kwa hali, ni wazi vyombo vingi vya habari vitaichukia Redio Imaan na watangazaji wake

kwa hali, ni wazi vyombo vingi vya habari vitaichukia Redio Imaan na watangazaji wake

Kweli hii redio kiboko
Nilisikiliza siku moja waislam wanahimizwa wasishabikie vilabu vya manchesta na senali na epl na ligi zote za ulaya wala brazili kwa ujumla maana ni za makafiri

Tena wakadai eti unakuta brazili inacheza na saudia unakuta muislam mzima anashabikia brazili wakati karibu wote ni rc na makafiri unaacha kushabikia saudia wakati wote ni umati wa mohd

Yaani hakuna kushabikia nba wa roger federal maana ni makafiri
Hakuna kushabika usain bolt wala tyson gay maana ni makfiri
Hakuna kushabikia man paciao wala mywhether maana ni makafiri

Yaani nilichoka, ndio maana nasema hii radio ni kiboko

Mkuu naona umeamua kuleta mipasho chezea redio Imaan mtakuja na kila uzushi...saizi wanaandaa na gazeti Imaan news jiandae kujinyonga..
 
Radio Imani Mola iwezeshe idumu hata mwisho wa dahari kwani ni msaada mkubwa kwa jamii na inatupatia habari zakweli kabisa na uhakika. Radio Iman ldhaatul Iman( tunawatoa watu katika kiza na kuwapeleka katika nuru kwa idhini ya Mwenyezi Mungu).

hapo nkisikiaga nilipo pa bold nasikia raha sana...eti bi idhini rabbi
 
wakiristo tanzania ukisema chadema hovyo wee mchochezi, madrasa.. ukisema baya la uislaam ndo unafaa...
 
Kipindi chao kikuu cha uchochezi kinaitwa Dokezi kipo saa T kamili asubuhi chini ustadhi Balozi na shekh mchochezi mohamed issa

Naona upo bize kuwasikiliza wachochezi, vipi unakusnya ushahidi ?
 
hapo nkisikiaga nilipo pa bold nasikia raha sana...eti bi idhini rabbi

............naam ni Allah pekee ndie mwenye kujalia jambo kuwa na likawa ! Sisi tunapanga mipango, na Yeye ni mjuzi wa mipango !
 
Umejuaje binafsi nikiwa kama wakili nimeshaandaa vielelezo vyangu na nitahakikisha radio imaan inafungiwa believe me
Naona upo bize kuwasikiliza wachochezi, vipi unakusnya ushahidi ?
 
nani aliekuwa anajuwa kama Picha iliobandikwa ktk magazeti ya TANZANIA DAIMA, NIPASHE NA UHURU kuhusu macahfuko ya Zanzibar ni propaganda?
Mara tu baada ya picha hiyo kubandikwa, nilifungua redio imaan kusikiliza msimamo wao.mara nikasikia Anahojiwa ustadh aliehusishwa picha hiyo kwamba yupo Zanzibar au Morogoro? Ukweli ukajulikana mara 1
Pia siku hizi nikisoma habari ninayoitilia shaka hufungua redio imaan kusikiliza jinsi wanavyoiffatilia kwa kina kwa wahusika na kuwajuza wananchi ukweli ulivyo.Tofouti na mwanzao likiandikwa limeandikwa tu, hakuna opposite side kusikia
Naamini kazi hii haipendwi na vyombo vya habari vini vinavyokurupuka na kuandika zaidi hisia badala ya ukweli.lkn ujio wa redio hii kunaweka mambo mengi sawa
Uji wa redio tayari kumeifanya baadhi ya vyombo vya habarikushuka uaminifu mbele ya jamii. tofauti na zamani sukuma twendwe hakuna anehoji ukweli wa habari na wananchi kulishwa sumu

Unaambiwa 'usipoisikia habari kupitia Redio Imaan tia shaka'
 
Kipindi chao kikuu cha uchochezi kinaitwa Dokezi kipo saa T kamili asubuhi chini ustadhi Balozi na shekh mchochezi mohamed issa

Masikio yako yana matege?Kipindi kinaitwa 'KIDOKEZO CHA LEO'
 
Back
Top Bottom