Kwa hali niliyoiona sitashawishika tena kupima UKIMWI

Kwa hali niliyoiona sitashawishika tena kupima UKIMWI

Dr hivi umenielewa mimi sikwenda kupima hayo makitu nilikuwa tu naumwa Dr kaniuliza tu mara ya mwisho umepima lini HIV nikamwambia nimepima miaka kadhaa iliyopita, kaniandikia tu bila hata kuniuliza kama niko tayari au la

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kali, mkuu Mimi si dr. Siku hizi wana jaribu kupima HIV kwa kila mgonjwa Huku kwetu hasa zile area ambazo ni
high risk ingawa je mgonjwa anaulizwa kwanza
 
Siku hizi hamfanyi aisee zamani ilikuwa kabla ya kupima unapewa counselling ya maana na kabla ya kupewa majibu unafanyiwa counselling juzi nmeenda hospitali Dr kaniandikia tu kipimo cha HIV kama cha malaria vile simple bila hata kuniuliza kama niko tayari kupima

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa siku hizi hawatoi ushauri zaidi ya kuambiwa kuwa makini au uje umlete na mpenzi wako
 
Dr hivi umenielewa mimi sikwenda kupima hayo makitu nilikuwa tu naumwa Dr kaniuliza tu mara ya mwisho umepima lini HIV nikamwambia nimepima miaka kadhaa iliyopita, kaniandikia tu bila hata kuniuliza kama niko tayari au la

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maelezo yako nimegundua hili tatizo bado lipo kwa speed kubwa ndo maana sasa hivi hata ukienda unakajipu dokta atakuandikia tu upime HIV.

-Ndumilakuwili-
 
Dr hivi umenielewa mimi sikwenda kupima hayo makitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi lugha ni moja ya chanzo cha watu kukataa kupima na hata wakikutwa + wakaja kusikia lugha kama hizi ndio mwanzo wa kufa moyo.

Tatizo sio kupima na wala tatizo sio huu ugonjwa , tatizo ni watu wanauchukuliaje huu ugonjwa!
 
Targert ya WHO ni kuwa ifikapo 2020 kila mwathirika awe kwenye tiba mpaka sasa hivi Sweden imaongoza kufika lengo hilo
Kwa mtazamo wako kasi ya hili tatizo kwa hapa Tanzania linapungua au ndio inaongezeka?

-Ndumilakuwili-
 
Kitu cha kwanza cha kuzingatia majibu yakiwa +ve ni kuwa nani unashare nae hiyo information. Wengi wanapanic na kuanza kutafuta huruma kwa watu matokeo yake unakuwa gumzo kwenye jamii

Fikiria hiyo information iwe kama tooth paste ukishaitoa huwezi kuirudisha tena kwenye tube basi wanaopaswa kufahamu wawe wale wanaohitaji kujua
Mm nilipima majuz kwa lazima kwa kua nilikua natakiwa kufanyiwa operation. Ila ni kazi kweli kweli kusuburi majibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi hamfanyi aisee zamani ilikuwa kabla ya kupima unapewa counselling ya maana na kabla ya kupewa majibu unafanyiwa counselling juzi nmeenda hospitali Dr kaniandikia tu kipimo cha HIV kama cha malaria vile simple bila hata kuniuliza kama niko tayari kupima

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulitaka wakuandae
 
Mimi nawashangaaga wadada wanaoshawishika kirahisi wakati jibu rahisi ni kumwambia tu mwanaume nimeathirika uone kama atakufata tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo inategemea aisee. Kwa mfano kimtaani mtaani ndio mwanamke anamwambia hivyo mwanaume ujue ndio amejiharibia na hatofuatwa tena. Kwanza kutongozwa kwenyewe atakusikia kwenye bomba.
 
Mapokeo ya hiyo taarifa ndio yamemfanya hivo


Kupima afya ni kuzuri sababu unakua nauhakika na afya yako na u azidi kua makini


Madame S
 
Back
Top Bottom