Kwa hali niliyoiona sitashawishika tena kupima UKIMWI

Kwa hali niliyoiona sitashawishika tena kupima UKIMWI

Mwezi wa tano niliumwa kiasi nilivoenda dispensary nikakutana na dactari akaniuliza uliza wee kisha akaniandikia nipime kama nna typhoid au Maralia, tena akaniuliza kama kuna kitu kingine nataka nipime nilimwambia nataka kupima H.I.V akaniangalia then akaandika kwenye daftari bila kuongea chochote, then akaniambia nenda kasubiri majibu, nilishangaa hata cancelling hakuna nikaanza kuwa na hofu, baadae majibu yalivokuwa tayari nikaitwa nikaambiwa status za magonjwa mengine nilisikiliza kwa makini lakini mawazo yangu yote hayakuwa katika magonjwa hayo.

Alipomaliza kunieleza kilichoonekana katika magonjwa hayo then akaja kwenye H.I.V, aisee jamaa nilishangaa ananiambia na hiki kipimo bila kutaja akanionyesha tu kwenye lile daftari akasenma hakina shida, akaishia hapo, then nikatoka ila nilikuwa na mawazo sana what if ningekuwa na shida afu huyu docta hata hakuandai kisaikolojia kupokea majibu.

Love is all what we need!
Acha kulia lia mtoto wa kiume si ulitaka mwenyewe
 
Mwezi wa tano niliumwa kiasi nilivoenda dispensary nikakutana na dactari akaniuliza uliza wee kisha akaniandikia nipime kama nna typhoid au Maralia, tena akaniuliza kama kuna kitu kingine nataka nipime nilimwambia nataka kupima H.I.V akaniangalia then akaandika kwenye daftari bila kuongea chochote, then akaniambia nenda kasubiri majibu, nilishangaa hata cancelling hakuna nikaanza kuwa na hofu, baadae majibu yalivokuwa tayari nikaitwa nikaambiwa status za magonjwa mengine nilisikiliza kwa makini lakini mawazo yangu yote hayakuwa katika magonjwa hayo.

Alipomaliza kunieleza kilichoonekana katika magonjwa hayo then akaja kwenye H.I.V, aisee jamaa nilishangaa ananiambia na hiki kipimo bila kutaja akanionyesha tu kwenye lile daftari akasenma hakina shida, akaishia hapo, then nikatoka ila nilikuwa na mawazo sana what if ningekuwa na shida afu huyu docta hata hakuandai kisaikolojia kupokea majibu.

Love is all what we need!
Ndo hapo sasa...yaani nafikiria mtu amepimwa kwa style hiyo then anakutwa positive inakuwaje. Tena bora wewe uliomba mwenyewe kupimwa tunaweza kusema ulijiandaa kisaikolojia kwa namna fulani lakini hebu fikiria kwa mtu ambae hakuwa na hilo wazo tena kapima kimyakimya bila hata kuulizwa kama yupo tayari au la

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie acheni mambo yenu. Ukimwi kwa sasa is no longer a threat yaan kama kisukari ama magonjwa mengine tu. Maana mtu una miaka 30 ukiambukizwa leo unakuwa na miaka hadi 30 mbele ya kuishi endapo tu utafuata masharit. So sio ugonjwa ukiupata ndo unaanza kujiuliza kufakufa. Inshort mm siogopi kupima yaan hata nikiupata ni sawa na maralia vile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alpma ili aende marekani, so alpma bla kupata ushauri nasaha, hakua amejiandaa kwa matokeo +ve/-ve, alkua amejiandaa kwenda marekani hapo ndo shda ilpoanzia. Stress za kutokwenda marekani + kukutwa na HIV + watu washajua anaenda marekan ndo zmepelekea yote hayo. Akitulia akikubali hali atarudsha afya yake.
 
Nyie acheni mambo yenu. Ukimwi kwa sasa is no longer a threat yaan kama kisukari ama magonjwa mengine tu. Maana mtu una miaka 30 ukiambukizwa leo unakuwa na miaka hadi 30 mbele ya kuishi endapo tu utafuata masharit. So sio ugonjwa ukiupata ndo unaanza kujiuliza kufakufa. Inshort mm siogopi kupima yaan hata nikiupata ni sawa na maralia vile

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti sio threat are you serious? Mfumo wako wa maisha unabadilika, kama hujaingia kwenye ndoa ndo kwa heri huwezi kuoana na yule unayemtaka lazima utafuta mwenye hali kama yako pia ukumbuke kwenye jamii zetu bado unyanyapaa upo sana tu lazima kuna mambo utayakosa tu kwa sababu hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti sio threat are you serious? Mfumo wako wa maisha unabadilika, kama hujaingia kwenye ndoa ndo kwa heri huwezi kuoana na yule unayemtaka lazima utafuta mwenye hali kama yako pia ukumbuke kwenye jamii zetu bado unyanyapaa upo sana tu lazima kuna mambo utayakosa tu kwa sababu hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli wenye hiv wanaoa nankuolewa na wengine wanaoana nanwatu wasio na waambukizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tushajengwa kiakili ukimwi unatisha,na zile picha za watu wamekondeana ndio zinatutia hofu
Mi hua mkojo unanitoka kidogo kwenye chupi,,sijawah zoea kupima ngoma,lakin nikipima maralia wala hata sina hofu
Na hofu inakuwa kubwa zaidi kwa kuwa hakuna dawa kwa hiyo akili inakuambia unaelekea kufa
Mimi hupima mara kwa mara ila kila nikiingia kupima nanuna sana na roho inauma, ninapopewa majibu yako safi furaha hukaa kama wiki wakati huo sigegedi.

Baada ya wiki tu nataman kugegeda tena kavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya condom kupasuka tukiwa tunagegedana nikamwambia tukapime akakubali alionyesha hofu lakn alijitahidi kuificha.

Tukaenda wote tulipopimwa tukatoka nje kusubiri majibu. Baada ya dakika 20 akaitwa na kuchukuliwa damu mara ya pili.

Muda wa kupewa majibu ukafika. Kweli bhana kumbe anaishi na maambukizi ya VVU.

Nikaeleza mbivu na mbichi nikapewa PEP. Nikazimeza kwa mwezi Mzima. Dawa zile ni kali mno, zinalevya mno na kuchosha. Ndoto za maruweruwe ya kutisha.

Nilipomaliza dawa nikaenda CTC pale Amana. Nikapima Nikaambiwa sina maambukizi. Nikakaa mwezi mmoja nikapima tena nikaambiwa sina.

Yule mwanamke huwezi kumdhania kabisa. Tena ni mnene na ana kalio la haja linaloweza kukudanganya. Kumbe ndani ameungua.
Pole sana kwa kupitia mtihani mgumu namna hii ,ngoma kwa mwanamme ni ngumu kidogo kupata kulinganisha na mwanamke labda uwe na michubuko bila kwa mwanamke ni rahisi kutokana na maumbile yao hivyo huwaletea shida .

Mleta mada nimemfurahia anasema tuache ngono nafikiri ndio point ya msingi hapo kuna haja ya kuwa makini na hivi vitu .HIV/AIDS is real and existing take care .

"Never stop learning because life never stop teaching"
 
Mi huwa napima hata siogopi aisee coz najua ni ugonjwa tu kama maralia. Naogopa vitu kamankansa, kipindupindu, maralia nk. Ilanukimwi sio ugonjwa ndugu. Tena unaweza usimeze irv ukaishinmuda mrefu sana. Maana ukimwi ninupungufu wa kingabmwilini. So unaweza ukamantain cd4 kwankutumia lishe tu bass na ukafanikiwa kuishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana kwa kupitia mtihani mgumu namna hii ,ngoma kwa mwanamme ni ngumu kidogo kupata kulinganisha na mwanamke labda uwe na michubuko bila kwa mwanamke ni rahisi kutokana na maumbile yao hivyo huwaletea shida .

Mleta mada nimemfurahia anasema tuache ngono nafikiri ndio point ya msingi hapo kuna haja ya kuwa makini na hivi vitu .HIV/AIDS is real and existing take care .

"Never stop learning because life never stop teaching"
Thank you Mkuu
 
Mwezi wa tano niliumwa kiasi nilivoenda dispensary nikakutana na dactari akaniuliza uliza wee kisha akaniandikia nipime kama nna typhoid au Maralia, tena akaniuliza kama kuna kitu kingine nataka nipime nilimwambia nataka kupima H.I.V akaniangalia then akaandika kwenye daftari bila kuongea chochote, then akaniambia nenda kasubiri majibu, nilishangaa hata cancelling hakuna nikaanza kuwa na hofu, baadae majibu yalivokuwa tayari nikaitwa nikaambiwa status za magonjwa mengine nilisikiliza kwa makini lakini mawazo yangu yote hayakuwa katika magonjwa hayo.

Alipomaliza kunieleza kilichoonekana katika magonjwa hayo then akaja kwenye H.I.V, aisee jamaa nilishangaa ananiambia na hiki kipimo bila kutaja akanionyesha tu kwenye lile daftari akasenma hakina shida, akaishia hapo, then nikatoka ila nilikuwa na mawazo sana what if ningekuwa na shida afu huyu docta hata hakuandai kisaikolojia kupokea majibu.

Love is all what we need!
Mimi napenda ma Dr kma hao ila ukianza kunionea huruma na kuanza kunipa sijui ushauri Ndio unanipa mawazo kabisa, inabidi Dr awe straight forward habari za kuanza kuzunguka huwa sipendi kabisa
 
Back
Top Bottom