Miaka yote alipokuwa CCM Membe alikuwa akisafiria nyota ya JK.
otherwise ana zero network ndani ya CCM.
plus, hana cha maana cha kuonyesha alichokifanya kikaonekana machoni pa Watanzania akiwa kiongozi katika serekali ya CCM.
wapinzani wakimsimamisha kama mgombea kupitia coalition yao basi watambue kuwa sisi sympathizers wao kura ya urais hatutapiga.