Kwa hapa alipotufikisha Rais Samia anastahili kupongezwa, kuungwa mkono na kutiwa moyo, alipokea nchi katika kipindi kigumu sana

Mbn kipindi cha miaka sita nyuma Watanzania wengi walisahau hii hali
 
Inamaana nchi hii inayosemekana kuwa ina Mito na maziwa mengi tunakosa maji za kuzalisha umeme?alafu Nani amewaambia umeme unazalishwa na maji Tu hapa duniani?hamuoni aibu mwaka wa 60 huu wa Uhuru bado tunaongelea uhaba wa umeme na maji kwenye nchi iliyojaliwa maziwa na MiTo Mingi?
 
Umeme wa maji Ni nafuu Sana kuliko vyanzo vingine ndio maana unaona nchi nyingi huwa zinajenga mabwawa makubwa ya maji kwa ajili ya kuzalisha umeme
 
Mbn kipindi cha miaka sita nyuma Watanzania wengi walisahau hii hali
Hakukuwa na Hali ya ukame Kama Iliyotokea kipindi hiki,hata hivyo tunaendelea kuziona juhudi za serikali yetu Katika kukabiliana na suala hili ili umeme uweze kupatikana vizuri,tunaona serikali Inatumia Hadi gas kuzalisha umeme, hata hivyo mvua muda siyo mrefu zinakwenda kuanza kunyesha na kumaliza tatizo hili
 
Hiko kipindi kigumu alichotutoa ni kipi na sasa hiko kipindi kizuri ni kipi hicho?
 
wewe ni mjinga.
 
Hiko kipindi kigumu alichotutoa ni kipi na sasa hiko kipindi kizuri ni kipi hicho?
Kipindi kigumu Ni kile kipindi kilichoshuhudiwa mdololo wa uchumi Duniani kwote uliosababishwa na ugonjwa wa CORONA pamoja na Vita vya ukrein,
 
Ana mazuri yake ila umempamba sana hadi imekua uongo
Upo huru ikiwa utayaweka wazi kwa mchanganuo wa wazi Yale unayoona siyo ya kweli kutoka katika maandishi yangu,pia nashukuru na kukushukuru kwa mchango wako wa kukubali kuwa mh Rais amefanya vizuri
 
Wewe Ni New member halafu umefika na kuanza matusi, jifunze kuvumilia mawazo ya wengine na kosoa kwa heshima na staha, matusi siyo ushujaa
Wewe najua ni mjinga tu,hivi huoni ugumu wa maisha na hii mikopo ya huyu mama ako?

Punguza kuchumia tumbo,fanya kazi halali,acha kujipendekeza.

Raisi gani haoni ugumu wa maisha kwa raia wake anatembea na kuzurura tu kama kinda la ndege?.
acheni ujinga,ipo siku nchi haitakalika.
.
 
Kipindi kigumu Ni kile kipindi kilichoshuhudiwa mdololo wa uchumi Duniani kwote uliosababishwa na ugonjwa wa CORONA pamoja na Vita vya ukrein,
Embu fanya tathimini, Covid 19 ilianza 2019, Samia ameshika kiti cha Urais 2021 March! Ni kipindi gani kilikuwa na unafuu wa Maisha kwa wananchi kati 2019- march 2021 kipindi Samia hayupo na April 2021- 2022 Kipindi Samia yupo!
 
Umeme wa maji Ni nafuu Sana kuliko vyanzo vingine ndio maana unaona nchi nyingi huwa zinajenga mabwawa makubwa ya maji kwa ajili ya kuzalisha umeme
Nani kakuambia ebu Fanya utafiti hela inayotumiwa kujenga bwawa isingeweza kupelekwa kwenye gesi au hata kujenga kinu cha nuclear.
 
Mpe hongera mama Kwa kuturudisha uchumi wa chini Kwa kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei vitu vinapanda bei ovyo,uzalishaji bidhaa umekuwa wa mashaka kisa kutokuwa na umeme wa uhakika.
 
Mpe hongera mama Kwa kuturudisha uchumi wa chini Kwa kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei vitu vinapanda bei ovyo,uzalishaji bidhaa umekuwa wa mashaka kisa kutokuwa na umeme wa uhakika.
Leta ushahidi wako hapa wa kiuchumi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…