Kwa hapa alipotufikisha Rais Samia anastahili kupongezwa, kuungwa mkono na kutiwa moyo, alipokea nchi katika kipindi kigumu sana

Kwa hapa alipotufikisha Rais Samia anastahili kupongezwa, kuungwa mkono na kutiwa moyo, alipokea nchi katika kipindi kigumu sana

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu mnyonge mnyongeni lakini Haki Yake mpeni, Rais Samia Anastahili kupewa Haki yake, Haki ya kupongezwa, kuungwa Mkono, kupewa Faraja, kutiwa Moyo na kupewa ushirikiano.

Rais Samia Alipokea Nchi katika Kipindi Kigumu Sana kiuchumi, Alipokea Nchi kipindi Cha mlipuko wa ugonjwa wa CoVID 19, kipindi ambacho viwanda vingi vilikuwa vimefungwa ,vinafungwa au kupunguza wafanyakazi wake, Alipokea Nchi kipindi ambapo uchumi wa Dunia ulikuwa unatetemeka, kipindi ambacho ajira zilikuwa zinafungwa na kupungua, kipindi ambacho uzalishaji viwandani ulikuwa unapungua siku Hadi siku, kipindi ambacho wawekezaji walikuwa wanazidi kupungua kutokana na mtikisiko wa uchumi wa Dunia

Alipokea Nchi ambapo watu katika mataifa mbalimbali walikuwa wamejifungia ndani, kipindi ambacho kulikuwa na mfumuko wa Bei Duniani, Kabla haja kaa sawa Vita vya Ukrein vikaingia Kati, Hali iliyochochea uharibifu wa uchumi wa Dunia, mfumuko wa bei ukazidi kupaa zaidi ,Nishati ya mafuta ikawa haishikiki Wala kugusika, kila Kona ya Dunia ikawa Ni vilio na kelele za ugumu wa maisha na uchumi mbaya

Mama huyu na Rais huyu shupavu kabisa, Msikivu, Mzalendo, Imara, Mwenye Maono ya Mbali, Ndoto kubwa juu ya Tanzania mpya na Bora alianza kuusuka uchumi wetu uliokuwa umeharibiwa na CORONA pamoja na Vita vya Ukrein, alianza kuimarisha Diplomasia yetu ya uchumi, akafungua Ukurasa mpya wa kidiplomasia na majirani zetu, Afrika na Dunia nzima kwa ujumla.Taratibu tukaanza kuona mafuriko ya watalii na wawekezaji hasa baada ya wazo lake la kibunifu maarufu Kama royal Tour lililotangaza vivutio vyetu vya utalii na nchi yetu kwa ujumla.

Rais Samia akaimarisha secta binafsi ili iweze kukua vizuri na kutengeneza fursa za ajira kwa vijana, akazunguka huku na kule kuwashawishi wawekezaji katika secta tofauti tofauti, hatimaye wakaanza kuja nchini mwetu.

Akajitahidi kutoa ajira kwa vijana takribani elfu 42 katika secta karibia zote zikiongozwa na secta ya Elimu na Afya,

Rais Samia katikati ya mfumuko wa Bei akachukua hatua ya kukabiliana nao kwa kutoa Ruzuku katika Nishati ya mafuta pamoja na pembejeo za kilimo, Hali iliyopelekea kushuka kwa Bei sokoni na kutoa ahueni ya maisha kwa mtanzania, Hali ya kiuchumi imezidi kuwa njema na ya kuridhisha Sana, kwani Amejenga uchumi jumuishi unao mgusa kila mtanzania na kumnufaisha kila mtu kutokana na kuwekeza katika miradi inayogusa mtanzania mnyonge moja kwa moja, Hii ndio sababu ya Kuendelea kukubalika na kuungwa mkono na watanzania wote

Kila utakapokwenda unakuta Rais Samia anafanya kazi kubwa Sana, Unakuta umoja na upendo umetamalaki miongoni mwa watanzania, watanzania Wana amani kwa kuwa ameliunganisha Taifa na kuwa kitu kimoja ndio sababu hata viwanjani unaona picha zake zikitawala na kutamalaki huku watu wakishangilia kwa shangwe ,Vifijo na Nderemo

Watanzania Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, Tuwe na Subira kwa Yale mambo yanayokuwa katika utekelezaji, tumwombee Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania, Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia kwa kipindi hiki, Nafikiri mmesikia kwingineko badala ya kujadili maendeleo wameanza kujadili habari za kuongeza miaka ya Rais kukaa muda mrefu Zaid madarakani. Watanzania tuna bahati kwa kuwa Rais wetu muda wote anajadili habari za maendeleo tu na namna ya kumkwamua kiuchumi mwananchi mnyonge

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627( Kwa maoni juu ya ujenzi wa Taifa letu
 
Ndugu zangu mnyonge mnyongeni lakini Haki Yake mpeni, Rais Samia Anastahili kupewa Haki yake, Haki ya kupongezwa,kuungwa Mkono,kupewa Faraja,kutiwa Moyo na kupewa ushirikiano. Rais Samia Alipokea Nchi katika Kipindi
Naunga mkono hoja.
Nami sitaki uteuzi lakini kwa kututembelea mkoa wa Mbeya, macho ya wengi yalifunguka kuhusu matatizo ynayoukabili mkoa huu ambao mwendazakae aliamua kwa makusudi kuuminya.
Iwambi na Inyala zinaongoza kuua wananchi kwa barabara ambazo Magufuli alizifumba mcho takriban miaka 20.
 
Naunga mkono hoja.
Nami sitaki uteuzi lakini kwa kututembelea mkoa wa Mbeya, macho ya wengi yalifunguka kuhusu matatizo ynayoukabili mkoa huu ambao mwendazakae aliamua kwa makusudi kuuminya.
Iwambi na Inyala zinaongoza kuua wananchi kwa barabara ambazo Magufuli alizifumba mcho takriban miaka 20.
Hakika ujio wa mh Rais nyanda za juu kusini ulikuwa wa Neema kubwa Sana kwetu Wana nyanda za juu kusini hsa kwetu wakulima, maana Ni katika kilele Cha maazimisho ya maonyesho ya nanenane alipotangaza kwetu wakulima utolewaji wa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea, Na kweli zilitoka ndani ya muda alioelekeza mh Rais na tukaanza kuona mbolea hizo zikipatikana madukani kwote kwa Bei ya nusu ya Ile ya msimu uliopita,mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa elfu 70 tu
 
Siwezi kutoa maoni kwenye hali tete namna hii halafu kuna wachumia tumbo wanakalia keybody na kusifia UJINGA...ngoja nkanunue zangu maharage kilo 3600 nile nivimbiwe mie
Ukifuatilia Hali ya maisha Katika nchi za ukanda huu na Afrika yote kwa ujumla utagundua kuwa Tanzania pekee ndio sehemu ambayo Rais wetu amefanya kazi kubwa ya kutunusuru wananchi wake na mfumuko wa Bei na mtikisiko wa uchumi wa Dunia,
 
Shujaa Majaliwa wa Bukoba hajaweka namba ya Simu wala nini lakini Leo katimba bungeni na body guard!
Hiyo Ni kwa kuwa serikali ya CCM chini ya uongozi wa mama Samia inatambua mchango wa kila mtanzania katika ujenzi wa nchi hii ,wakati nyie chadema mlipinga Sana kitendo Cha mh Rais wetu kuagiza Apewe kazi jeshini, lakini leo mnapongeza , hii ndio sababu hata wananchi wameacha kuwasikiliza kwa kuwa Ni viveu geu na mmekosa msimamo wa kueleweka,
 
Hiyo Ni kwa kuwa serikali ya CCM chini ya uongozi wa mama Samia inatambua mchango wa kila mtanzania katika ujenzi wa nchi hii ,wakati nyie chadema mlipinga Sana kitendo Cha mh Rais wetu kuagiza Apewe kazi jeshini, lakini leo mnapongeza , hii ndio sababu hata wananchi wameacha kuwasikiliza kwa kuwa Ni viveu geu na mmekosa msimamo wa kueleweka,
Mambo ya kujinadi kwa namba za Simu ni ya kizamani mno

Ndio sababu Bavicha wanachukua uwaziri nyie mnatumbua macho tu na minamba!
 
Ndugu zangu mnyonge mnyongeni lakini Haki Yake mpeni, Rais Samia Anastahili kupewa Haki yake, Haki ya kupongezwa, kuungwa Mkono, kupewa Faraja, kutiwa Moyo na kupewa ushirikiano.

Rais Samia Alipokea Nchi katika Kipindi Kigumu Sana kiuchumi, Alipokea Nchi kipindi Cha mlipuko wa ugonjwa wa CoVID 19, kipindi ambacho viwanda vingi vilikuwa vimefungwa ,vinafungwa au kupunguza wafanyakazi wake, Alipokea Nchi kipindi ambapo uchumi wa Dunia ulikuwa unatetemeka, kipindi ambacho ajira zilikuwa zinafungwa na kupungua, kipindi ambacho uzalishaji viwandani ulikuwa unapungua siku Hadi siku, kipindi ambacho wawekezaji walikuwa wanazidi kupungua kutokana na mtikisiko wa uchumi wa Dunia

Alipokea Nchi ambapo watu katika mataifa mbalimbali walikuwa wamejifungia ndani, kipindi ambacho kulikuwa na mfumuko wa Bei Duniani, Kabla haja kaa sawa Vita vya Ukrein vikaingia Kati, Hali iliyochochea uharibifu wa uchumi wa Dunia, mfumuko wa bei ukazidi kupaa zaidi ,Nishati ya mafuta ikawa haishikiki Wala kugusika, kila Kona ya Dunia ikawa Ni vilio na kelele za ugumu wa maisha na uchumi mbaya

Mama huyu na Rais huyu shupavu kabisa, Msikivu, Mzalendo, Imara, Mwenye Maono ya Mbali, Ndoto kubwa juu ya Tanzania mpya na Bora alianza kuusuka uchumi wetu uliokuwa umeharibiwa na CORONA pamoja na Vita vya Ukrein, alianza kuimarisha Diplomasia yetu ya uchumi, akafungua Ukurasa mpya wa kidiplomasia na majirani zetu, Afrika na Dunia nzima kwa ujumla.Taratibu tukaanza kuona mafuriko ya watalii na wawekezaji hasa baada ya wazo lake la kibunifu maarufu Kama royal Tour lililotangaza vivutio vyetu vya utalii na nchi yetu kwa ujumla.

Rais Samia akaimarisha secta binafsi ili iweze kukua vizuri na kutengeneza fursa za ajira kwa vijana, akazunguka huku na kule kuwashawishi wawekezaji katika secta tofauti tofauti, hatimaye wakaanza kuja nchini mwetu.

Akajitahidi kutoa ajira kwa vijana takribani elfu 42 katika secta karibia zote zikiongozwa na secta ya Elimu na Afya,

Rais Samia katikati ya mfumuko wa Bei akachukua hatua ya kukabiliana nao kwa kutoa Ruzuku katika Nishati ya mafuta pamoja na pembejeo za kilimo, Hali iliyopelekea kushuka kwa Bei sokoni na kutoa ahueni ya maisha kwa mtanzania, Hali ya kiuchumi imezidi kuwa njema na ya kuridhisha Sana, kwani Amejenga uchumi jumuishi unao mgusa kila mtanzania na kumnufaisha kila mtu kutokana na kuwekeza katika miradi inayogusa mtanzania mnyonge moja kwa moja, Hii ndio sababu ya Kuendelea kukubalika na kuungwa mkono na watanzania wote

Kila utakapokwenda unakuta Rais Samia anafanya kazi kubwa Sana, Unakuta umoja na upendo umetamalaki miongoni mwa watanzania, watanzania Wana amani kwa kuwa ameliunganisha Taifa na kuwa kitu kimoja ndio sababu hata viwanjani unaona picha zake zikitawala na kutamalaki huku watu wakishangilia kwa shangwe ,Vifijo na Nderemo

Watanzania Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, Tuwe na Subira kwa Yale mambo yanayokuwa katika utekelezaji, tumwombee Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania, Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia kwa kipindi hiki, Nafikiri mmesikia kwingineko badala ya kujadili maendeleo wameanza kujadili habari za kuongeza miaka ya Rais kukaa muda mrefu Zaid madarakani. Watanzania tuna bahati kwa kuwa Rais wetu muda wote anajadili habari za maendeleo tu na namna ya kumkwamua kiuchumi mwananchi mnyonge

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627( Kwa maoni juu ya ujenzi wa Taifa letu
Lucas Mwashambwa katika ubora wako
IMG-20220607-WA0000.jpg

View attachment 2413532
 
Lucas Mwashambwa katika ubora wakoView attachment 2413527
Mimi naandika ukweli na uhalisia wa mambo, mfano kusema Rais alitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni Ni Jambo la ukweli ambao lipo wazi hata Kama utanitukana na kuniita mlamba viatu, maana Jambo Hilo Ni la wazi na limeleta furaha na matumaini kwa wakulima wengi Sana ambao awali walikuwa wanakata Tamaa ya kulima kutokana na Bei ya mbolea kuwa juu Sana ukilinganisha na vipato vyao,lakini kwa Sasa Wana hamasa ya kulima na kumshukuru mh Rais Samia kwa uamuzi wake huo ulioamsha matumaini katika mioyo yao
 
Anastahili kunyongwa kwa mateso anayowapatia watanzania huku yeye akibadili routes za ndege
Safari za mh Rais zimekuwa Ni zenye mafanikio makubwa Sana, zimeleta Tija kwa Taifa letu, zimebadili na kufungua Ukurasa mpya wa kidiplomasia, zimeiheshimisha Tanzania kimataifa,zimefanya Tanzania kuwa chaguo namba moja kwa wawekezaji na watalii wanaokuja katika Bara la Afrika, zimerejesha ushawishi wa Tanzania Kimataifa, mfano Majuzi tu hapa katika ziara ya mh Rais nchi China Tumeweza kusamehewa Deni la takribani billioni 31 ,Fedha tutakazo weza kuwekeza katika Elimu au Afya,au huduma za maji Safi na salama hasa kwa kuchimba visima virefu vitakavyosaidia kupunguza uhaba wa maji kwa maeneo yenye shida ya maji,lakini pia safari hiyo imepelekea kusainiwa kwa mikataba mbalimbali itakayochochea fursa mbalimbali katika secta za biashara,kilimo,uvuvi na viwanda.

Rais Samia Ni bingwa wa Diplomasia ya Uchumi na anaitekeleza kwa vitendo kwa maslahi mapana ya Taifa letu
 
Anastahili kunyongwa kwa mateso anayowapatia watanzania huku yeye akibadili routes za ndege
Halafu wakati mwingine sijuwi huwa mnalishwa vitu gani huko CHADEMA? Sijuwi Kuna Moshi huko ofisini kwenu Hadi kuathiri akili zenu? Maana kiukweli maneno ambayo huwa mnaandika Ni ya kushangaza na kusikitisha Sana, Uhuru uliopo utumieni vizuri kwa maslahi mapana ya Taifa letu, siyo kujiropokea tu Kama mtu aliyekosa malezi ya wazazi
 
Ndugu zangu mnyonge mnyongeni lakini Haki Yake mpeni, Rais Samia Anastahili kupewa Haki yake, Haki ya kupongezwa, kuungwa Mkono, kupewa Faraja, kutiwa Moyo na kupewa ushirikiano.

Rais Samia Alipokea Nchi katika Kipindi Kigumu Sana kiuchumi, Alipokea Nchi kipindi Cha mlipuko wa ugonjwa wa CoVID 19, kipindi ambacho viwanda vingi vilikuwa vimefungwa ,vinafungwa au kupunguza wafanyakazi wake, Alipokea Nchi kipindi ambapo uchumi wa Dunia ulikuwa unatetemeka, kipindi ambacho ajira zilikuwa zinafungwa na kupungua, kipindi ambacho uzalishaji viwandani ulikuwa unapungua siku Hadi siku, kipindi ambacho wawekezaji walikuwa wanazidi kupungua kutokana na mtikisiko wa uchumi wa Dunia

Alipokea Nchi ambapo watu katika mataifa mbalimbali walikuwa wamejifungia ndani, kipindi ambacho kulikuwa na mfumuko wa Bei Duniani, Kabla haja kaa sawa Vita vya Ukrein vikaingia Kati, Hali iliyochochea uharibifu wa uchumi wa Dunia, mfumuko wa bei ukazidi kupaa zaidi ,Nishati ya mafuta ikawa haishikiki Wala kugusika, kila Kona ya Dunia ikawa Ni vilio na kelele za ugumu wa maisha na uchumi mbaya

Mama huyu na Rais huyu shupavu kabisa, Msikivu, Mzalendo, Imara, Mwenye Maono ya Mbali, Ndoto kubwa juu ya Tanzania mpya na Bora alianza kuusuka uchumi wetu uliokuwa umeharibiwa na CORONA pamoja na Vita vya Ukrein, alianza kuimarisha Diplomasia yetu ya uchumi, akafungua Ukurasa mpya wa kidiplomasia na majirani zetu, Afrika na Dunia nzima kwa ujumla.Taratibu tukaanza kuona mafuriko ya watalii na wawekezaji hasa baada ya wazo lake la kibunifu maarufu Kama royal Tour lililotangaza vivutio vyetu vya utalii na nchi yetu kwa ujumla.

Rais Samia akaimarisha secta binafsi ili iweze kukua vizuri na kutengeneza fursa za ajira kwa vijana, akazunguka huku na kule kuwashawishi wawekezaji katika secta tofauti tofauti, hatimaye wakaanza kuja nchini mwetu.

Akajitahidi kutoa ajira kwa vijana takribani elfu 42 katika secta karibia zote zikiongozwa na secta ya Elimu na Afya,

Rais Samia katikati ya mfumuko wa Bei akachukua hatua ya kukabiliana nao kwa kutoa Ruzuku katika Nishati ya mafuta pamoja na pembejeo za kilimo, Hali iliyopelekea kushuka kwa Bei sokoni na kutoa ahueni ya maisha kwa mtanzania, Hali ya kiuchumi imezidi kuwa njema na ya kuridhisha Sana, kwani Amejenga uchumi jumuishi unao mgusa kila mtanzania na kumnufaisha kila mtu kutokana na kuwekeza katika miradi inayogusa mtanzania mnyonge moja kwa moja, Hii ndio sababu ya Kuendelea kukubalika na kuungwa mkono na watanzania wote

Kila utakapokwenda unakuta Rais Samia anafanya kazi kubwa Sana, Unakuta umoja na upendo umetamalaki miongoni mwa watanzania, watanzania Wana amani kwa kuwa ameliunganisha Taifa na kuwa kitu kimoja ndio sababu hata viwanjani unaona picha zake zikitawala na kutamalaki huku watu wakishangilia kwa shangwe ,Vifijo na Nderemo

Watanzania Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, Tuwe na Subira kwa Yale mambo yanayokuwa katika utekelezaji, tumwombee Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania, Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia kwa kipindi hiki, Nafikiri mmesikia kwingineko badala ya kujadili maendeleo wameanza kujadili habari za kuongeza miaka ya Rais kukaa muda mrefu Zaid madarakani. Watanzania tuna bahati kwa kuwa Rais wetu muda wote anajadili habari za maendeleo tu na namna ya kumkwamua kiuchumi mwananchi mnyonge

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627( Kwa maoni juu ya ujenzi wa Taifa letu
Upuuzi mtupu.
 
Back
Top Bottom