Habari ya Mujini
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 2,517
- 1,044
Huyo aliyepima mbona amani emetoweka na afya imezorota...Pima uwe na amani na uwe makini zaidi na sehemu unazopita
Kutokupima ni salama zaidi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo aliyepima mbona amani emetoweka na afya imezorota...Pima uwe na amani na uwe makini zaidi na sehemu unazopita
Sio kweli nilishaona mtu ameenda kifua mbele aisee baada ya nusu saa tu hali ilikiwa mbaya mno.
We ulitaka ujue una ukimwi ili iweje?Mwezi wa tano niliumwa kiasi nilivoenda dispensary nikakutana na dactari akaniuliza uliza wee kisha akaniandikia nipime kama nna typhoid au Maralia, tena akaniuliza kama kuna kitu kingine nataka nipime nilimwambia nataka kupima H.I.V akaniangalia then akaandika kwenye daftari bila kuongea chochote, then akaniambia nenda kasubiri majibu, nilishangaa hata cancelling hakuna nikaanza kuwa na hofu, baadae majibu yalivokuwa tayari nikaitwa nikaambiwa status za magonjwa mengine nilisikiliza kwa makini lakini mawazo yangu yote hayakuwa katika magonjwa hayo.
Alipomaliza kunieleza kilichoonekana katika magonjwa hayo then akaja kwenye H.I.V, aisee jamaa nilishangaa ananiambia na hiki kipimo bila kutaja akanionyesha tu kwenye lile daftari akasenma hakina shida, akaishia hapo, then nikatoka ila nilikuwa na mawazo sana what if ningekuwa na shida afu huyu docta hata hakuandai kisaikolojia kupokea majibu.
Love is all what we need!