Ilitarakimura
JF-Expert Member
- Feb 7, 2016
- 2,505
- 1,645
Ukidhapima ndiyo unapona au wanapata tiba mbadalaNi muhimu sana kwa kila hospitali kuweka utaratibu wa lazima kwa kila mgonjwa anayefika kutibiwa apimwe Ukimwi kwanza!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hatari sanaHawa wataalamu wa afya kwel sijui wapoje mwenyewe nilienda clinic kufika yule mama jaman katoa kipimo anapima utasena malaria af anaweka mbele yangu nione kinavyoenda ye anaendelea na story niliwaza apa hivi presha ikipanda si ninazikwa kabisa aliniboa sana yule mama
Hv ile dawa walioleta Kenya bongo ishaanza kutumika kweli na je hiyo inasaidia kuliko hizi za apa bongo?Targert ya WHO ni kuwa ifikapo 2020 kila mwathirika awe kwenye tiba mpaka sasa hivi Sweden imaongoza kufika lengo hilo
Tatizo watu wanaacha doz kwa sababu Ya kwenda kuunga folen kwenye vituo ni kuchoreshana ingetakiwa serekal waangalie hil kama mtu ameanzishiwa dozi kwa nn asipewe mzigo wake wa mwaka au miez sita kuliko kupewa za mwez mwezi?Bado elimu ni duni hata hao walioanza tiba wengine wanaacha ninachoona tatizo ni stigma
Ninakubaliana na wewe, wagonjwa wengine wana discipline sana ya kunywa dawa (adherence), sehemu nyingine hawa wanaonwa na daktari mara moja kwa mwaka au kila baada ya miezi sita. Kwa kuepuka shari, wengine wanakwenda clinic mbali nje ya mji ili kuepuka kukutana na watu unaofahamiana nao. Lakini maisha hayakupaswa kuwa hivyo, usiri wa mgonjwa ulitaiwa uzingatiwe zaidi.Tatizo watu wanaacha doz kwa sababu Ya kwenda kuunga folen kwenye vituo ni kuchoreshana ingetakiwa serekal waangalie hil kama mtu ameanzishiwa dozi kwa nn asipewe mzigo wake wa mwaka au miez sita kuliko kupewa za mwez mwezi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pep ndio dawa ganiiBaada ya condom kupasuka tukiwa tunagegedana nikamwambia tukapime akakubali alionyesha hofu lakn alijitahidi kuificha.
Tukaenda wote tulipopimwa tukatoka nje kusubiri majibu. Baada ya dakika 20 akaitwa na kuchukuliwa damu mara ya pili.
Muda wa kupewa majibu ukafika. Kweli bhana kumbe anaishi na maambukizi ya VVU.
Nikaeleza mbivu na mbichi nikapewa PEP. Nikazimeza kwa mwezi Mzima. Dawa zile ni kali mno, zinalevya mno na kuchosha. Ndoto za maruweruwe ya kutisha.
Nilipomaliza dawa nikaenda CTC pale Amana. Nikapima Nikaambiwa sina maambukizi. Nikakaa mwezi mmoja nikapima tena nikaambiwa sina.
Yule mwanamke huwezi kumdhania kabisa. Tena ni mnene na ana kalio la haja linaloweza kukudanganya. Kumbe ndani ameungua.
Siku hizi imekua ngumu kupata make wanazuia kwenye pharmacy lakin nenda hospital fanya janja janja utauziwa.Mkuu
Haka ka kipimio naweza kukapata wapi kabisa afu bei gani mkuu msaada please.
Ndo zilikua zako kwa huyu ndo nimefanya makosa.Nakitaka pia. Sasa ni mwendo wa kupimana tu. Kupima kwanza then kwichikwichi
Mkuu heshima yako.
Sasa kama huyo mtu tumeambiwa toka alipopima tu na kujua kuwa anao; Amepoteza matumaini kabisa.
Ni amani gani nitaipata iwapo nikiambiwa niko HIV Positive?
Mapendo,
TANMO.
Kirefu chake ni Post Exposure Prophylaxis (PeP) virusi vya ukimwi vinahitahi kujiunga na CD4 cells za mwili wako ili zizaliane, hii inachukua masaaa 72, PeP ukiwahi kunywa PeP katika muda huo utazuia muunganiko huo.Pep ndio dawa ganii
Mbona wanasema hizo dawa zinaua figo ndio maana wanakufa jamani,,mbona kama wanawaua tenaTargert ya WHO ni kuwa ifikapo 2020 kila mwathirika awe kwenye tiba mpaka sasa hivi Sweden imaongoza kufika lengo hilo
Ndiyo maana unatakiwa kwenda kwenye kitengo kufanyiwa check up na health screen kwa ujumla, kama figo zikiwa na matatizo dr. anakubadilishia dawa.Mbona wanasema hizo dawa zinaua figo ndio maana wanakufa jamani,,mbona kama wanawaua tena
Kudinyana hakuepukiki mkuu,labda uhasiwe lakin kwa rijali hiyo ni ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hizi arvs zimetengenezwaje maana zinanenepesha pía mitaani naona watu wanakunywa pombe kama kawaida hv hawapati adhari?Ninakubaliana na wewe, wagonjwa wengine wana discipline sana ya kunywa dawa (adherence), sehemu nyingine hawa wanaonwa na daktari mara moja kwa mwaka au kila baada ya miezi sita. Kwa kuepuka shari, wengine wanakwenda clinic mbali nje ya mji ili kuepuka kukutana na watu unaofahamiana nao. Lakini maisha hayakupaswa kuwa hivyo, usiri wa mgonjwa ulitaiwa uzingatiwe zaidi.
Kwa hiyo mlipewa hivyo vidonge kwa sababu mlikuwa mmepata maambukizi au??Hayo yashawah kunitokea.
Yan saiv naishi kama boya mtaani madada wananipapalikia ila hata hiyo ham sina
Pep Zinakera yan mdomo unakua haupati ladha kizunguzungu ndo usiseme
Halafu cha kushangaza docta alinambia hizo pep hazina tofauti na arv sasa nikawa nawaza mimi nimetumia mwezi tu nipo hoi vipi kwa hao wanaotumia maisha yao yote? Ukipata jibu hapo lazima jogoo alale hata kama mbele yako kapita chura
Hvi kwa nn hizi dawa huharibu figo?Ndiyo maana unatakiwa kwenda kwenye kitengo kufanyiwa check up na health screen kwa ujumla, kama figo zikiwa na matatizo dr. anakubadilishia dawa.
Unene ni kupenda, ukila vizuri na kufanya mazoezi hunenepi, ni kweli ARV's zinakwenda na pombe pia hata methadone kwa mateja, isingekuwa hivyo wengi wangeshindwa. Hata hivyo usiwe mlevi mpaka kusahau kunywa dawa zako pia si unajua madhara ya pombe kwenye ini na ARV's na figo sasa hapo akili mukichwa.Hivi hizi arvs zimetengenezwaje maana zinanenepesha pía mitaani naona watu wanakunywa pombe kama kawaida hv hawapati adhari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahhahaaha eti kama taarifa ya mapato na matumiziKweli kabisa hata mimi nilienda kupima mwezi uliopita yaani unaandkiwa kama vile unapima ugonjwa mafya tu na majibu yanakuja unapewa kama vile taarifa ya mapato na matumizi.
Ila kipindi cha miaka ya 2006/2007 ilikuwa unapewa ushauri wa kutosha na unaulizwa kulingana na maelezo uliyopewa unahisi una asilimia ngapi za kuwa +ve au -ve . Kwa sababu unapewa na elimu jinsi VVU vinayoambukiza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwengine.
Sasa hivi tena wanakutoboa tu kama kipimo cha malaria ndani dakika tano unapewa jibu so ukikutwa umeambikizwa na haukuwa tayari kupokea taarifa ya hivyo unaweza kuzimika kwa pressure.
Kila kitu kina side effects hata paracetamol ukinywa nyingi zina madhara, hayo ni matatizo si kwa wote.