Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Mwanangu mpambanaji, umekosa mtaji, mjini hakueleweki, ushamaliza degree yako na home hapaeleweki kazi hazieleweki.
Sikia, chukuwa vyeti vyako, scan, tunza kwenye email yako, tengeneza template ya barua ambayo unaweza ku edit hata kwa simu.
Piga simu kujijini kwenu, haswa kwa watu wa mbeya, iringa, morogoro, bukoba, na mikoa yote ya kilimo
Weka kisomo chako pembeni, andaa ndugu zako nenda zako kalime, Kaa miaka 3 then njoo town fungua duka la jumla.
Kama una roho mbaya tafuta mwanamke asiye na kazi ila asiwe mjuaji zaa nae muoe muweke dukani.
Chukua boda boda (hapa inabidi uwe na akili timamu, kama na wewe ni chenga utakufa mapema sana) ingia barabarani.
Ukikaa miaka 5 mpaka 6. Tayari una kiwanja, watoto wanasoma, mke unae, ujenzi unaendelea. Vile vyeti ulivyoweka kwenye pdf achana navyo piga kazi.
Risk kubwa ya mambo haya ni ROHO MBAYA. Anza hii mapema sana January 2025.
NB: Kumbuka ukishajipata, usiache kula kitimoto rosti na kilimanjaro mbili tu. (Zingatia neno mbili tu)
Nawasilisha.
Sikia, chukuwa vyeti vyako, scan, tunza kwenye email yako, tengeneza template ya barua ambayo unaweza ku edit hata kwa simu.
Piga simu kujijini kwenu, haswa kwa watu wa mbeya, iringa, morogoro, bukoba, na mikoa yote ya kilimo
Weka kisomo chako pembeni, andaa ndugu zako nenda zako kalime, Kaa miaka 3 then njoo town fungua duka la jumla.
Kama una roho mbaya tafuta mwanamke asiye na kazi ila asiwe mjuaji zaa nae muoe muweke dukani.
Chukua boda boda (hapa inabidi uwe na akili timamu, kama na wewe ni chenga utakufa mapema sana) ingia barabarani.
Ukikaa miaka 5 mpaka 6. Tayari una kiwanja, watoto wanasoma, mke unae, ujenzi unaendelea. Vile vyeti ulivyoweka kwenye pdf achana navyo piga kazi.
Risk kubwa ya mambo haya ni ROHO MBAYA. Anza hii mapema sana January 2025.
NB: Kumbuka ukishajipata, usiache kula kitimoto rosti na kilimanjaro mbili tu. (Zingatia neno mbili tu)
Nawasilisha.