Kwa hali ya Corona na kimbunga Jobo, nimeamini Tanzania inalindwa na Mungu

Kwa hali ya Corona na kimbunga Jobo, nimeamini Tanzania inalindwa na Mungu

Hakuna kitu kilichonistajabisha mimi kama Mwanasayansi Magufuli kumtunainia MUNGU na kumtanguliza yeye kwenye Taifa.

Ni rahisi pekee toka Julius Nyerere aliyemtajac MUNGU sana na kum acknowledge MUNGU kwenye Urais wake.


Naamini kuna namna MUNGU anam reward kipenzi chetu JPM.
Mkuu ni ngumu kumsahau jpm.hakuna siku imepita sijamkumbuka hasa usiku nikilala najikuta nawaza hivi ni kweli hatunae tena?

Kila binadamu ana mapungufu yake.ila naamini Mungu atamsamehe pale alipokosea kama binadamu.

Magufuli alikuwa mcha mungu hata kabla ya kuwa rais
Kwa mara ya kwanza2012 akiwa waziri nilisali st peters dar nilimuona face to face mbele ya bench tulokuwa tumekaa.

Muda wa kupeana amani ya bwana wote walokuwa karibu nae alitupa mkono.

Tulipotoka nikamuuliza mama akasema mara nyingi magufuli hakosagi kanisani.

So likizo zangu zote nikisali st peters lazima nimuone, alikuwa akipenda kukaa upande wa chini ukiingia kanisani mkono wa kulia unamuona akiwa katulia kwa unyenyekevu mkubwa.

Mkuu achana na hilo ushaona wapi rais mkiristo akishita kibaba wachangi sadaka waislamu? Ushaona utu wa namna hiyo?

Mungu nijalie moyo wa hurumahata zaidi ya jpm

Ee mungu mpumzishe huyu baba jamani.
 
Jesus loves us
IMG-20210426-WA0034.jpg
 
Nchi iliyobobea kwa matambiko na mambo ya hovyo hovyo kama ulozi, uchawi, ushirikina, ufisadi, wizi wa pesa na mali ya umma, ufiraji inalindwa na Mungu yupi? toa ufafanuzi...
Hata Yesu alipokuja duniani, hakuja kwa ajili ya wasio na dhambi bali wenye dhambi... Kataa ukubali Mungu ni mwema siku zote. Twapaswa kumshukuru kwa kila jambo na kwa jinsi tulivyo.

Hata wewe ndugu yangu unapumua hata sasa kwa sababu Mungu amependa. Hutaki kajinyonge.
 
Nasikia huko Dar leo hali ni tete, kuna mvua ya kufa mtu...
 
Hivi mimi ni nani hadi nisishuhudie maajabu ya Mungu kwa Nchi yetu!

Kwa sisi tunaosafiri hasa Nchi za wenzetu kwa namna wanavyohangaishwa na Corona na ukiringanisha na namna tunavyoishi hapa kwetu Tanzania hakika mapenzi ya Mungu kwa Nchi yetu ni mema sana.

Hilo la kimbuga Jobo pia kutokuleta athali zozote kama ilivyotarajiwa hakika mkono wa Mungu ni wa kipekee kwa Taifa letu.

Kama Watanzania na pasipo kujali tofauti zetu za kiimani na kisiasa yatupasa sasa tumshukuru mwenyezi Mungu kwa mapenzi mema kwa Nchi yetu.

Mungu ibariki Tanzania!
Ni kweli kabisa mkuu,ndo maana MUNGU alituondolea Rais wa hovyo kabisa Magufuli,kwa sababu anaipenda Tanzania
 
Back
Top Bottom