Kwa Hali inayoendelea nashawika kusema 2025 CCM iondoke madarakani au utawala ubadilishwe!

Kwa Hali inayoendelea nashawika kusema 2025 CCM iondoke madarakani au utawala ubadilishwe!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Nchi yetu tangu 1960 baada ya wakoloni kutuachia nchi yetu kulikuwa na vitu vinaitwa miiko!! Kulikuwa na tamaduni zetu na haki ya watu kuishi kulingana na tamaduni zao!! Seke seke la Wamasai Ngorongoro linasikitisha sana! Hata kama mnagogoro na wao ndio muondoe huduma za afya na madawa yasipelekwe? Hata kama ndio tunatafuta maendeleo au fedha za hisani ndio tuzibe masikio?

Wamasai wameomba kusikia angalau hata neno au tamko la utawala ndio kwanza naona vikosi vya FFU vinaingia mbugani na tangazo la kuvifuta kanisa vijiji vyote!! Wamasai ni sawa na samaki ameumbwa kwa asili ya kuishi majini huwezi kumtoa na kumpeleka nchi kavu ukidhani unamsaidia!! Mmeshindwa hata kukaa nao kuzungumza na kumaliza utata huu!! Mnadhani mkianza kuvimbishiana misuli mshindi atakuwa nani?

Watawala mmekuwa na jeuri na kiburi kilichopitiliza, sio tu kiburi na dharau pia!! Nyinyi mnawaona kama ni wachache lakini Tanzania nzima inaweza kusimamia nyuma yao na mambo yakawa magumu!? Usiudharau upele kwakuwa ni mdogo!! Unaweza kuondoa uhai wa mtu endapo utakuwa mkubwa.
 
kama taifa tuko vizuri wamoja, na tunaelekea pazuria zaidi kwa kasi na viwango...

usalama wa mipaka, watu, mali na makazi yao ni madhubuti,

hakuna kitisho cha kiusalama kutoka ndani au nje ya nchi...

umoja, amani na utulivu wa waTanzania ni wa uhakika chini ya kiongozi, rais na kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan :BASED:
 
Wawe wamaasai wawe wamakonde ama wowote wale bado hoja za kulinda mazingira hazipotezewi mashiko yake....

Ngororongo ni turathi ya dunia...

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
kama taifa tuko vizuri wamoja, na tunaelekea pazuria zaidi kwa kasi na viwango...

usalama wa mipaka, watu, mali na makazi yao ni madhubuti,

hakuna kitisho cha kiusalama kutoka ndani au nje ya nchi...

umoja, amani na utulivu wa waTanzania ni wa uhakika chini ya kiongozi, rais na kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan :BASED:
[emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
!!mmeshindwa hata kukaa nao kuzungumza na kumaliza utata huu!! Mnadhani mkianza kuvimbishiana misuli mshindi atakuwa nani ? Watawala mmekuwa na jeuri na kiburi kilichopitiliza,sio tu kiburi na dharau pia !! Nyinyi mnawaona kama ni wachache lakini Tanzania nzima inaweza kusimamia nyuma yao na mambo yakawa magumu !? Usiudharau upele kwakuwa ni mdogo !! Unaweza kuondoa uhai wa mtu endapo utakuwa mkubwa
Suppose ni kweli CCM iondoke, aje nani kwa mfano tuu, baada ya CCM kuondoshwa?.
P
 
Nchi yetu tangu 1960 baada ya wakoloni kutuachia nchi yetu kulikuwa na vitu vinaitwa miiko !! Kulikuwa na tamaduni zetu na haki ya watu kuishi kulingana na tamaduni zao !! Seke seke la wamasai ngorongoro linasikitisha sana ! Hata kama mnagogoro na wao ndio muondoe huduma za afya na madawa yasipelekwe? Hata kama ndio tunatafuta maendeleo au fedha za hisani ndio tuzibe masikio ?wamasai wameomba kusikia angalau hata neno au tamko la utawala ndio kwanza naona vikosi vya ffu vinaingia mbugani na tangazo la kuvifuta kanisa vijiji vyote !! Wamasai ni sawa na samaki ameumbwa kwa asili ya kuishi majini huwezi kumtoa na kumpeleka nchi kavu ukidhani unamsaidia !!mmeshindwa hata kukaa nao kuzungumza na kumaliza utata huu!! Mnadhani mkianza kuvimbishiana misuli mshindi atakuwa nani ? Watawala mmekuwa na jeuri na kiburi kilichopitiliza,sio tu kiburi na dharau pia !! Nyinyi mnawaona kama ni wachache lakini Tanzania nzima inaweza kusimamia nyuma yao na mambo yakawa magumu !? Usiudharau upele kwakuwa ni mdogo !! Unaweza kuondoa uhai wa mtu endapo utakuwa mkubwa
Suala hili Serikali badala ya kuli-handle kwa kutumia AKILI, BUSARA na HEKIMA wao wanatumia NGUVU, hii ni hatari Sana kupita kiasi. Chonde chonde Watawala, mjifunze kupitia makosa ya wenzenu wengine ambao pia waliwahi kupitia kwenye kadhia kama hiyo.

Amani kuibomoa ni rahisi Sana, lakini ni ngumu Sana kuirejesha Tena endapo kama itatoweka.

Kumbukeni: Mataifa yenye nguvu kubwa zaidi na Wapenda Haki huwa Wanachagua upande wa kujiunga nao kwenye Migogoro yenye sura ya namna hii.
Kwa jinsi mnavyoona hali halisi ilivyo kwenye suala hili, mnafikiri wanaweza wakajiunga na upande upi hasa kwenye Mgogoro huu??? Upande wa Serikali au upande wa Maasai????
 
Nchi yetu tangu 1960 baada ya wakoloni kutuachia nchi yetu kulikuwa na vitu vinaitwa miiko!! Kulikuwa na tamaduni zetu na haki ya watu kuishi kulingana na tamaduni zao!! Seke seke la Wamasai Ngorongoro linasikitisha sana! Hata kama mnagogoro na wao ndio muondoe huduma za afya na madawa yasipelekwe? Hata kama ndio tunatafuta maendeleo au fedha za hisani ndio tuzibe masikio?

Wamasai wameomba kusikia angalau hata neno au tamko la utawala ndio kwanza naona vikosi vya FFU vinaingia mbugani na tangazo la kuvifuta kanisa vijiji vyote!! Wamasai ni sawa na samaki ameumbwa kwa asili ya kuishi majini huwezi kumtoa na kumpeleka nchi kavu ukidhani unamsaidia!! Mmeshindwa hata kukaa nao kuzungumza na kumaliza utata huu!! Mnadhani mkianza kuvimbishiana misuli mshindi atakuwa nani?

Watawala mmekuwa na jeuri na kiburi kilichopitiliza, sio tu kiburi na dharau pia!! Nyinyi mnawaona kama ni wachache lakini Tanzania nzima inaweza kusimamia nyuma yao na mambo yakawa magumu!? Usiudharau upele kwakuwa ni mdogo!! Unaweza kuondoa uhai wa mtu endapo utakuwa mkubwa.
Wamasai wa ngorongoro ni vita ya kijasusi ambayo ina itesa serikali. Wengi mwaweza msinielewe.
 
Back
Top Bottom