Kwa hali ilivyo, ndoto yangu ya kuwa rubani itatimia kweli?

Kwa hali ilivyo, ndoto yangu ya kuwa rubani itatimia kweli?

mcTobby

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
4,072
Reaction score
12,119
Kwema wadau na wanajamvi wote humu? natanguliza salamu.

Ni matamanio yangu kama mwanadamu tokea nikiwa mdogo kuingia kwenye hii career ya kurusha ndege. Nikasema anyway, nikimaliza chuo (nilimaliza mwaka jana B. Degree in Social Science), nikipata kazi nitadunduliza kidogo kidogo ndani ya hata miaka miwili nisomee hata leseni ya PPL (Private Pilot Picense) na CPL (Commercial Pilot Licence) hapo terminal one kwenye chuo cha Mosswood Dar es Salaam, ila my expectations kwa hali ya upepo ilivyo naona my dreams are faded away.

Hii inanipa sana stress muda mwingi. Nikiwaza ajira rasmi sina naishia kujilaumu na self guilt. Hapa nawaza kwa hivi vibarua vya kuunga unga vya shambani na ujenzi (japo ni za msimu) nijikusanye tu nisomee tu udereva lakini nikiangalia home na life lilivyo naona bado hali hairuhusu maana ndio inabidi nijitutumue kumpiga mother tafu(single mother) na wadogo zangu ambapo mmojawapo anatarajia kujiunga kidato cha tano muhula huu wa 2021/2022.

Nikisema niwatonye ndugu naona tu ni miyeyusho maana wengine hawakutaka niende hata chuo. Hivyo inabidi tu niugulie ndani kwa ndani tu labda kwa kujifariji tu inanibidi niwe naingia JF kusoma post za kina Mshana Jr ,ROBERT HERIEL na members wengine ili ku-gain tu chochote kwenye akili kama tiba ya stress.

KAMA WADAU WA MTANDAO WA JF,

Mnanishaurije mimi ndugu yenu maana mimi kama kijana sitaki ndoto zangu zife kizembe ilihali nina nguvu?

Nimeona kuwashirikisha humu ili nione lolote mtakaloniambia nichukue ushauri wenu (unaofaa pasipo kuvunja sheria).

Natanguliza shukurani zenu kwa dhati.
 
Kwani hata ukisoma udereva una connection ya michongo ya magari au ndio utaanza kutafuta tena kazi!!!!mi nashauri ungebadilisha mawazo hiyo hela ya kusomea udereva jichange ufanye biashara ndogo ndogo tembelea jukwaa la biashara kuna ideas nyingi za biashara ndogo ndogo na mojawapo niliyoiona ni kuuza supu ya pweza kama uko Dsm.
 
Usikate tamaa, fanya biashara hata mitumba tu. nenda soko la ilala alfajiri chukua nyoosha fungua gori itakulipa. Faida utamsaidia bi mkubwa huku ukiweka akiba ya kutimiza ndoto yako.
 
Kwema wadau na wanajamvi wote humu? natanguliza salamu.

Ni matamanio yangu kama mwanadamu tokea nikiwa mdogo kuingia kwenye hii career ya kurusha ndege. Nikasema anyway, nikimaliza chuo (nilimaliza mwaka jana B. Degree in Social Science), nikipata kazi nitadunduliza kidogo kidogo ndani ya hata miaka miwili nisomee hata leseni ya PPL (Private Pilot Picense) na CPL (Commercial Pilot Licence) hapo terminal one kwenye chuo cha Mosswood Dar es Salaam, ila my expectations kwa hali ya upepo ilivyo naona my dreams are faded away.

Hii inanipa sana stress muda mwingi. Nikiwaza ajira rasmi sina naishia kujilaumu na self guilt. Hapa nawaza kwa hivi vibarua vya kuunga unga vya shambani na ujenzi (japo ni za msimu) nijikusanye tu nisomee tu udereva lakini nikiangalia home na life lilivyo naona bado hali hairuhusu maana ndio inabidi nijitutumue kumpiga mother tafu(single mother) na wadogo zangu ambapo mmojawapo anatarajia kujiunga kidato cha tano muhula huu wa 2021/2022.

Nikisema niwatonye ndugu naona tu ni miyeyusho maana wengine hawakutaka niende hata chuo. Hivyo inabidi tu niugulie ndani kwa ndani tu labda kwa kujifariji tu inanibidi niwe naingia JF kusoma post za kina Mshana Jr ,ROBERT HERIEL na members wengine ili ku-gain tu chochote kwenye akili kama tiba ya stress.

KAMA WADAU WA MTANDAO WA JF,

Mnanishaurije mimi ndugu yenu maana mimi kama kijana sitaki ndoto zangu zife kizembe ilihali nina nguvu?

Nimeona kuwashirikisha humu ili nione lolote mtakaloniambia nichukue ushauri wenu (unaofaa pasipo kuvunja sheria).

Natanguliza shukurani zenu kwa dhati.

Sio kila ndoto sharti itimie Mkuu.

Usijitese Sana, Furahia maisha Kwa unayoweza kuyafanya sasa
 
Somea udereva

Kazi za drivers zinatoka kwenye mashirika yanayohusiana na course uliyosoma

Ukifanikiwa utajiongeza mbele kwa mbele
Shukurani sana mdau
 
my expectations kwa hali ya upepo ilivyo naona my dreams are faded away.
Mdogo wangu, unaweza kuwa pilot hata ukiwa na miaka 45. Kwani hofu yako wewe ni ipi? Acha kujilinganisha na wengine.

Biden na ubaba wake wote alikuwa Vice wa Obama ambaye ni mdogo kwa umri ila leo ndiye Rais wa USA.

Jenga utaratibu wa kuwa inajiambia nafsini mwako kwamba wewe ni shujaa, mpiganaji uliyezaliwa kushinda siku zote kama ambavyo mimi huwa ninawaambia watoto wangu kuwa Tanzania ni taifa kubwa sana duniani.
 
Mdogo wangu, unaweza kuwa pilot hata ukiwa na miaka 45. Kwani hofu yako wewe ni ipi? Acha kujilinganisha na wengine.

Biden na ubaba wake wote alikuwa Vice wa Obama ambaye ni mdogo kwa umri ila leo ndiye Rais wa USA.

Jenga utaratibu wa kuwa inajiambia nafsini mwako kwamba wewe ni shujaa, mpiganaji uliyezaliwa kushinda siku zote kama ambavyo mimi huwa ninawaambia watoto wangu kuwa Tanzania ni taifa kubwa sana duniani.
Naam naam nimekupata mkuu
 
Nisipokufa nitakuwa na CPL kabla ya 2030
 
Kwema wadau na wanajamvi wote humu? natanguliza salamu.

Ni matamanio yangu kama mwanadamu tokea nikiwa mdogo kuingia kwenye hii career ya kurusha ndege. Nikasema anyway, nikimaliza chuo (nilimaliza mwaka jana B. Degree in Social Science), nikipata kazi nitadunduliza kidogo kidogo ndani ya hata miaka miwili nisomee hata leseni ya PPL (Private Pilot Picense) na CPL (Commercial Pilot Licence) hapo terminal one kwenye chuo cha Mosswood Dar es Salaam, ila my expectations kwa hali ya upepo ilivyo naona my dreams are faded away.

Hii inanipa sana stress muda mwingi. Nikiwaza ajira rasmi sina naishia kujilaumu na self guilt. Hapa nawaza kwa hivi vibarua vya kuunga unga vya shambani na ujenzi (japo ni za msimu) nijikusanye tu nisomee tu udereva lakini nikiangalia home na life lilivyo naona bado hali hairuhusu maana ndio inabidi nijitutumue kumpiga mother tafu(single mother) na wadogo zangu ambapo mmojawapo anatarajia kujiunga kidato cha tano muhula huu wa 2021/2022.

Nikisema niwatonye ndugu naona tu ni miyeyusho maana wengine hawakutaka niende hata chuo. Hivyo inabidi tu niugulie ndani kwa ndani tu labda kwa kujifariji tu inanibidi niwe naingia JF kusoma post za kina Mshana Jr ,ROBERT HERIEL na members wengine ili ku-gain tu chochote kwenye akili kama tiba ya stress.

KAMA WADAU WA MTANDAO WA JF,

Mnanishaurije mimi ndugu yenu maana mimi kama kijana sitaki ndoto zangu zife kizembe ilihali nina nguvu?

Nimeona kuwashirikisha humu ili nione lolote mtakaloniambia nichukue ushauri wenu (unaofaa pasipo kuvunja sheria).

Natanguliza shukurani zenu kwa dhati.
Nilikua na ndoto kama zako ila mwisho wa siku nikajikuta ni helms man but nataka nimtimizie uncle wangu maana na yeye ana ndoto hiyo
 
Kwema wadau na wanajamvi wote humu? natanguliza salamu.

Ni matamanio yangu kama mwanadamu tokea nikiwa mdogo kuingia kwenye hii career ya kurusha ndege. Nikasema anyway, nikimaliza chuo (nilimaliza mwaka jana B. Degree in Social Science), nikipata kazi nitadunduliza kidogo kidogo ndani ya hata miaka miwili nisomee hata leseni ya PPL (Private Pilot Picense) na CPL (Commercial Pilot Licence) hapo terminal one kwenye chuo cha Mosswood Dar es Salaam, ila my expectations kwa hali ya upepo ilivyo naona my dreams are faded away.

Hii inanipa sana stress muda mwingi. Nikiwaza ajira rasmi sina naishia kujilaumu na self guilt. Hapa nawaza kwa hivi vibarua vya kuunga unga vya shambani na ujenzi (japo ni za msimu) nijikusanye tu nisomee tu udereva lakini nikiangalia home na life lilivyo naona bado hali hairuhusu maana ndio inabidi nijitutumue kumpiga mother tafu(single mother) na wadogo zangu ambapo mmojawapo anatarajia kujiunga kidato cha tano muhula huu wa 2021/2022.

Nikisema niwatonye ndugu naona tu ni miyeyusho maana wengine hawakutaka niende hata chuo. Hivyo inabidi tu niugulie ndani kwa ndani tu labda kwa kujifariji tu inanibidi niwe naingia JF kusoma post za kina Mshana Jr ,ROBERT HERIEL na members wengine ili ku-gain tu chochote kwenye akili kama tiba ya stress.

KAMA WADAU WA MTANDAO WA JF,

Mnanishaurije mimi ndugu yenu maana mimi kama kijana sitaki ndoto zangu zife kizembe ilihali nina nguvu?

Nimeona kuwashirikisha humu ili nione lolote mtakaloniambia nichukue ushauri wenu (unaofaa pasipo kuvunja sheria).

Natanguliza shukurani zenu kwa dhati.
Usiwe stressed na kutotimia ndoto yako kwasasa bali simama na Mungu wako.. Nia yako i thabiti lakini wakati wako haujatimia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kila ndoto sharti itimie Mkuu.

Usijitese Sana, Furahia maisha Kwa unayoweza kuyafanya sasa
Kwa ushuhuda tu, mi nilikua na ndoto za kuja kua petroleum engineer, but ziliyayuka na kuendelea na maisha mengine na nafurahia coz am still bado proffesionaly am an engineer.

So you have to enjoy every minute and moment in your life because you don't know whats coming tomorrow.....
 
Mimi nilitamani kuwa doctor ikabuma,nikajaribu uhasibu ikabuma, kuwa soldier napo wakanitema, polisi napo nikagonga mwamba, imebidi nishike chaki sasa...
 
Hapa unaongelea ndege mnyama kama mwewe na kunguru au ndege plane,unadegree ya social science?mathematics ,physics lazima uwe vizuri otherwise unaeza kurusha za private ila sio commercial
 
Hapa unaongelea ndege mnyama kama mwewe na kunguru au ndege plane,unadegree ya social science?mathematics ,physics lazima uwe vizuri otherwise unaeza kurusha za private ila sio commercial
Nina bachelor degree ya social science ndio .nishafanya research ndugu sio lazima uwe genius wa math au physics ila just ujue fundamentals za math na physics na kinacho matter ni ENGLISH language na medical certificate kuanzia class 3 kukupima auna any mental of physical abnormalities ... Bachelor degree ya social science haitonizuia kusomea urubani. Kwa hiyo naamini Mungu ni mkubwa atanifanikishia hata kama n miaka kadha ijayo

MÊmENtO HoMO
 
Nina bachelor degree ya social science ndio .nishafanya research ndugu sio lazima uwe genius wa math au physics ila just ujue fundamentals za math na physics na kinacho matter ni ENGLISH language na medical certificate kuanzia class 3 kukupima auna any mental of physical abnormalities ... Bachelor degree ya social science haitonizuia kusomea urubani. Kwa hiyo naamini Mungu ni mkubwa atanifanikishia hata kama n miaka kadha ijayo

MÊmENtO HoMO
Kila la kheri Mungu akutangulie
 
Back
Top Bottom