nazungumzia niliyowahi yaona
Again nikukumbushe tu kua, kinacho determine mtu kupata share kwenye mirathi yeyote sio mchango wa mrithi kwenye kupatikana kwa mali.
Sheria imeweka misingi ya haki ya urithi kwa kuzingatia mahusiano yaliyopo kati ya marehemu na mrithi.

Swala la kwamba hajachangia katika kuchuma mali linahusika katika kuangalia whether mali ni za marehemu peke yake au zake na mwenza wake.
 
Huo ndo ukweli sijasoma sheria , unajuaje hayo yote tumeyashuhudia Mahakama zikiamua ukitaka jifunza vingi jaribu pia hudhuria Mahakamani,
Boss kila kesi huamuliwa kulingana na mazingira yake.
 
Hapa kuna utata wa kisheria! Sheria inamtambua mwanamke katika mgao wa mali kutokana na namna alivyochangia kuizalisha mali husika!
Je alikuwa akibakia nyumbani kumpikia mume, kulinda na kuhudumia nyumba wakati mume akiwa kuchuma pesa ilojenga nyumba? Je alikuwa anafanya biashara yoyote ya kuingiza fedha ilojenga nyumba na kunua hayo mashamba? Je alikuwa mfanyakazi wa umma kwamba aliwezachangia mshahara wake kununulia hizo nyumba na mashamba??

Kama hayo maswali anayajibu basi ana haki ya kuzirithi hizo mali za mwanaume, vinginevyo ni watoto tu ndio watatambuliwa kupewa sehemu ya hizo mali na ikibainika zina majina ya huyo mama wa nje ya ndoa, wanaweza wasipate chochote hasa ukizingatia hapakuwa ndoa kati ya baba yao na huyo mama!
Tuwaombee tu waweze kufikia mwafaka kwa amani, lakini huyo mama wa ndoa anahitaji kuwa na busara zaidi, cheti cha ndoa tu hakihalalishi mgao wa mali 100%, ni lazima uzitolee jasho! Vinginevyo watauwana hapo!
 
Ipo kesi ya Dada mmoja alimkuta mwanaume kanunua nyumba haijaisha kabla hajamuoa, alipomuoa wakaimalizia wakiwa wamepata watoto wawili, mwisho wa siku yule dada anadai talaka anataka nyumba iuzwe kwani wamejenga wote, mwisho wa siku ikaamuliwa yeye mke alipwe fidia , na ile nyumba ni wa watoto,
Very correct, ndio maana nikasema kila kesi huamuliwa kulingana na mazingira yake
 
Again nikukumbushe tu kua, kinacho determine mtu kupata share kwenye mirathi yeyote sio mchango wa mrithi kwenye kupatikana kwa mali.
Sheria imeweka misingi ya haki ya urithi kwa kuzingatia mahusiano yaliyopo kati ya marehemu na mrithi.

Swala la kwamba hajachangia katika kuchuma mali linahusika katika kuangalia whether mali ni za marehemu peke yake au zake na mwenza wake.
Narudia kukwambia huyo Mama hana chake hapo wapate watoto yeye atapata kama msimazimi wa watoto kama wako chini ya miaka 18, hivyo anaweza tumia mwanya huo kuneemeka na kama aliwaacha watoto aliozaa na marehemu akaenda ishi huko alipotoa ndugu wa marehemu watamfanyia kauzibe tu,
Haki itapatikana mahakamani
 
Very correct, ndio maana nikasema kila kesi huamuliwa kulingana na mazingira yake
Ni sawa kwa mazingira hayo tutamwomba mleta mada atupe mrejesho , ila zipo kesi nyingine zipo wazi kabisa kama hii ya mleta mada
 
Hapa kuna utata wa kisheria! Sheria inamtambua mwanamke katika mgao wa mali kutokana na namna alivyochangia kuizalisha mali husika!
Je alikuwa akibakia nyumbani kumpikia mume, kulinda na kuhudumia nyumba wakati mume akiwa kuchuma pesa ilojenga nyumba? Je alikuwa anafanya biashara yoyote ya kuingiza fedha ilojenga nyumba na kunua hayo mashamba? Je alikuwa mfanyakazi wa umma kwamba aliwezachangia mshahara wake kununulia hizo nyumba na mashamba??

Kama hayo maswali anayajibu basi ana haki ya kuzirithi hizo mali za mwanaume, vinginevyo ni watoto tu ndio watatambuliwa kupewa sehemu ya hizo mali na ikibainika zina majina ya huyo mama wa nje ya ndoa, wanaweza wasipate chochote hasa ukizingatia hapakuwa ndoa kati ya baba yao na huyo mama!
Tuwaombee tu waweze kufikia mwafaka kwa amani, lakini huyo mama wa ndoa anahitaji kuwa na busara zaidi, cheti cha ndoa tu hakihalalishi mgao wa mali 100%, ni lazima uzitolee jasho! Vinginevyo watauwana hapo!
Asante kwa ufafanuzi mzuri "kama zina majina ya huyo mwanamke mwingine"
Pia ikiwa marehemu aliacha wosia akiwataja watoto wake wote wa ndani ya ndoa na nje ya ndoa kama warithi na akasema huyo niliyefika mikononi mwake apate hiki na hiki kwani amenitunza mno,
Nakiri diplomasia itaweza leta suluhu nzuri katika hili
 
Asante kwa ufafanuzi mzuri "kama zina majina ya huyo mwanamke mwingine"
Pia ikiwa marehemu aliacha wosia akiwataja watoto wake wote wa ndani ya ndoa na nje ya ndoa kama warithi na akasema huyo niliyefika mikononi mwake apate hiki na hiki kwani amenitunza mno,
Nakiri diplomasia itaweza leta suluhu nzuri katika hili
Yes! Wosia wa Marehemu huwakilisha kauli yake halisi, lakini hata hivyo kuupokea wosia wa marehemu itategemeana na busara za mahakama, hasa kama wosia haukugongwa Muhuri wa mahakama au kuasajiliwa RITA wakati marehemu akiwa bado yupo hai! Lakini kama wosia ulisajiliwa RITA wakati marehemu akiwa bado yupo hai, asi kitachofuatwa ni wosia wa marehemu na si vinginevyo. Sababu kabla ya kuugonga mhuri au kuusajili huwa pia wanaangalia mambo mengi katika mizania ya haki kwa warith wote watarajiwa!
 
Kaka hakuna ndoa inayotambuliwa kisheria kama kuna ndoa inayiendelea Sawa ila jaribu fikiri hao wote wameenda ishi na watu wengine kwa zaidi ya miaka miwili na kwa sheria zetu mkiishi hvyo inatazamiwa kuwa ni ndoa hvyo hao wote wanandoa nyingine, hiyo ilshavunjika, kwa matendo yao hao wote wawili, kumbuka ndoa ni mkataba waweza kuwa kwa maandishi (cheti za ndoa), kwa matendo kuishi pamoja zaidi ya miaka miwili , nk vivyo hivyo kwa matendo kinyume nayo ndoa haipo
 
Sawa ila jaribu fikiri hao wote wameenda ishi na watu wengine kwa zaidi ya miaka miwili na kwa sheria zetu mkiishi hvyo inatazamiwa kuwa ni ndoa hvyo hao wote wanandoa nyingine, hiyo ilshavunjika, kwa matendo yao hao wote wawili, kumbuka ndoa ni mkataba waweza kuwa kwa maandishi (cheti za ndoa), kwa matendo kuishi pamoja zaidi ya miaka miwili , nk vivyo hivyo kwa matendo kinyume nayo ndoa haipo
Kaka ndoa ya pili inakuwa halali pale ambapo hakuna ndoa inayiendelea. Yaani Kama ulikuwa na ndoa mfano ya kikristo, ukaenda kukaa na mwanamke mwingine, hata kama mmekaa miaka 40 wewe bado ni mme wa mtu kisheria. Huyo wa piili ni kimada. Labda kama hukufunga ndoa maana yake unaishi kimila na mila zenu zinaruhusu ndoa za wake wengi.
 
Ndugu zangu ukisoma sheria ya mirathi kwa sheria ya mirathi ya Serikali, yaani Kwa mfano mume na mke walofunga ndoa ya kikristo, sio ya kiislam wala ya kimila. Mgao wa mali unakuwa hivi: mke wa marehemu anapewa 1/3 ( theluthi moja) ya mali. Watoto wanagaana kilichobaki kwa usawa bila kujali wa like au wa kiume. Sharti mke awe mke wa ndoa ya kikristo au ya Serikali. Mke anapewa bila kujali mchango wake kwenye hiyo mali.

Ninachokiona hapa watu mmechanganya kati ya mambo mawili, mgao wa mali wakati wa kuachana na mgao wa mali baada ya mwanandoa mmoja kufariki.

Naomba tuelewe kwamba hapa mtu aliyemuoa huyu mke aliyemuacha kwao na kwenda kuishi na mwanamke mwingine amefariki, pili ni mwanume alimtelekeza huyu mke kwao ( kwa kina mwanaume) na huyo mke alikaa huko kwa miaka mitatu ndipo mkwe wake na wanandugu wengine wakamruhusu arudi kwao maana mumewe kila akiitwa haji. Ndugu zangu hapa mama hakuvunja ndoa, kama binadamu ana haki ya kujamiiana, haki ya kuzaa watoto, na haki ya kutunzwa Kama mke ambazo zimeporwa na huyu mume. Bado kaachiwa watoto anatunza peke yake.Ili ndoa ya aina hii ivunjike inatakiwa taraka.
Sawali langu lilikuwa kutaka kujua ni Nani mwenye haki ya hiyo 1/3 kati ya hao watu wawili, huyo mwanmke aliyefunga ndoa na marehemu au huyu aliyekuwa akiishi nae? Kingine ndoa kama ni ya kikristo au ya kiserikali haitambui watoto wa nje ya ndoa hapa tunafanyaje maana huyu mama wa pili ana watoto 5 wa kwanza ana 3 msaada jamani huku mambo ni moto.
 
Ndugu zangu ukisoma sheria ya mirathi kwa sheria ya mirathi ya Serikali, yaani Kwa mfano mume na mke walofunga ndoa ya kikristo, sio ya kiislam wala ya kimila. Mgao wa mali unakuwa hivi: mke wa marehemu anapewa 1/3 ( theluthi moja) ya mali. Watoto wanagaana kilichobaki kwa usawa bila kujali wa like au wa kiume. Sharti mke awe mke wa ndoa ya kikristo au ya Serikali. Mke anapewa bila kujali mchango wake kwenye hiyo mali.

Ninachokiona hapa watu mmechanganya kati ya mambo mawili, mgao wa mali wakati wa kuachana na mgao wa mali baada ya mwanandoa mmoja kufariki.

Naomba tuelewe kwamba hapa mtu aliyemuoa huyu mke aliyemuacha kwao na kwenda kuishi na mwanamke mwingine amefariki, pili ni mwanume alimtelekeza huyu mke kwao ( kwa kina mwanaume) na huyo mke alikaa huko kwa miaka mitatu ndipo mkwe wake na wanandugu wengine wakamruhusu arudi kwao maana mumewe kila akiitwa haji. Ndugu zangu hapa mama hakuvunja ndoa, kama binadamu ana haki ya kujamiiana, haki ya kuzaa watoto, na haki ya kutunzwa Kama mke ambazo zimeporwa na huyu mume. Bado kaachiwa watoto anatunza peke yake.Ili ndoa ya aina hii ivunjike inatakiwa taraka.
Sawali langu lilikuwa kutaka kujua ni Nani mwenye haki ya hiyo 1/3 kati ya hao watu wawili, huyo mwanmke aliyefunga ndoa na marehemu au huyu aliyekuwa akiishi nae? Kingine ndoa kama ni ya kikristo au ya kiserikali haitambui watoto wa nje ya ndoa hapa tunafanyaje maana huyu mama wa pili ana watoto 5 wa kwanza ana 3 msaada jamani huku mambo ni moto.
Uko sawa kabisa hilo ndio tatizo nililoliona kwa wengi walioçhangia hapa.
Sasa kuhusu watoto wa nje ya ndoa, Mahakama imesisitiza katika kesi zaidi ya tatu kua mtoto hapaswi kubaguliwa kwa hali aliyozaliwa linapokuja swala la urithi wa mali za mzazi wake.
Hivyo mtoto kuzaliwa nje ya ndoa hakumuondolei haki ya kurithi.
 
Uko sawa kabisa hilo ndio tatizo nililoliona kwa wengi walioçhangia hapa.
Sasa kuhusu watoto wa nje ya ndoa, Mahakama imesisitiza katika kesi zaidi ya tatu kua mtoto hapaswi kubaguliwa kwa hali aliyozaliwa linapokuja swala la urithi wa mali za mzazi wake.
Hivyo mtoto kuzaliwa nje ya ndoa hakumuondolei haki ya kurithi.
Ok
 
Back
Top Bottom