Kendrick Rama
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 409
- 456
Ngoja niulizeKwa hiyo wamekataza chibonge?
Hawezi mjua uyo kuna ngoma yeke moja inaitwa #BAYE .. tena ngoja nivae earphones zanguMkuu, unamjua Monique Seka?
Huo wa kumponda unaitwajeFranco Luambo wa tp jazzy,
aliwahi kuandika wimbo wa kumponda mobutu sesseko akatupwa ndani [emoji28]. Baadaye tena akaimba wimbo wa kumsifia ndio alipoachiwa na urafiki ukadumu zaidi.
huyu jamaa alikuwa nyoko [emoji106]
Album zake tatu kati ya nne ni moto sana ukianza na Bane, Adia na Saga ...Seva haikua nzuri kama hizo pengine sababu ni kuwa hakufanya na producer wake wa siku zote Manu Lima RIP Oliver NβGoma a.k.a NOLIWandugu japo mimi sio mhenga lakini huwa nina mtindo wa kusikiliza nyimbo za zamani hivyo nimeskiliza nyingi sana hata nilipowahi kuwa dj ujanani nilizipiga na mzee wangu anazo nyingi.
Sasa kwa upande wangu nauliza kutawahi kutokea tena wasanii wataalamu africa kama Franco na huyu wa majuzi kati kati wa kuitwa oliver ngoma?
Najua wapo wengi waliotisha na bado wamo akiwemo koffi olomide
Ivorian QueenMkuu, unamjua Monique Seka?
Oliver N'goma alikuwa mkali pia
Uwe sehemu iliyotulia usikilize nyimbo kama
Alphonsine
Lili
Lusa
Bane
nk.
Burudani sana...Ukisikiliza album ya Bane huwezi kuruka nyimbo kuanzia Bane, Alphonsine, Icole,Lusa, Lili, Mayumba, Julie na Mugetu Gole. Vivyo hiyo kwenye album yake ya pili Adia
Wacha tuoneWakuu mungekuwa munataja hizo ngoma na kuziweka humu kabisa,