Kwa hali niliyoiona sitashawishika tena kupima UKIMWI

Kwa hali niliyoiona sitashawishika tena kupima UKIMWI

Nyie acheni mambo yenu. Ukimwi kwa sasa is no longer a threat yaan kama kisukari ama magonjwa mengine tu. Maana mtu una miaka 30 ukiambukizwa leo unakuwa na miaka hadi 30 mbele ya kuishi endapo tu utafuata masharit. So sio ugonjwa ukiupata ndo unaanza kujiuliza kufakufa. Inshort mm siogopi kupima yaan hata nikiupata ni sawa na maralia vile

Sent using Jamii Forums mobile app

Mh una moyo
 
Ukienda hospital yeyote ambayo kuna CTC basi ukijieleza na pia iwe masaa 72 hayajapita tangu upate exposure watakupima wakikukuta negative watakupa pep za kumeza kwa siku 28

Ok unaweza kuzitaja hizo hospital?
 
Amekudanganya SD Bioline hiki ni miongoni mwa vipimo accurate and efficient kuwahi kutumika kina uwezo wa kudetect maambukizi ndani ya siku 28 baada ya virusi kuingia mwilini kwa asilimia 96%. Tofauti na vipimo vya hapo awali ambavyo vinaweza kudetect HIV baada ya siku 90 kwa asilimia 95%.

Hopefully umenielewa! Ignore excuse za jamaa nenda hospital kacheki afya mater of fact almost hospitali zote za umma na binafsi zina vipimo hivi hivi kwa sasa.

"Ni hatari kupima ukimwi, ila ni hatari zaidi kutopima ukimwi "

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi kwa kawaida virusi huwa detected baada ya siku ngapi toka kuingia mwilini?
 
Mh eti mwanaume akichezea papuchi kwa kidole mpaka ikachubuka anaweza kukuambukiza VVU? but hamjakiss wala kunyonyana sehemu yeyote na mlitumia condom ku sex?
 
Ndoto yake kubwa ilikuwa Kwenda Marekani, na Kwa Kuwa ukiwa positive huwezi kupewa Visa ya kwenda Marekani, ndoto imepotea na msongo wa mawazo juu ...
Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu Kanyunyu, kuweka records sahihi... pitia site hii ili ufahamu ni nchi zipi zina ENTRY/VISA restrictions basing on HIV+ Status. Na ni nchi zipi ambazo hazina any kind of ENTRY/VISA restrictions basing on HIV Status. Ni global database kuhusu countries with or without Entry or Residence restrictions based on HIV Status: HIVTravel - Home .

For the case of USA, people with HIV wanaingia USA bila zengwe lolote. Tangu mwaka 2010, hakuna tena entry/residence restrictions based on HIV+ Status...

HIVTravel - Regulations on Entry, Stay and Residence for PLHIV

USA.JPG



-Kaveli-
 
Ok unaweza kuzitaja hizo hospital?
Hospital yeyote kubwa ya mkoa au ya wilaya ina CTC..



Hivi kwa kawaida virusi huwa detected baada ya siku ngapi toka kuingia mwilini?


Inategemea kulingana na aina ya kipimo, rapid test Mfano SD Bioline HIV 1&2 ambacho ndio hutumika zaidi hapa tz kinagundua maambukizi kuanzia siku ya 21, lakn ni vizuri kupima baada ya siku 28 Kwani kimeonyesha uwezo wa kugundua 95% ya maambukizi.
Vipo vipimo vya 4th generation Elisa au rapid test combo ambayo ina uwezo wa kudetect both antibody and antigen huchukua wiki 2 kuweza kudetect maambukizi, PCR hudetect kuanzia siku ya 10..


Mh eti mwanaume akichezea papuchi kwa kidole mpaka ikachubuka anaweza kukuambukiza VVU? but hamjakiss wala kunyonyana sehemu yeyote na mlitumia condom ku sex?
VVU huambukiza iwapo kuna mwingiliano wa damu. Kama una kidonda kikagusa damu yenye maambukizi basi utapata.
Iwapo amekuchubua na yeye kwenye kidole ana kidonda halafu vidonda vikagusana basi utapata. La kama hana kidonda hauwezi kupata. Mate hayaambukizi VVU kwani mate yana enzyme wanao inhibit virus. Hivyo kunyonyana denda kakuambukizi.
 
Hospital yeyote kubwa ya mkoa au ya wilaya ina CTC..






Inategemea kulingana na aina ya kipimo, rapid test Mfano SD Bioline HIV 1&2 ambacho ndio hutumika zaidi hapa tz kinagundua maambukizi kuanzia siku ya 21, lakn ni vizuri kupima baada ya siku 28 Kwani kimeonyesha uwezo wa kugundua 95% ya maambukizi.
Vipo vipimo vya 4th generation Elisa au rapid test combo ambayo ina uwezo wa kudetect both antibody and antigen huchukua wiki 2 kuweza kudetect maambukizi, PCR hudetect kuanzia siku ya 10..



VVU huambukiza iwapo kuna mwingiliano wa damu. Kama una kidonda kikagusa damu yenye maambukizi basi utapata.
Iwapo amekuchubua na yeye kwenye kidole ana kidonda halafu vidonda vikagusana basi utapata. La kama hana kidonda hauwezi kupata. Mate hayaambukizi VVU kwani mate yana enzyme wanao inhibit virus. Hivyo kunyonyana denda kakuambukizi.


Ok thanx prince 22
 
Kuna kijana mmoja msomi hapa mtaani kwetu alipata fursa ya kwenda kufanya kazi kwenye kiwanda kimoja kikubwa nchini marekani, baada ya kufanya maandalizi ya kwenda safari yake alilazimika kufanyiwa vipimo vya afya ikiwemo HIV test.

Alipopimwa alikutwa Positive, ni takribani mwezi sasa tangu apime kijana huyo ambaye alikuwa ni handsome kwa muonekano wa mwili wake kwa sasa amekuwa zaidi ya babu kizee, amekonda amebaki mifupa na kutembea kwake kwa shida.

Nashindwa kuelewa ni kitu cha ghafla kilichompata kijana huyu mpaka kuwa na hali hiyo, anyway, na kwa niliyoyaona sitashawishika kupima Ukimwi bora tu niendelee kuishi kwa matumaini.

NB :Sishawishi wengine wasipime huo ni msimamo wangu tu.

Tupunguze uasharati jamani Ukimwi bado upo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Captain, pole Kwa kuwa na msimamo hasi dhidi ya HIV test kwa ku refer case ya jamaa yako (Tumuite Mr X).
Kuna mambo kadhaa ambayo huenda yamechangia Mr X kupatwa na hayo uliyoeleza( Kukonda ghafla na kupoteza siha na haiba baada ya kupima)

1. Inawezekana hakupata fursa ya kufanyiwa ushauri nasaha kabla na baada ya vipimo

2. Kama alifanyiwa ushauri nasaha Inawezekana hakuandaliwa vyema/ hakuelimishwa vyema kabla na baada ya kupima (Pre & Post test counselling)
Good counselling inatakiwa (it is a must, not optional hasa kwa HIV +ve results) ili ku minimise crisis kama hizi.

3. Failure ya counsellor kutimiza vigezo na procedure za ushauri nasaha. (Ethically, counsellor anatakiwa kumuandaa client kupokea majibu na kujirthisha kwamba somo limeeleweka kwa kumuuliza maswali na kuruhusu maswali bila kujali muda wa hiyo session. When there is any doubt kwamba huyu client hayo majibu yatasababisha crisis/kutokuyakubali/kujidhuru/ etc basi session inaweza kuahirishwa, client akaja kufuata results siku nyingine muafaka baada ya maridhiano)
4. Hata hivyo, sio mara zote procedure za counseling huhitajika (necessity doesn't apply to all),
Inategemea na ni nani aliye leta wazo la haja ya kupima kati ya client na mtoa huduma.
 
Kama muathirika ana status hiyo niliyosema na anatumia dawa asiyemwathirika hawezi kupata madhara lakini pia ni muhimu khudhuria kitengo pamoja na kupata ushauri nasaha
Ajee kwa kutumia kipimo cha Unigold ukimwi waweza gundulika kwa kipindi gani na kinafanya kazi kwa uhakika wa asilimia ngapi?
 
Majuzi niliamua kupima HIV mwenyewe kwenye SD bioline nikiwa kichakani ila kwa njia nizilizopita na Haya majibu ya negative nimeamini Yesu anaponya...na mungu ni jehova Rapha...mungu ni mponyaji. Loh! Sina ukimwi!? Sidhini tena hovyo hovyo.

Pia tatizo huwa lina nguvu ukiwa unalitazama na kulipa nafasi just ignore it and live your life, we will all die someday, ndege haanguki akiwa angani sababu yuko comfortable lakini mtu akigundua yuko angani lazma ataanguka maana anapanick na kupoteza comfortability...if you are positive stay positive.

View attachment 566563

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mungu ni mwema, tuwe makini tuache dhambi tuoe
 
Katika Maisha yangu sikuwahi kupima ukimwi ila kwa ajili safari nililazimika kupima ingawa nilikuwa najiamini kutokana na kutokuwa kweny mahusiano muda lkn niliingiwa na hofu, tulipelekwa watu wengi wa mataifa mbalimbali hapo nilipata hofu Kubwa na sijui ilitoka wapi
Ila Majibu yalikuwa mazuri
Nimetulia tuli nasubir kupima tena nikitaka kuingia kweny ndoa
 
Back
Top Bottom