Stanboy
JF-Expert Member
- Jul 4, 2013
- 1,114
- 1,308
Hello,
Uvaaji wa wadada unatupa shida sana sisi wanaume tuliokamilika,kiasi kwamba tunajikuta tunasimamisha mara kwa mara.
Unakutana na mdada kavaa mini skirt mapaja yote yako nje nje. Kifua kimeachwa kipumue wengine hata viuno viko nje..hizi suruali zilizochanwa chanwa nazo zimeongeza tatizo unakutana na dada upaja umejaa kweli kweli (kwa sauti ya yule jamaa) halafu upo nje nje tu.
Usiombe upande kwenye daladala za Mbagala au mwendokasi za Kimara ule mbanano halafu ukae karibu na mdada utapata tabu kama si kudharirika...yaani dada zetu wanavyovaa si kazini si mtaani wanatupa mitihani sana...hii inapelekea upungufu wa nguvu za kiume aisee mara kila muda unawaza kugaragaza tu..ukituliza akili kidogo mara mtu kakatiza na dera kaaa!
Yaani ukitoka tu nyumbani unakutana na wadada wamevaa kihasarasara yaani kama wako night club, hebu mtupumzishe jamani kaa.
Uvaaji wa wadada unatupa shida sana sisi wanaume tuliokamilika,kiasi kwamba tunajikuta tunasimamisha mara kwa mara.
Unakutana na mdada kavaa mini skirt mapaja yote yako nje nje. Kifua kimeachwa kipumue wengine hata viuno viko nje..hizi suruali zilizochanwa chanwa nazo zimeongeza tatizo unakutana na dada upaja umejaa kweli kweli (kwa sauti ya yule jamaa) halafu upo nje nje tu.
Usiombe upande kwenye daladala za Mbagala au mwendokasi za Kimara ule mbanano halafu ukae karibu na mdada utapata tabu kama si kudharirika...yaani dada zetu wanavyovaa si kazini si mtaani wanatupa mitihani sana...hii inapelekea upungufu wa nguvu za kiume aisee mara kila muda unawaza kugaragaza tu..ukituliza akili kidogo mara mtu kakatiza na dera kaaa!
Yaani ukitoka tu nyumbani unakutana na wadada wamevaa kihasarasara yaani kama wako night club, hebu mtupumzishe jamani kaa.