Kwa hali hii utaweza?

Kwa hali hii utaweza?

Kilo mbili uongo! Kilo 1 nafuta yote sibakishi hata mfupa!
Kama mtu anataka kunitoa out asijisumbue kunipeleka hotel
Atafute chimbo la kitimoto tupige zetu na ugali na maji ya baridiiii
Mwanamke anakula kilo moja ya nguruwe?

Mimi si Mtabiri. Ila wewe ni Tukunyema.
 
Mbona unajiita SweetCandy alafu unaongelea habari za kushika mademu? What's happening here?
 
Kuna member wa kike alinipa password yake nitumie id yake alijifanya mwanaume, niliyokutana nayo duh.!! 😹😹😹
Wanawake wanataka mihela ile ki barter system nipe nikupe
Niunganishe nao bas hao wanawake....maana naokutana nao tukizinguana kidogo anakunywa pombe anakuja ghetto kuniuliza "nlikuwa naacha wanangu walale wenyewe nakuja kwako Leo unaniacha bila sababu?"
 
Mara pap umepata demu anayekula sana sana. Umemualika demu home halafu ukajipinda kupika . Kufika ukamkaribisha kidogo , kafuta chote , unaremba remba anapiga na ya sahani yako. Je utaaendelea naye au utamwacha kwa halii hii ya bajeti ya nchi
Kuna baadhi ya wanawake walafi we acha tu , kwao bujeti ni zero sanasana ni wale wanawake vibonge hawajuagi bajeti Hawa, kula samaki kilo nzima Kwa single meal wao ni kawaida! Mpaka unashangaa umemuacha peke yake kaamua kula nyama , dagaa samaki , wali ugali , mayai , maharagwe duh ,
 
kula ni kitu gani kwenye real love, halafu kumuacha mpenzi kwa sababu ya msosi ni dalili ya uchoyo.

kama ni mimi ye apige menu kadri atakavyo.....!!!!
 
Kiukweli unakuta umetoka out na mdada umenunua labda kuku anakula kidogo anaacha nyama nyingi kwa mfupa kimaringo ,huwa inaniumaga mno, matumiz mabaya ya pesa kama ni kula kula,ikibidi vunja na mifupa hakuna tatizo.
HApo sawa mie napendaga sana kula ndio hobby yangu ila huu unene sio kwa ajili yakula
 
Kiukweli unakuta umetoka out na mdada umenunua labda kuku anakula kidogo anaacha nyama nyingi kwa mfupa kimaringo ,huwa inaniumaga mno, matumiz mabaya ya pesa kama ni kula kula,ikibidi vunja na mifupa hakuna tatizo.
Mimi nikishiba huwa nafunga!
 
Kilo mbili uongo! Kilo 1 nafuta yote sibakishi hata mfupa!
Kama mtu anataka kunitoa out asijisumbue kunipeleka hotel
Atafute chimbo la kitimoto tupige zetu na ugali na maji ya baridiiii
😅😅😅😅
 
Na kama si mraji mwanaume pia anahisi wamdanganya.....kumbe wewe unataka kula kichwa chake cha chini ushibe uji wenye chumvi then ujirudie home kazi kesho ziende vizuri bila stress
😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom