Kwa hali ya nchi ilivyo, sitegemei pongezi, makofi au kugongwa meza kwa kiongozi yeyote yule. Watanzania tumechezewa sana

Kwa hali ya nchi ilivyo, sitegemei pongezi, makofi au kugongwa meza kwa kiongozi yeyote yule. Watanzania tumechezewa sana

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Hivi Baada ya miaka 60 ya Uhuru unaweza mpigia makofi au kumpa pongezi kiongozi anae kuja kuzindua au kuahidi miradi ya kimaendeleo ambayo ilibidi iwe ilishafanyika miaka 40 iliyopita na viongozi waliopita kama vile mabomba na miradi ya maji mitaani , kukuahidiwa kujenga barabara kiwango cha Kokote au lawi, mashule, Mahospitali, masoko n.k

Mi nadhani Kwa rasilimali tulizo nazo tupongeze miradi na mambo ya kimaendeleo kama ujenzi wa viwanda mbali mbali, miradi ya kisasa ya uzalishaji Umeme, Miundombinu ya kisasa na nk

Haya mengine Tushukuru tu sio Kupongeza kama baba au mwanae anapompa chakula au ada mwanae .

Mfano: Nashukuru Serikali kwa kutuletea Maji, Barabara, hospitali, shule nk

Kupongeza tunazidisha Sana ni bora tuishie Kushukuru maana tumechezewa na kufelishwa
 
Kama walishindwa wengine kufanya miaka 40, leo anafanya raisi Samia hakika tutampongeza Wala usichukie mkuu
 
Kama walishindwa wengine kufanya miaka 40, leo anafanya raisi Samia hakika tutampongeza Wala usichukie mkuu
Siwezi Chukia but hawastahili
 
Back
Top Bottom