Kwa hali hii ya colabo za TZ na Congo naona Diamond anaenda tena kuvunja rekodi yake ya views milioni 10 kwa siku 8

Hahaha eti uchumi unawabeba.


Na Nyie SI donor country si mjibebe
Tutafika tu huko na kila dogo atakayefanya mziki hata kama kidogo tu atapata maisha kama huko,si unaona hata wanaija wanavyotake over?
 
Mondi anatutangaza vema kimataifa kwan kwenye soka tumekuwa kichwa cha mwendawazimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…