Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
- #41
Safi sana 👌🏼Subra huvuta kheriii ... Namsubiria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana 👌🏼Subra huvuta kheriii ... Namsubiria
Safi sana 👌🏼
Utasubiri wapiNitasubiri!!
Nini maana ya upendo?
Week nasubiri ila miaka 10 parefuuIkiwa ni miaka 10 je?
Wewe hata week huwezi kunisubiri.
Mmmh haya ngoja tusubiri wa kutupenda kiasi hikiNini maana ya upendo?
Kama maana ya kweli ya upendo iko ndani yako then hauwezi ukajouliza hillo swali
Ila kama ulichukuana chukuana nae basi hata miezi 6 utaaona ni mbali sana.
So my point is, swali kama hili atauliza mtu ambaye hakupendi ndani kiundani toka kwenye uvungu pembezoni shimoni kwenye kona ya moyo wako.

SamalekoNini maana ya upendo?
Kama maana ya kweli ya upendo iko ndani yako then hauwezi ukajouliza hillo swali
Ila kama ulichukuana chukuana nae basi hata miezi 6 utaaona ni mbali sana.
So my point is, swali kama hili atauliza mtu ambaye hakupendi ndani kiundani toka kwenye uvungu pembezoni shimoni kwenye kona ya moyo wako.
Harari sanaWatu wanaviziana hata bila ya kifungo
😂😂😂 wewe, kwahiyo humpendiAta Mimi nipo njia panda hapa😂
Kwa mara ya kwanza ntavumilia😂😂😂😂😂 wewe, kwahiyo humpendi
Tulia wewe
Unapata msaada wa kibinadamu afu ufikirie twice?Ikitokea kawekwa ndani miaka mitano na kuendelea, vipi unamsibiri au ndiyo fursa yako ya kuachana bila lawama. Kwa wanandoa, mwenza wako kufungwa ni sababu tosha kwa mujibu wa sheria ya kuomba talaka.
Tuambie, unasubiri au ndiyo kwaheri ya kuonana.
View attachment 3261563
Inategemea.Ikitokea kawekwa ndani miaka mitano na kuendelea, vipi unamsibiri au ndiyo fursa yako ya kuachana bila lawama. Kwa wanandoa, mwenza wako kufungwa ni sababu tosha kwa mujibu wa sheria ya kuomba talaka.
Tuambie, unasubiri au ndiyo kwaheri ya kuonana.
View attachment 3261563