Kwa hali hii Zelensky akubali yaishe, kuokoa nchi kuwa magofu. Ila Putin amepata fundisho

Kwa hali hii Zelensky akubali yaishe, kuokoa nchi kuwa magofu. Ila Putin amepata fundisho

Sina uhakika na namba ya drones, ila najua alikuwa anapewa drones za kisasa zaidi toka US. Hakuna umuhimu wa kunyoosha mikono, vita ipigwe mpaka dakika ya mwisho.

Hii ndio kauli ya kiume mazungumzo yakishashindikana wanaume wakaingia uwanjan ya nn kuzungumza ni ngumi mpaka dk ya mwisho
 
Emu tuambie kwa herufi kubwa kabisa Putini ameishia wap kwenye hii vita, Je amefanikiwa kumuweka kibaraka wake Kyiv???

Apana ila amefanikiwa kuifanya ukrein jangwa ambalo halitaota nyasi kamwe, na hii imekuwa funzo kwa magaidi wa nato, [emoji635][emoji3577]
 
Putini wa mchongo amepewa somo na yule mukimuita Commedian ambaye sasa anaenda kuwa shujaa wa ulimwengu kwa kuvamiwa ni taifa kubwa lilokuwa linajinata kuisambaratisha NATO lakini kumbe Ukraine ya Commedian tu ndio ilikuwa kiboko yake,

Sasaiv Zelensky ni yeye mwenyewe tu ata akiamua kujiunga na NATO mara elfu100 zaidi kwa siku yuko huru kufanya hivyo, mrusi kwanza ana kazi kurekebisha vifaru vyake ambavyo tunaambiwa vimeibiwa parts na walalahoi mapaka commander wa section kufikia kujitoa uhai akiogopa lawama.
Unaijua nuclear mkuu au unafurahi tu.Wajapani waliambiwa surrender wakagoma vilipotupwa vitu viwili ambavyo hawajawhi kuviona wala kuvisikia vita ikaisha hapo hapo, taifa lenye nuclear linashindwaga !
 
Apana ila amefanikiwa kuifanya ukrein jangwa ambalo halitaota nyasi kamwe, na hii imekuwa funzo kwa magaidi wa nato, [emoji635][emoji3577]
Kila nikiingalia Ukrain nabaki kujiuliza waafrika huwa wanafuta nini huko! Kinchi ni barafu tupu hakuna green wala jua kujumlisha na magofu nchi imekuwa ya mwaka 1600 bora hata libya na somalia. Yani nchi imeharibiwa vibaya.
Lengo la NATO ni nini mbona nchi ishaharibika nao wapo tu wanatuma tusilaha fake mbona hawapeleki msaada wa midege ilioshambulia libya na Iraq.
Mwanzoni mwa vita walizuia wanaume wote wasitoke huku kwetu tunaitaga migambo, hawana mafunzo yoyote wanawaweka wapigane na fashist Putin, kweli?
Naona mbinu ya Taliban ilikuwaga nzuri sana, walitoroka wote, wakavaa kiraia wakaanzisha terorism attack mpaka USA akasanda, Hata Chechnya waliisumbua urusi kwa muda mrefu kwa mbinu ya atrack and escape, Ukrain wameua vijana wao ambao wangeweza kwenda kujipanga nchi zingine.
Tactics za Zelennsky za hovyo kabakiza wanaume wote, mahokeo yake watu wengi wamekufa bila sababu za msingi.
 
Baadhi ya majimbo ya ukrain yanatarajia kupiga kura ya kujiunga na urussi na kujitoa ukraine. Sasa rasmi ukraini igawanyika nchi mbili kama korea. Majimboa haya nadhani ni yale ambayo hayavamiwa na Russia

Screenshot_20220327-185848_Samsung Internet.jpg
 
Baadhi ya majimbo ya ukrain yanatarajia kupiga kura ya kujiunga na urussi na kujitoa ukraine. Sasa rasmi ukraini igawanyika nchi mbili kama korea. Majimboa haya nadhani ni yale ambayo hayavamiwa na Russia

View attachment 2166214

Ukrein wanatamani sana kuwa sehemu ya russia ila nato ndio wanawajaza ujinga
 
Ndio vita ilivyo, kupoteza askari na silaha ni kawaida kwa vita zote hata kwa mataifa makubwa. Kwahiyo media za west kusema urussi wamekutana madhila hayo warejee us vietnam war na ops za uarabuni wajitathmini troops ngapi zilipotea. Ni mtu asiyejua vita utakayemwabia warussi wamekufa wengi hiyo ni sign ya kushindwa. Ukweli usio na hila ukraine wangesimama wao wenyewe wiki ya pili wangenyoosha mikono juu, kwa hiyo hii ni vita kati ya Russia na western backed Ukraine. Huo ndio mtizamo wangu.

Sent from my HTC Desire 10 lifestyle using JamiiForums mobile app
 
Kwani mission ilikuwa nini? au unamlisha maneno Putin wewe na BBC
Hiyo ndio ilikuwa mission kuu., sasa kilichotokea mnaona aibu Putin na aila zake., maiti za jeshi la russia zimetapakaa ukraine ni vyema ata kwa ubinadamu muzirejesh kwao ndugu na jamaa watambue watu wao
 
Hiyo ndio ilikuwa mission kuu., sasa kilichotokea mnaona aibu Putin na aila zake., maiti za jeshi la russia zimetapakaa ukraine ni vyema ata kwa ubinadamu muzirejesh kwao ndugu na jamaa watambue watu wao
Mission ilikuwa ni kuneutralize Ukraine military capability hayo mengine yako wewe, sasa wakati tuna neutralize watu wa NATO wanaleta silaha mpya sasa hii vita lazima iwe ndefu, kila jengo litabomolewa kama silaha inasikika humo
 
Kifupi ni kwamba urusi anataka kuchukua majimbi baadhi kutoka ukraine kuhamia taifani kwake kama ilivyo Crimea. Hili ndio fanikio lake kubwa katika vita. Wananchi wakipiga kura tuu basi wanajitenga
 
Mission ilikuwa ni kuneutralize Ukraine military capability hayo mengine yako wewe, sasa wakati tuna neutralize watu wa NATO wanaleta silaha mpya sasa hii vita lazima iwe ndefu, kila jengo litabomolewa kama silaha inasikika humo
Sasa mbona kabla ya kuneutralize hiyo Ukraine military na kumaliza kaz wamefurushwa na kukimbilia Donbas??

Ivi unajua Zelensky kama kesho ataamua kujiunga na NATO anaweza kufanya hivyo sasa bila ya khofu ata mara elfu 1 zaidi?

Ivi unajua Kyiv imekuwa kama kaa la moto kwa majesh ya Russia? Siku30 ziliisha lakini walishindwa kumueka kibaraka wao? Bendera za Ukraine unajua zinapepea Kyiv muda huu?
 
Sasa mbona kabla ya kuneutralize hiyo Ukraine military na kumaliza kaz wamefurushwa na kukimbilia Donbas??

Ivi unajua Zelensky kama kesho ataamua kujiunga na NATO anaweza kufanya hivyo sasa bila ya khofu ata mara elfu 1 zaidi?

Ivi unajua Kyiv imekuwa kama kaa la moto kwa majesh ya Russia? Siku30 ziliisha lakini walishindwa kumueka kibaraka wao? Bendera za Ukraine unajua zinapepea Kyiv muda huu?
Unafatilia kweli vita ? Urusi ipo mpaka nje ya viunga vya Kyiv, nani kakwambia ipo Donbas tu ? fatilia mkuu acha propaganda hizo , halafu nakupa habari mbichi ya leo leo hii hapa

elenskyy says Ukraine prepared to discuss neutrality

Ukrainian president tells Russian media he is prepared to discuss a peace deal with Russia including neutrality.
 
Unafatilia kweli vita ? Urusi ipo mpaka nje ya viunga vya Kyiv, nani kakwambia ipo Donbas tu ? fatilia mkuu acha propaganda hizo , halafu nakupa habari mbichi ya leo leo hii hapa

elenskyy says Ukraine prepared to discuss neutrality

Ukrainian president tells Russian media he is prepared to discuss a peace deal with Russia including neutrality.
Kwanini arudi mpakani Kyiv, kitu gani kilimrejesha? Javelin na Singer???

Mazungumzo toka siku ya kwanza ya hiyo muitayo operation Zelensky alisema anataka lakini vita ilikuwa inaendelea vifaru vinachachagwa, ni maneno ya kisiasa na diplomasia ionekane ametimiza wajibu wake si kwa kushindwa na tena Zelensky aliweka wazi kama Putini atakataa mazungumzo basi ajiandae WW3, nyinyi watu wa gongolamboto mulielewa vibaya
 
Rais wao baadae atajitokeza na kudai atamtia Urusi hasara ambayo hajawahi ifikiria, ilhali vita inapiganiwa nyumbani kwake
kwan tukipigana sebuleni kwang ndo huez kupata jeraha?
 
Kwanini arudi mpakani Kyiv, kitu gani kilimrejesha? Javelin na Singer???

Mazungumzo toka siku ya kwanza ya hiyo muitayo operation Zelensky alisema anataka lakini vita ilikuwa inaendelea vifaru vinachachagwa, ni maneno ya kisiasa na diplomasia ionekane ametimiza wajibu wake si kwa kushindwa na tena Zelensky aliweka wazi kama Putini atakataa mazungumzo basi ajiandae WW3, nyinyi watu wa gongolamboto mulielewa vibaya
Unasahau haraka sana , Urusi bado hajaingia KYIV toka vita inaanza ila alikuwa anarusha rocket, halafu kuhusu mazungumzo umesahau kuwa Zelensky alisema kujiunga NATO ni haki yao na akasaini mpaka fomu ile ya kujiunga NATO na mapicha juu, sasa unafikiri kwanini sasa anaamua kuwa neutral ? Ukweli ni kwamba wana jitahidi kudefense lakini wamechoka na vita, ndio maana yuko tayari kutojiunga NATO ili Urusi waondoke
 
Kila nikiingalia Ukrain nabaki kujiuliza waafrika huwa wanafuta nini ! Kinchi ni barafu tupu hakuna green kujumlisha na mavofu nchi imekuwa ya mwaka 1600 bora hata libya ya somalia. Yani nchi imeharibiwa vibaya. Lengo la NATO ni nini mbina nchi ishaharibika nao wapi tu wanatima tusilaha fake mbona hawapeldki msaada wa midege ilioshambulia libya na Iraq.
Mwanzoni mwa vita wluxuia wanaume wote wasitoke huku kwetu tinsitaga migambo, hawana mafunxo yoyote wanawaweka wapigane na fashist Putin, kweli?
Naona mbinu ya Taliban ilikuwaga nzuri sana, walitoroka wote, wakavaa kiraia wakaanzisha terorism attack mpaka USA akasanda, Hata Chechnya waliisumbua urusi kwa muda mrefu, Ukrain wameua vijana wao ambao wangeweza kwenda kujipanga nchi zingine.Tactics za Zelennsky za hovyo.
Aisee...
 
unajua Zelensky kama kesho ataamua kujiunga na NATO anaweza kufanya hivyo sasa bila ya khofu ata mara elfu 1 zaidi?
Taarifa hizi unapata wapi au ushabiki tu?
Zelensky kafanya mahojiano na vyombo vya habari vya Russia amesema anataka vita viishe, atanataka ahakikishiwe usalama, hawatajiunga NATO, pia wanajadili Ukraine kutumia lugha ya Kirusi(Russian Language), kuwa neutral state, n.k.
Amekataa madai mengine ya Russia kama demilitarization n.k.

Kurushwa kwa mahojiano hayo kumesababisha serikali ya Russia kuwapa onyo vyombo hivyo na kuanza uchunguzi kama kuna adhabu watapewa wahusika.
Fuatilia Aljazeera habari huru na media zingine.
 
Taarifa hizi unapata wapi au ushabiki tu?
Zelensky kafanya mahojiano na vyombo vya habari vya Russia amesema anataka vita viishe, atanataka ahakikishiwe usalama, hawatajiunga NATO, pia wanajadili Ukraine kutumia lugha ya Kirusi(Russian Language), kuwa neutral state, n.k.
Amekataa madai mengine ya Russia kama demilitarization n.k.

Kurushwa kwa mahojiano hayo kumesababisha serikali ya Russia kuwapa onyo vyombo hivyo na kuanza uchunguzi kama kuna adhabu watapewa wahusika.
Fuatilia Aljazeera habari huru na media zingine.
Nimesema kama anataka, Ile dhana kwamba anamuogopa mrussi au anatekeleza amri ya Mrussi kama wakala wake hilo hakuna, pia viongozi mbali mbali wa Ukraine wakiwemo mawaziri na mabalozi pia wamefanya mkutano na Rais wa Marekani juzi Poland.

Ambacho kinapingwa ni udikteta wa Putini kuzikalia nchi jirani zake kama nchi wasiwe huru katika maamuzi ya nchi zao

Kama una clip Zelensky sasa anasema ataiongoza Ukraine kama wakala wa umoja wa nchi za urusi hiyo ndio habari niitakayo kutoka kwako.,

Sababu ya Zelensky sasa kusema hatajiunga na NATO si kwa sababu ya Russia ni kwasababu yeye binafsi ameona kwamba bado NATO ni dhaifu kwamba walishindwa kuingilia moja kwa moja vita na urusi kuisaidia Ukraine ingawa na NATO na wao wana sababu zao kwann hawakuingia vitani moja kwa moja kuisaidia Ukraine.

Akili yako wewe ni kwamba Zelensky amesarenda vita na russia hilo halijatokea na wala halitatokea, kumbuka putini alipowambia Ukraine waeke silaha chini jibu alilopewa.,
 
Back
Top Bottom