Kwa hali ilivyo sasa, Lazima walio watu wengi waipende 🇹🇿

Kwa hali ilivyo sasa, Lazima walio watu wengi waipende 🇹🇿

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Kwa tunaofuatilia maisha ya mwanadamu, tunajua pasi na shaka kuwa dhambi ni asili kwa wanadamu wote. Na hiyo ndiyo sababu kila siku tunafundishwa kutenda mema.
Ukiangalia yanayoendelea nchini na duniani kwa ujumla, utaona kuwa dhambi inashamiri kwa kasi kubwa sana kana kwamba imemwagiwa petroli.

Kwa kuwa dhambi ni asili yetu, na ukizingatia kuwa walio na mamlaka ya kukemea dhambi wengi wao nao ni watenda dhambi, hakuna wa kumkemea mwenzake. INASIKITISHA!!!

Tufanye nini sasa?
 
MATHAYO 24

32 “Jifunzeni kutoka kwa mtini, kwamba, matawi yake yakianza kuchipua, mnafahamu kwamba kiangazi kimekaribia.

33 Basi, pia mkiona dalili hizi, fahamuni kwamba amekaribia kurudi, na yu karibu na mlango.

34 Nawaambieni kweli, hakika kizazi hiki hakitapita kabla mambo haya hayajatokea.

35 Mbingu na dunia zitatoweka, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.”

Nukuu.

Nawatakis Sabato njema.
 
Kwa tunaofuatilia maisha ya mwanadamu, tunajua pasi na shaka kuwa dhambi ni asili kwa wanadamu wote. Na hiyo ndiyo sababu kila siku tunafundishwa kutenda mema.
Ukiangalia yanayoendelea nchini na duniani kwa ujumla, utaona kuwa dhambi inashamiri kwa kasi kubwa sana kana kwamba imemwagiwa petroli.

Kwa kuwa dhambi ni asili yetu, na ukizingatia kuwa walio na mamlaka ya kukemea dhambi wengi wao nao ni watenda dhambi, hakuna wa kumkemea mwenzake. INASIKITISHA!!!

Tufanye nini sasa?
 
Tuwatoe, tuweke watu waadilifu, waaminifu, wakweli. Inawezekana angalia nchi za Scandanavia.

Angalia hakuna maskini wa kutupwa Scandinavia. Biashara. Elimu, Afya, Makazi, kazi, therapy hata jela ni kwa ajiri ya kumsaidia mwananchi wao. Ni Uamuzi tu.

kila mtu analipa kodi, pato la taifa kila mtu anapata vitu vyote muhimu ili kuishi kama binadamu kamili.
 
Back
Top Bottom