Hii ni kali, mkuu Mimi si dr. Siku hizi wana jaribu kupima HIV kwa kila mgonjwa Huku kwetu hasa zile area ambazo niDr hivi umenielewa mimi sikwenda kupima hayo makitu nilikuwa tu naumwa Dr kaniuliza tu mara ya mwisho umepima lini HIV nikamwambia nimepima miaka kadhaa iliyopita, kaniandikia tu bila hata kuniuliza kama niko tayari au la
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa siku hizi hawatoi ushauri zaidi ya kuambiwa kuwa makini au uje umlete na mpenzi wakoSiku hizi hamfanyi aisee zamani ilikuwa kabla ya kupima unapewa counselling ya maana na kabla ya kupewa majibu unafanyiwa counselling juzi nmeenda hospitali Dr kaniandikia tu kipimo cha HIV kama cha malaria vile simple bila hata kuniuliza kama niko tayari kupima
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maelezo yako nimegundua hili tatizo bado lipo kwa speed kubwa ndo maana sasa hivi hata ukienda unakajipu dokta atakuandikia tu upime HIV.Dr hivi umenielewa mimi sikwenda kupima hayo makitu nilikuwa tu naumwa Dr kaniuliza tu mara ya mwisho umepima lini HIV nikamwambia nimepima miaka kadhaa iliyopita, kaniandikia tu bila hata kuniuliza kama niko tayari au la
Sent using Jamii Forums mobile app
Targert ya WHO ni kuwa ifikapo 2020 kila mwathirika awe kwenye tiba mpaka sasa hivi Sweden imaongoza kufika lengo hiloKwa maelezo yako nimegundua hili tatizo bado lipo kwa speed kubwa ndo maana sasa hivi hata ukienda unakajipu dokta atakuandikia tu upime HIV.
-Ndumilakuwili-
Hizi lugha ni moja ya chanzo cha watu kukataa kupima na hata wakikutwa + wakaja kusikia lugha kama hizi ndio mwanzo wa kufa moyo.
Kwa mtazamo wako kasi ya hili tatizo kwa hapa Tanzania linapungua au ndio inaongezeka?Targert ya WHO ni kuwa ifikapo 2020 kila mwathirika awe kwenye tiba mpaka sasa hivi Sweden imaongoza kufika lengo hilo
Bado elimu ni duni hata hao walioanza tiba wengine wanaacha ninachoona tatizo ni stigmaKwa mtazamo wako kasi ya hili tatizo kwa hapa Tanzania linapungua au ndio inaongezeka?
-Ndumilakuwili-
Mm nilipima majuz kwa lazima kwa kua nilikua natakiwa kufanyiwa operation. Ila ni kazi kweli kweli kusuburi majibu.Kitu cha kwanza cha kuzingatia majibu yakiwa +ve ni kuwa nani unashare nae hiyo information. Wengi wanapanic na kuanza kutafuta huruma kwa watu matokeo yake unakuwa gumzo kwenye jamii
Fikiria hiyo information iwe kama tooth paste ukishaitoa huwezi kuirudisha tena kwenye tube basi wanaopaswa kufahamu wawe wale wanaohitaji kujua
Lakini sasa una amani moyoniMm nilipima majuz kwa lazima kwa kua nilikua natakiwa kufanyiwa operation. Ila ni kazi kweli kweli kusuburi majibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulitaka wakuandaeSiku hizi hamfanyi aisee zamani ilikuwa kabla ya kupima unapewa counselling ya maana na kabla ya kupewa majibu unafanyiwa counselling juzi nmeenda hospitali Dr kaniandikia tu kipimo cha HIV kama cha malaria vile simple bila hata kuniuliza kama niko tayari kupima
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo inategemea aisee. Kwa mfano kimtaani mtaani ndio mwanamke anamwambia hivyo mwanaume ujue ndio amejiharibia na hatofuatwa tena. Kwanza kutongozwa kwenyewe atakusikia kwenye bomba.Mimi nawashangaaga wadada wanaoshawishika kirahisi wakati jibu rahisi ni kumwambia tu mwanaume nimeathirika uone kama atakufata tena?
Sent using Jamii Forums mobile app