Kwa hapa africa kutatokea tena wanamuziki hawa wataalamu? Franco na oliver ngoma?

Kwa hapa africa kutatokea tena wanamuziki hawa wataalamu? Franco na oliver ngoma?

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Wandugu japo mimi sio mhenga lakini huwa nina mtindo wa kusikiliza nyimbo za zamani hivyo nimeskiliza nyingi sana hata nilipowahi kuwa dj ujanani nilizipiga na mzee wangu anazo nyingi.
Sasa kwa upande wangu nauliza kutawahi kutokea tena wasanii wataalamu africa kama Franco na huyu wa majuzi kati kati wa kuitwa oliver ngoma?
Najua wapo wengi waliotisha na bado wamo akiwemo koffi olomide
 
Back
Top Bottom