Kwa hali hii Zelensky akubali yaishe, kuokoa nchi kuwa magofu. Ila Putin amepata fundisho

Kwa hali hii Zelensky akubali yaishe, kuokoa nchi kuwa magofu. Ila Putin amepata fundisho

CPA

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2011
Posts
809
Reaction score
354
Kuanzia tarehe 24 Urussi imekuwa ikashambulia ukraine kwa makombora toka kila upande (Angani, ardhin na baharini), hii imetokea baada ya vita ya ardhini kupata upinzani mkubwa toka kwa majeshi ya ukraine na washirika wake baada ya kupokea shehena ya siraha toka nchi za magharibi.

Sasa Urussi anashambulia zaidi ghala za siraha, oil reserve na air defence system na commanding centre ili kuzoofisha nguvu ya jeshi la ukraini na washiriki wake. Hadi kufukia jana jumla ya drones 256 za ukrain zimedungulia, hizi drones ndio zinazozisumbua russia kwa kutarget misafara ya jeshi la Russia.

Mashambulizi ya karibuni yamefanya majeshi ya ukraine kutopata mahitaji kama chakula na siraha na baadhi ya wanajeshi kuanza kujisalimisha. Angalia hapo trend inavyokwenda ni kama Russia ana izunguka ukraine.

Ni wakati sasa Rais wa Ukraine akae chini na Putin kumaliza hii vita maana nchi inaelekea kuwa jivu, wananchi wanateseka achane na propaganda za vyombo vya habari za magharibi...chakula shida, nchi haina umeme, maji hakuna majengo yanabimolewa, wananchi wanakimbia nchi.

Ila nae Putin amepata fundisho na hasara kubwa kwenye vita hii ijapokuwa anelekea kushinda ila cha mtema kuni amekipata.

IMG_20220327_093317_362.jpg
 
▫️Units of the Russian Armed Forces are fighting for the capture of Novomikhailovka.

▫️During the day's fighting, more than 30 servicemen of the Ukrainian Armed Forces of 54th Mechanised Brigade, 6 armoured vehicles and 2 field artillery mounts of 46th Separate Assault Battalion were destroyed.

▫️The offensive continues against the well-fortified concrete fortifications in Novoselovka and Novobakhmutovka settlements.

▫️The defending units of the 25th Ukrainian Separate Airborne Brigade are suffering significant losses. Most of the fortifications have already been destroyed.

▫️During the day, up to 50 Ukrainian servicemen were destroyed, 7 long-term firing points and 5 armoured targets in protected shelters were suppressed.

✈️💥Operational-tactical and army aviation hit 91 military assets of the Ukrainian Armed Forces. Among them: 2 command posts, 11 field depots with arms and ammunition, 2 electronic warfare stations, as well as 20 strongholds of Ukrainian Armed Forces units and 52 areas of military equipment concentration.

💥Russian air defence means shot down Ukrainian Mi-24 helicopter over Staraya Basan'. During the day, 4 Ukrainian unmanned aerial vehicles were destroyed over Balakleya, Kiev, Chernigov. During the day, four Ukrainian unmanned aerial vehicles were destroyed over Balakleya, Kiev, Chernigov. 1 Ukrainian unmanned aerial vehicle approaching Sevastopol in the airspace over the Black Sea was also destroyed.

💥In total, 271 unmanned aerial vehicles, 1,627 tanks and other armored combat vehicles, 167 multiple launch rocket systems, 669 field artillery and mortars, as well as 1,474 units of special military vehicles of the Armed Forces of Ukraine were destroyed during the operation.
▫️I officially declare that the Russian Defence Ministry does not planning to call any citizens in reserve to military commissariats.
 
Kuanzia tarehe 24 Urussi imekuwa ikashambulia ukraine kwa makombora toka kila upande (Angani, ardhin na baharini), hii imetokea baada ya vita ya ardhini kupata upinzani mkubwa toka kwa majeshi ya ukraine na washirika wake baada ya kupokea shehena ya siraha toka nchi za magharibi.

Sasa Urussi anashambulia zaidi ghala za siraha, oil reserve na air defence system na commanding centre ili kuzoofisha nguvu ya jeshi la ukraini na washiriki wake. Hadi kufukia jana jumla ya drones 256 za ukrain zimedungulia, hizi drones ndio zinazozisumbua russia kwa kutarget misafara ya jeshi la Russia.

Mashambulizi ya karibuni yamefanya majeshi ya ukraine kutopata mahitaji kama chakula na siraha na baadhi ya wanajeshi kuanza kujisalimisha. Angalia hapo trend inavyokwenda ni kama Russia ana izunguka ukraine.

Ni wakati sasa Rais wa Ukraine akae chini na Putin kumaliza hii vita maana nchi inaelekea kuwa jivu, wananchi wanateseka achane na propaganda za vyombo vya habari za magharibi...chakula shida, nchi haina umeme, maji hakuna majengo yanabimolewa, wananchi wanakimbia nchi.

Ila nae Putin amepata fundisho na hasara kubwa kwenye vita hii ijapokuwa anelekea kushinda ila cha mtema kuni amekipata.

View attachment 2165696
Sina uhakika na namba ya drones, ila najua alikuwa anapewa drones za kisasa zaidi toka US. Hakuna umuhimu wa kunyoosha mikono, vita ipigwe mpaka dakika ya mwisho.
 
Putini wa mchongo amepewa somo na yule mukimuita Commedian ambaye sasa anaenda kuwa shujaa wa ulimwengu kwa kuvamiwa ni taifa kubwa lilokuwa linajinata kuisambaratisha NATO lakini kumbe Ukraine ya Commedian tu ndio ilikuwa kiboko yake,

Sasaiv Zelensky ni yeye mwenyewe tu ata akiamua kujiunga na NATO mara elfu100 zaidi kwa siku yuko huru kufanya hivyo, mrusi kwanza ana kazi kurekebisha vifaru vyake ambavyo tunaambiwa vimeibiwa parts na walalahoi mapaka commander wa section kufikia kujitoa uhai akiogopa lawama.
 
Kuanzia tarehe 24 Urussi imekuwa ikashambulia ukraine kwa makombora toka kila upande (Angani, ardhin na baharini), hii imetokea baada ya vita ya ardhini kupata upinzani mkubwa toka kwa majeshi ya ukraine na washirika wake baada ya kupokea shehena ya siraha toka nchi za magharibi.

Sasa Urussi anashambulia zaidi ghala za siraha, oil reserve na air defence system na commanding centre ili kuzoofisha nguvu ya jeshi la ukraini na washiriki wake. Hadi kufukia jana jumla ya drones 256 za ukrain zimedungulia, hizi drones ndio zinazozisumbua russia kwa kutarget misafara ya jeshi la Russia.

Mashambulizi ya karibuni yamefanya majeshi ya ukraine kutopata mahitaji kama chakula na siraha na baadhi ya wanajeshi kuanza kujisalimisha. Angalia hapo trend inavyokwenda ni kama Russia ana izunguka ukraine.

Ni wakati sasa Rais wa Ukraine akae chini na Putin kumaliza hii vita maana nchi inaelekea kuwa jivu, wananchi wanateseka achane na propaganda za vyombo vya habari za magharibi...chakula shida, nchi haina umeme, maji hakuna majengo yanabimolewa, wananchi wanakimbia nchi.

Ila nae Putin amepata fundisho na hasara kubwa kwenye vita hii ijapokuwa anelekea kushinda ila cha mtema kuni amekipata.

View attachment 2165696
Asilimia 90 ya raia Ukraine watakuwa masikini mda sio mrefu maana hawana chochote
 
Putini wa mchongo amepewa somo na yule mukimuita Commedian ambaye sasa anaenda kuwa shujaa wa ulimwengu kwa kuvamiwa ni taifa kubwa lilokuwa linajinata kuisambaratisha NATO lakini kumbe Ukraine ya Commedian tu ndio ilikuwa kiboko yake,

Sasaiv Zelensky ni yeye mwenyewe tu ata akiamua kujiunga na NATO mara elfu100 zaidi kwa siku yuko huru kufanya hivyo, mrusi kwanza ana kazi kurekebisha vifaru vyake ambavyo tunaambiwa vimeibiwa parts na walalahoi mapaka commander wa section kufikia kujitoa uhai akiogopa lawama.
Hana uwezo wa kujiunga na NATO, alishasema anataka mazungumzo na PUTIN na ofa yake anafuta wazo la kujiunga na NATO
 
Kuanzia tarehe 24 Urussi imekuwa ikashambulia ukraine kwa makombora toka kila upande (Angani, ardhin na baharini), hii imetokea baada ya vita ya ardhini kupata upinzani mkubwa toka kwa majeshi ya ukraine na washirika wake baada ya kupokea shehena ya siraha toka nchi za magharibi.

Sasa Urussi anashambulia zaidi ghala za siraha, oil reserve na air defence system na commanding centre ili kuzoofisha nguvu ya jeshi la ukraini na washiriki wake. Hadi kufukia jana jumla ya drones 256 za ukrain zimedungulia, hizi drones ndio zinazozisumbua russia kwa kutarget misafara ya jeshi la Russia.

Mashambulizi ya karibuni yamefanya majeshi ya ukraine kutopata mahitaji kama chakula na siraha na baadhi ya wanajeshi kuanza kujisalimisha. Angalia hapo trend inavyokwenda ni kama Russia ana izunguka ukraine.

Ni wakati sasa Rais wa Ukraine akae chini na Putin kumaliza hii vita maana nchi inaelekea kuwa jivu, wananchi wanateseka achane na propaganda za vyombo vya habari za magharibi...chakula shida, nchi haina umeme, maji hakuna majengo yanabimolewa, wananchi wanakimbia nchi.

Ila nae Putin amepata fundisho na hasara kubwa kwenye vita hii ijapokuwa anelekea kushinda ila cha mtema kuni amekipata.

View attachment 2165696
Kwa hiyo Putin anachotaka ni kuifanya Ukraine kuwa magofu? Otherwise mimi naona mission ya Russia haijafikiwa, lakini kama mission yao ni kuifanya Ukraine kuwa magofu hapo tunaweza kusema Putin amefanikiwa kwa asilimia 60 mpaka 75.
 
Kwa hiyo Putin anachotaka ni kuifanya Ukraine kuwa magofu? Otherwise mimi naona mission ya Russia haijafikiwa, lakini kama mission yao ni kuifanya Ukraine kuwa magofu hapo tunaweza kusema Putin amefanikiwa kwa asilimia 60 mpaka 75.
Mission yake ni neutralize military capability, sasa basi kwa vile west wanaleta silaha wakati sisi tunataka kuziharibu, tunachofanya nyumba au popote itakapo sikika silaha tunapiga mpaka waache kuleta silaha ili jambo liishe
 
Putini wa mchongo amepewa somo na yule mukimuita Commedian ambaye sasa anaenda kuwa shujaa wa ulimwengu kwa kuvamiwa ni taifa kubwa lilokuwa linajinata kuisambaratisha NATO lakini kumbe Ukraine ya Commedian tu ndio ilikuwa kiboko yake,

Sasaiv Zelensky ni yeye mwenyewe tu ata akiamua kujiunga na NATO mara elfu100 zaidi kwa siku yuko huru kufanya hivyo, mrusi kwanza ana kazi kurekebisha vifaru vyake ambavyo tunaambiwa vimeibiwa parts na walalahoi mapaka commander wa section kufikia kujitoa uhai akiogopa lawama.
[emoji3][emoji3][emoji3] una mahaba hadi raha, Ukraine wasahau kujiunga Nato, hao NATO wamemsaidia nini mpaka sasa? Swali la kujiuliza ni lini amani ya Ukraine itarudi?
 
Putini wa mchongo amepewa somo na yule mukimuita Commedian ambaye sasa anaenda kuwa shujaa wa ulimwengu kwa kuvamiwa ni taifa kubwa lilokuwa linajinata kuisambaratisha NATO lakini kumbe Ukraine ya Commedian tu ndio ilikuwa kiboko yake,

Sasaiv Zelensky ni yeye mwenyewe tu ata akiamua kujiunga na NATO mara elfu100 zaidi kwa siku yuko huru kufanya hivyo, mrusi kwanza ana kazi kurekebisha vifaru vyake ambavyo tunaambiwa vimeibiwa parts na walalahoi mapaka commander wa section kufikia kujitoa uhai akiogopa lawama.
Kaishiwa na siraha na chakula harafu ukraine haipaki magofu
 
Putini wa mchongo amepewa somo na yule mukimuita Commedian ambaye sasa anaenda kuwa shujaa wa ulimwengu kwa kuvamiwa ni taifa kubwa lilokuwa linajinata kuisambaratisha NATO lakini kumbe Ukraine ya Commedian tu ndio ilikuwa kiboko yake,

Sasaiv Zelensky ni yeye mwenyewe tu ata akiamua kujiunga na NATO mara elfu100 zaidi kwa siku yuko huru kufanya hivyo, mrusi kwanza ana kazi kurekebisha vifaru vyake ambavyo tunaambiwa vimeibiwa parts na walalahoi mapaka commander wa section kufikia kujitoa uhai akiogopa lawama.

Ukrein wanaitaji chakula na madawa nato na wapambe wako busy kupiga domo mitandaoni
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Ukrein imebaki magofu nyie mnapiga domo
Emu tuambie kwa herufi kubwa kabisa Putini ameishia wap kwenye hii vita, Je amefanikiwa kumuweka kibaraka wake Kyiv???
 
Back
Top Bottom