Kwa hali ilivyo CCM Bernard Membe ametudanganya hana ushawishi mkubwa ndani ya chama, hasira ya CCM ni juu ya wahamiaji.

Kwa hali ilivyo CCM Bernard Membe ametudanganya hana ushawishi mkubwa ndani ya chama, hasira ya CCM ni juu ya wahamiaji.

Miaka yote alipokuwa CCM Membe alikuwa akisafiria nyota ya JK.
otherwise ana zero network ndani ya CCM.
plus, hana cha maana cha kuonyesha alichokifanya kikaonekana machoni pa Watanzania akiwa kiongozi katika serekali ya CCM.

wapinzani wakimsimamisha kama mgombea kupitia coalition yao basi watambue kuwa sisi sympathizers wao kura ya urais hatutapiga.
Kelele zilikuwa nyingi kutuaminisha team Membe mkuu kumbe zilikuwa ni propaganda tu.
 
Back
Top Bottom